Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Eneo lile halihitaji mtu mwenye mapepe linahitaji mafundi fundi, kama hujui kulainisha mpira basi ujue kumsoma mpinzani na kukaa kwenye njia ili kutegua mitego.Hata game dhidi ya Betis alipotea hivyo hivyo., kiukweli with Brahim kwenye mid tuna kazi ya ziada.,
Sasa huyu dogo anaruka ruka tu kama anacheza winga