Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Na ninachomaanisha mimi wengi ni average players, Mendy starter wa real Madrid hata kuitwa France ni kwa shida, camavinga ni bench player france, Militao sifikirii kama hata mwaka unafika toka aanze kuwa starter Brazil.

Wengi umashahuri wao unachangiwa na umashuhuri wa timu
Chunguza hao Average player walisajiliwa wakiwa top player walikotoka.

Ila leo hata ukiwarudisha walikotoka baadhi yao namba hawati.

Inamaana hawakupata mwendelezo mzuri yaani hawajaongeza kitu tangu waje.

Hapa ndio lawama zangu nazipeleka kwa babu.

Kwani Wachezaji bora wa sasa wa kuibeba Madrid ni wale aliowatengeza zaidi ya misimu miwili nyuma huko.

Yaani tangu amtoe Vin, Ververde, Rodrigo hakuna tena player mchanga aliemleta ulingoni pamoja na Perez kuwaleta kina Guller, Diaz na Paz hata Endrick mwisho wake utatakua mbovu kama huyu mzee ataendelea kuwepo.
 
Chunguza hao Average player walisajiliwa wakiwa top player walikotoka.

Ila leo hata ukiwarudisha walikotoka baadhi yao namba hawati.

Inamaana hawakupata mwendelezo mzuri yaani hawajaongeza kitu tangu waje.

Hapa ndio lawama zangu nazipeleka kwa babu.

Kwani Wachezaji bora wa sasa wa kuibeba Madrid ni wale aliowatengeza zaidi ya misimu miwili nyuma huko.

Yaani tangu amtoe Vin, Ververde, Rodrigo hakuna tena player mchanga aliemleta ulingoni pamoja na Perez kuwaleta kina Guller, Diaz na Paz hata Endrick mwisho wake utatakua mbovu kama huyu mzee ataendelea kuwepo.

mkuu sio kila kinda anaeinuka anaweza kuwa top player. Pep City yupo mwaka wa nane ukiotoa Foden na Rico hana mwengine aliemueka katika ubora, labda baadhi walitimka wakenda bahatika ku improve kwengine.
 
ICarlo hawezi kukwepa lawama zangu hata kama Barcelona wamecheza vizuri.

Kwanza kumchezesha Federico Valverde mechi mfululizo ikiwa anajua kuna game kubwa mbele na anahitajika kua fit.

Pili game Approach yake imekua ile ile habadiliki wala habadilishi wachezaji kwa wakati.

Anamtoa viungo wakabaji wote anawaacha kina Jude na mbappe wanaruka ruka.

Hii timu bora Apewe kijana au mtu mwenye misimamo kama Conte.
Ukweli unabaki kuwa mbinu za Ancelot zimefika mwisho, na wachezaji almost ni wale wale, Mbape bado ni mchezaji mzuri, anahitaji mbinu mpya. Nafikiri Madrid inahitaji kocha mpya, falsafa za Ancelot zimefika kikomo katika kuamua mchezo.
 
mkuu sio kila kinda anaeinuka anaweza kuwa top player. Pep City yupo mwaka wa nane ukiotoa Foden na Rico hana mwengine aliemueka katika ubora, labda baadhi walitimka wakenda bahatika ku improve kwengine.
Na vipi kuhusu wachezaji aliowasajili viwango vyao vilishuka? Viliganda au vilipanda?
 
Ukweli unabaki kuwa mbinu za Ancelot zimefika mwisho, na wachezaji almost ni wale wale, Mbape bado ni mchezaji mzuri, anahitaji mbinu mpya. Nafikiri Madrid inahitaji kocha mpya, falsafa za Ancelot zimefika kikomo katika kuamua mchezo.
Nsihasema hili muda tusiishi kwa historia ikiwa tunahitaji kufanya vizuri.

Kushindana na wanaobadilika lazima ubadilike.

Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana.

Naheshimu Kila kitu alichoganya huu mzee ila furaha yangu kwa sasa ni yeye kuondoka kuliko hata kushinda mechi.
 
Super cup tunaweza kutana na barca tena, UCL tunaweza kutana nae tena. Nimesikitika sana mbinu za long balls ambazo huwa tunaxitumia kumuuwa barca and other european giants ndizo walizitumia jana barca kutuuwa. Hongera sana HANS FLICK.
Siku sio nyingi tutakutana tena.
Kikosi chetu kipo kwenye transition bado.
HALLA MADRID
 
Ukweli unabaki kuwa mbinu za Ancelot zimefika mwisho, na wachezaji almost ni wale wale, Mbape bado ni mchezaji mzuri, anahitaji mbinu mpya. Nafikiri Madrid inahitaji kocha mpya, falsafa za Ancelot zimefika kikomo katika kuamua mchezo.
Kumbuka majukumu ya wachezaji wetu wengi yamebadilika. Bellingam alivyotumika last season leo anavyotumika, Valverde nae hivo hivo. So tumpe muda. Alichotupa don CARLO ni vingi sana
 
Kumbuka majukumu ya wachezaji wetu wengi yamebadilika. Bellingam alivyotumika last season leo anavyotumika, Valverde nae hivo hivo. So tumpe muda. Alichotupa don CARLO ni vingi sana

Perez amekuwa hamtendei haki kabisa Carlo, msimu watatu huu ana dai central defender ila ananyimwa, ame demand no 9 pia ameshindwa kumpatia. ametaka left back hajapewa, Perez yupo Bzy na signing za Kibiashara zaidi pamoja na free transfers.
 
