RECORDS: Tutajie Wanajamii Forums Maarufu na Wakongwe Uliowakuta Humu

Kifupi ni kwamba Wakongwe wa JF wengi tumeamua kukaa kimya na kuwa wasomaji au wengine wame mute kabisa. Tumepitia mambo mengi mno kwa staili Ile ya kwetu enzi hizo za kujadili mambo mazito humu ndani. Kila mmoja wetu ametulia huko aliko ili aishi kwa Amani na salama au kuwa msomaji tu na kuchangia lightly tu. Hii ni kwa kulinda pia usalama na uhai wa JF na members wake. Poleni Sana mliojiunga JF kuanzia 2015 umekosa mambo mazito na muhimu Sana kwa ushauri na maendeleo ya nchi yetu. JF is not the same anymore. Tuliosoma Cuba, Israel, na Urusi mtanielewa.
 
Ni kweli Mkuu ile JF ya 2009-2014 ilikuwa ni ya moto sana na uliloliandika ni kweli lazima kutulia ili kuulinda huu mtandao maana mabalaa aliyoyapata Maxence kipindi kile sio mchezo.
 
🤣Tupo wengi sema tumebadirisha id tu
Hata hivyo wakongwe wenyewe umewaacha.....
 
Nakubali mkuu. Moja ya wakongwe ambao mpo active licha ya kupitia kipindi kigumu kipindi cha jiwe
Hahahahaha Kuna Wapumbavu walikua wananifuata inbox na kunitisha, hahahaa nikawaambia sitishiwi nyau! Kuishi na kufa ni vitu vipo TU. Asante Saana, nili-join JF 17 of March 2008 yaani miaka kama 15 iliyopita na nimekua active siku zote...... hahahà
 
Miaka 15 sio poa na still active na account ni ileile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…