Records za Messi & Halaand 2022/23

Records za Messi & Halaand 2022/23

kuwa MOTM KDB sio hoja kuwa nayeye haku perform. au kwenye mechi mchezaji aneperform vizuri huwa ni mmoja tu?
Kila mchezaji kwenye mechi ana perform sikatai ila mwenye MOTM ndio anakua ameinfluence game/ushindi wa team kwa kiasi kikubwa.
 
15 goals kweney Ligue one, hazijapishana sana na za ligi ya Bongo, Lagazetti amepiga karibu 28 goals and no one talk about him. sababu no body care about French league. Lakini osimhen ambaye kapiga goli 25 tu serie A tizama alivyokuwa talk of town.
Zlatan na Cavani walikuwa mpaka wakipiga 40 goals walipokuwa France, hawakuwahi kuhusishwa na tunzo zozote mana French League haijwahi kuwa considered as a Top League Europe.
Top 5 league zote zina point sawa, watu hawamuongelei Lacazette sababu ni babu tayari, angekua ni Kinda wa miaka 20 timu zote kubwa zingekua zinamgombania.

Huko Serie A kina Immobile hawafungi 30? Ila kimya sababu tayari Age zimeenda, Osimhen ni mtoto na anatafuta next big move lazima aongelewe sana.

Mbape si amecheza Ligi ya Ufaransa miaka yake yote? Je yeye Hagombaniwi?
 
Kumbe issue ni kuwa na taji OK sawa!.

Messi na WC na League one msimu huu na ni Best player WC

Haaland ana CL ,EPL na FA na ni Best player EPL

Kwa hiyo tumpe Best player wa EPL tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia si ndio??

kwahiyo yote hujaona zaidi ya hiyo best player wa EPL?

Chamion Leage Top Score
EPL Top Score
European Golden Shoe Top Score
European Club Season Top Score
EPL Best Player
Champion League winner
Fa CUP Winner
EPL Winner
50+ goals a Season (hakuna mwengine yoyote aliyeifika hii namba)
 
Top 5 league zote zina point sawa, watu hawamuongelei Lacazette sababu ni babu tayari, angekua ni Kinda wa miaka 20 timu zote kubwa zingekua zinamgombania.

Huko Serie A kina Immobile hawafungi 30? Ila kimya sababu tayari Age zimeenda, Osimhen ni mtoto na anatafuta next big move lazima aongelewe sana.

Mbape si amecheza Ligi ya Ufaransa miaka yake yote? Je yeye Hagombaniwi?

naona unaleta isue za kugombewa, mim nimezungumza kuongelewa.

Kwahiyo leo hii goals za french league zimekuwa nazo ni dili?

Mwakani naamini pia mtakuje kusema MLS nayo ni dili 😂😂😂
 
naona unaleta isue za kugombewa, mim nimezungumza kuongelewa.

Kwahiyo leo hii goals za french league zimekuwa nazo ni dili?

Mwakani naamini pia mtakuje kusema MLS nayo ni dili 😂😂😂
Mls haina coefficient nzuri, ila league 1 inayo. Uefa wana Coeficient za ligi kila mwaka timu za ligi husika zinavyo progress unapewa points ndio likatokea hilo neno Top 5 league.

Ukifunga Goli kwenye Top 5 league = 2 points, haijalishi ni Man city ama Psg, as long as ni Top 5 goli moja lina maksi sawa.
 
Unataka compare thamani ya Worldcup & Uefa??? Unajua soka kweli
WCup unalinganisha na uefa ? Au unaangalia kombe lenye pesa ?? Kwenye balon d'Or hyo ni tuzo ya dunia inaangazia mafanikio ngaz ya club na mafanikio ngazi ya timu ya Taifa boss .... Kwa taarifa yako WC ndo kombe lenye nguvu Zaid kuliko kombe lolote chini ya jua
 
Sasa kombe la dunia ni shindano kubwa kwa sababu za kisiasa ila halina mechi ngumu, na wala sio kipimo sahihi cha ubora wa mchezaji, mfano Argentina alicheza mechi za maana zilikuwa 2 tu, dhidi ya France Fainali na kidogo dhidi ya Croatia

Nyingine ni dhidi ya timu nyepesi kama Poland, Saudi Arabia, Australia n.k

Tofauti na Champions league ambako kuna timu ngumu zenye mkusanyiko wa wachezaji bora duniani kama Madrid, Bayern Munich, Inter Milan ambazo City kazifunga ,

Kuthibitisha hilo tazama Messi na Mbape, wachezaji waliofanya vizuri zaidi kombe la Dunia lakini hawakuweza kuifunga timu kama Inter Milan na Bayern Munich na kupelekea kutolewa mapema UEFa


kwenye ligi ngumu yenye ushindani kama Uingereza kulikuwa na timu ngumu kama Arsenal, Man Utd, Newcastle ambazo City kuzifunga na kuchukua kombe kwa msaada wa Haaland na alivunja rekodi ya ufungaji
Hv ni Nani anabishana na hvi viazi aisee... Kama hamjui kitu ni Bora ukatulia ukajifunza
 
Acha kusema uwongo mkuu.

