Millennium bahati
Member
- Jun 9, 2017
- 98
- 148
Hiki kiungo chetu Cha Brahim, Tchouameni na Cama kinatia mashaka sana.Kuna mabadiliko kidogo kwenye game ya leo, kati kati ya Uwanja atasimama Tchouameni na wenzie Camavinga na Brahim, game iliyopita Brahim alipotea sana, sijui leo itakuwaje.