Perez amekuwa hamtendei haki kabisa Carlo, msimu watatu huu ana dai central defender ila ananyimwa, ame demand no 9 pia ameshindwa kumpatia. ametaka left back hajapewa, Perez yupo Bzy na signing za Kibiashara zaidi pamoja na free transfers.
Kama ni ya kweli haya basi babu bado ni tatizo.

Kwa cv yake sio wa kupelekwa pelekwa hivyo akakbali.

Mbona zidane walitaka kuchanganyia mambo akaondoka.
 
Kama ni ya kweli haya basi babu bado ni tatizo.

Kwa cv yake sio wa kupelekwa pelekwa hivyo akakbali.

Mbona zidane walitaka kuchanganyia mambo akaondoka.

Thats Real Madrid mkuu, Kocha huwezi kuwa juu ya club, club ina vision yake unatakiwa uifate, na ndio mana Carlo ndio Best for Madrid mana anaweza kua adjust vyovyote club inavyotaka. Makocha wakisasa wa mifumo amabao lazima wanahitaji wachezaji wa aina maalum kuweza kufit kwenye mifumo yao wengi sana wanaweza kushindwa.
 
Thats Real Madrid mkuu, Kocha huwezi kuwa juu ya club, club ina vision yake unatakiwa uifate, na ndio mana Carlo ndio Best for Madrid mana anaweza kua adjust vyovyote club inavyotaka. Makocha wakisasa wa mifumo amabao lazima wanahitaji wachezaji wa aina maalum kuweza kufit kwenye mifumo yao wengi sana wanaweza kushindwa.
Wampe Raul sasa naona yupo Castilla huko Anapasha. 😁
 
Super cup tunaweza kutana na barca tena, UCL tunaweza kutana nae tena. Nimesikitika sana mbinu za long balls ambazo huwa tunaxitumia kumuuwa barca and other european giants ndizo walizitumia jana barca kutuuwa. Hongera sana HANS FLICK.
Siku sio nyingi tutakutana tena.
Kikosi chetu kipo kwenye transition bado.
HALLA MADRID
Tatizo liliotukumba na linaloendelea kutukumbuka ni nidhamu kwenye Ulinzi, wakati wa Ramos na hata Alaba walikuwa wanaweka kabisa line, hutakiwi kuvuka huo mstari, ila kwasasa hakuna wa kumwambia mwezie hilo jambo, tulifungwa magoli mawili kutokana na hiyo hali, la kwanza kupitia kwa Mendy, na la pili kwa Vazquez.
Ancelloti ni kweli ametupa vingi, ila ana shida moja tu hajui kubadilika na wakati., ana ile hali ya kutokubali kubadilika aka kumuamini mchezaji hata kama hana anachompatia., hao vijana tulionao wana uwezo mzuri tu kama watapata mtu sahihi wa kuwatumia inavyotakiwa, shida inatokea ni kuwa kuna baadhi itabidi waanzie bench, hapo ndipo Ancelloti anapokuwa muoga.
 
Tatizo liliotukumba na linaloendelea kutukumbuka ni nidhamu kwenye Ulinzi, wakati wa Ramos na hata Alaba walikuwa wanaweka kabisa line, hutakiwi kuvuka huo mstari, ila kwasasa hakuna wa kumwambia mwezie hilo jambo, tulifungwa magoli mawili kutokana na hiyo hali, la kwanza kupitia kwa Mendy, na la pili kwa Vazquez.
Ancelloti ni kweli ametupa vingi, ila ana shida moja tu hajui kubadilika na wakati., ana ile hali ya kutokubali kubadilika aka kumuamini mchezaji hata kama hana anachompatia., hao vijana tulionao wana uwezo mzuri tu kama watapata mtu sahihi wa kuwatumia inavyotakiwa, shida inatokea ni kuwa kuna baadhi itabidi waanzie bench, hapo ndipo Ancelloti anapokuwa muoga.
Mfano kwa hali aliyonauo saivi mbappe sio wa kuanza Mechi..

Anatakiwa aingie second half kipindi ambacho amefunguka kushambulia na 4;3;3 yake.

Wapinzani wamerudi nyuma wanalinda mbappe ndio anaingia na energy yake.

Ila mzee hajiongezi anamuanzisha kila siku na hakuna kitu ana -Offer.
 
Mfano kwa hali aliyonauo saivi mbappe sio wa kuanza Mechi..

Anatakiwa aingie second half kipindi ambacho amefunguka kushambulia na 4;3;3 yake.

Wapinzani wamerudi nyuma wanalinda mbappe ndio anaingia na energy yake.

Ila mzee hajiongezi anamuanzisha kila siku na hakuna kitu ana -Offer.

mitandao inavituko sana, kwa hiyo unataka Mbappe aekwe bao?
 
Back
Top Bottom