1998 mchezaji bora alikua Ronaldo. Hakubeba Tunzo
2002 mchezaji bora alikuwa Kahn - Hakubeba tunzo
2006 mchezaji bora alikuwa Zidane - hakubeba tunzo
2010 - mchezaji bora alikuwa Forlan - hakubeba tunzo
2014 mcherzaji bora alikuwa Messi - hakubeba tunzo
2018 - Mchezaji bora alikuwa Modeic - alibeba tunzo. ( ndie mchezaji pekee aliyebeba tunzo katika world cup zote hizo)

Punguza mihemko mkuu.
Hao wote mafanikio Yao Kwa kiasi kikubwa yaliangazia mchango wao kwenye timu ya Taifa , hata kama haikuchukua kombe Ila mchango wao mpak timu inatolewa ( mara nyingi fainali) ulikuwaje + jina + mafanikio ngaz ya club
 
Niwaondoe wasiwasi kuwa tunzo itaenda kwa haalaand ila kwa mtazamo wangu!


Na kabla sjaandika sana niweke wazi mimi shabiki wa mpira wa messi


ile balon d or ya messi ya 7 alichukua
alishinda ubingwa wa la laiga
aalishinda ubingwa wa copa america
alikuwa mchezaji bora wa mashindano hayo ya copa america
alikuwa top scorer huko copa america na la liga kama skosei

ila sababu nyingine( though it's a conspiracy) ndio alikuwa amefanya move ya kwenda PSG na kumbuka tunzo alipewa akiwa ni mchezaji wa PSG sasa wanasema kumbuka BALLON D OR ni tunzo iliyoasisiwa na wafaransa na hadi leo wanaitoa hao wafaransa, kwahiyo ilikuwa ni kama siasa pia tunzo ibaki kwao maana skumbuki au sjui ni lini tunzo imeenda kwa mchezaji anaecheza league 1, sio mchezaji mfaransa hapana I mean mchezaji anaekiwasha league 1

Turudi kwenye point yangu kwanini mtazamo wangu ni kuwa halaand ana nafasi kubwa??

Ukiachana na nanmba zao yeye na messi nani anastahili zaidi, ila kitendo cha messi na Argentina yake kuchukua WC dhidi ya France wala hakikiwapendeza wafaransa walio wengi and it's something obvious, maana wenzetu utaifa upo juu kuliko vilabu, na wengine pia wanasabisha pia ndio maana messi ameondoka France kwa heshima ya chini ambayo alikuwa aki deserve kama mchezaji mkubwa sana duniani

Najaribu tu kuconnect dots, namna ambavyo hakuwafurahisha kuchukua WC mbele ya rais wao alienda Qatar since Quarter final, namna alivyoondoka PSG Pasi na treatment nzuri na hao mabwana we can simply say tunzo ni zao maana waandaji ni wao na mchakato wanafanya wao na nyingine zote ni blah blah hawajawahi kuweka mambo wazi kuwa wanatumia mfumo gani kumpata huyo mchezaji bora....

Hivyo naona ni rahisi sana kwenda kwa halaand kuliko lapulga na bora iende kwa halaand maana anaweza asiipate tena hahaha
 
Hao wote mafanikio Yao Kwa kiasi kikubwa yaliangazia mchango wao kwenye timu ya Taifa , hata kama haikuchukua kombe Ila mchango wao mpak timu inatolewa ( mara nyingi fainali) ulikuwaje + jina + mafanikio ngaz ya club

Hapo ndipo kwenye point, mafanikio ya club ni muhimu, kitu ambacho kinachompiga chenga Messi, Kufunga magoli kadhaa ligi ya France haiwezi kabisa kuwa ni kipimo cha mafanikio kwenye Club Season Barani Ulaya.
 
WCup unalinganisha na uefa ? Au unaangalia kombe lenye pesa ?? Kwenye balon d'Or hyo ni tuzo ya dunia inaangazia mafanikio ngaz ya club na mafanikio ngazi ya timu ya Taifa boss .... Kwa taarifa yako WC ndo kombe lenye nguvu Zaid kuliko kombe lolote chini ya jua

kwanini katika mashindano matatu yaliyopita hiyo world cup imeshindwa kutoa Baloon D'or winner?
 
Kuna jamaa nilimwambia Halaand anafunga sana sababu kazungukwa na viungo wazuri akanibishia sana.

Kwani hapo Norway Halland hafungi? habu katizame amechaza mechi ngapi na uone idadi ya magoli aliyofunga. Acha kuongea pumba ndugu.
 
Back
Top Bottom