Isayalussy11
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 695
- 1,058
Kila mchezaji kwenye mechi ana perform sikatai ila mwenye MOTM ndio anakua ameinfluence game/ushindi wa team kwa kiasi kikubwa.kuwa MOTM KDB sio hoja kuwa nayeye haku perform. au kwenye mechi mchezaji aneperform vizuri huwa ni mmoja tu?
Top 5 league zote zina point sawa, watu hawamuongelei Lacazette sababu ni babu tayari, angekua ni Kinda wa miaka 20 timu zote kubwa zingekua zinamgombania.15 goals kweney Ligue one, hazijapishana sana na za ligi ya Bongo, Lagazetti amepiga karibu 28 goals and no one talk about him. sababu no body care about French league. Lakini osimhen ambaye kapiga goli 25 tu serie A tizama alivyokuwa talk of town.
Zlatan na Cavani walikuwa mpaka wakipiga 40 goals walipokuwa France, hawakuwahi kuhusishwa na tunzo zozote mana French League haijwahi kuwa considered as a Top League Europe.
Haaland hastaili hii tuzo, ukinambia Debruyne ntakuelewa.
Kumbe issue ni kuwa na taji OK sawa!.
Messi na WC na League one msimu huu na ni Best player WC
Haaland ana CL ,EPL na FA na ni Best player EPL
Kwa hiyo tumpe Best player wa EPL tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia si ndio??
Top 5 league zote zina point sawa, watu hawamuongelei Lacazette sababu ni babu tayari, angekua ni Kinda wa miaka 20 timu zote kubwa zingekua zinamgombania.
Huko Serie A kina Immobile hawafungi 30? Ila kimya sababu tayari Age zimeenda, Osimhen ni mtoto na anatafuta next big move lazima aongelewe sana.
Mbape si amecheza Ligi ya Ufaransa miaka yake yote? Je yeye Hagombaniwi?
Mls haina coefficient nzuri, ila league 1 inayo. Uefa wana Coeficient za ligi kila mwaka timu za ligi husika zinavyo progress unapewa points ndio likatokea hilo neno Top 5 league.naona unaleta isue za kugombewa, mim nimezungumza kuongelewa.
Kwahiyo leo hii goals za french league zimekuwa nazo ni dili?
Mwakani naamini pia mtakuje kusema MLS nayo ni dili 😂😂😂
Ukiwa unacheza ligi ya English ni ngumu kupata balon d'Or.....!!World Cup ni mechi 6 tu mzee, wakati mechi za ligi, uefa, fa ni karibia 60
Kipi kitumike kigezo? Mechi 6 au 60?
WCup unalinganisha na uefa ? Au unaangalia kombe lenye pesa ?? Kwenye balon d'Or hyo ni tuzo ya dunia inaangazia mafanikio ngaz ya club na mafanikio ngazi ya timu ya Taifa boss .... Kwa taarifa yako WC ndo kombe lenye nguvu Zaid kuliko kombe lolote chini ya juaUnataka compare thamani ya Worldcup & Uefa??? Unajua soka kweli
Hv ni Nani anabishana na hvi viazi aisee... Kama hamjui kitu ni Bora ukatulia ukajifunzaSasa kombe la dunia ni shindano kubwa kwa sababu za kisiasa ila halina mechi ngumu, na wala sio kipimo sahihi cha ubora wa mchezaji, mfano Argentina alicheza mechi za maana zilikuwa 2 tu, dhidi ya France Fainali na kidogo dhidi ya Croatia
Nyingine ni dhidi ya timu nyepesi kama Poland, Saudi Arabia, Australia n.k
Tofauti na Champions league ambako kuna timu ngumu zenye mkusanyiko wa wachezaji bora duniani kama Madrid, Bayern Munich, Inter Milan ambazo City kazifunga ,
Kuthibitisha hilo tazama Messi na Mbape, wachezaji waliofanya vizuri zaidi kombe la Dunia lakini hawakuweza kuifunga timu kama Inter Milan na Bayern Munich na kupelekea kutolewa mapema UEFa
kwenye ligi ngumu yenye ushindani kama Uingereza kulikuwa na timu ngumu kama Arsenal, Man Utd, Newcastle ambazo City kuzifunga na kuchukua kombe kwa msaada wa Haaland na alivunja rekodi ya ufungaji
Hao wote mafanikio Yao Kwa kiasi kikubwa yaliangazia mchango wao kwenye timu ya Taifa , hata kama haikuchukua kombe Ila mchango wao mpak timu inatolewa ( mara nyingi fainali) ulikuwaje + jina + mafanikio ngaz ya clubAcha kusema uwongo mkuu.
1998 mchezaji bora alikua Ronaldo. Hakubeba Tunzo
2002 mchezaji bora alikuwa Kahn - Hakubeba tunzo
2006 mchezaji bora alikuwa Zidane - hakubeba tunzo
2010 - mchezaji bora alikuwa Forlan - hakubeba tunzo
2014 mcherzaji bora alikuwa Messi - hakubeba tunzo
2018 - Mchezaji bora alikuwa Modeic - alibeba tunzo. ( ndie mchezaji pekee aliyebeba tunzo katika world cup zote hizo)
Punguza mihemko mkuu.
Kwa timu ile ya Norway mnamuonea Haaland
Hao wote mafanikio Yao Kwa kiasi kikubwa yaliangazia mchango wao kwenye timu ya Taifa , hata kama haikuchukua kombe Ila mchango wao mpak timu inatolewa ( mara nyingi fainali) ulikuwaje + jina + mafanikio ngaz ya club
Leo Norway imekula kichapo nyumbani.
WCup unalinganisha na uefa ? Au unaangalia kombe lenye pesa ?? Kwenye balon d'Or hyo ni tuzo ya dunia inaangazia mafanikio ngaz ya club na mafanikio ngazi ya timu ya Taifa boss .... Kwa taarifa yako WC ndo kombe lenye nguvu Zaid kuliko kombe lolote chini ya jua
Kuna jamaa nilimwambia Halaand anafunga sana sababu kazungukwa na viungo wazuri akanibishia sana.