Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Kwa sababu inapunguza nguvu mfumo kristo? acheni hizo.
Juzi katika kipindi cha Mwangaza wa jamii wachambuzi wa kipindi hicho kilimtaja kwa jina Mh peter Msigwa kwamba aliandika barua kwa maaskofu wa Iringa kwa kuwashukuru kumpeleka bungeni na pia eti atahakikisha Imani ya dini yake inapewa kipaumbele kwa nguvu zote Iringa Mjini
Walisema kwamba barua hiyo wao wanayo na kudai inaweza kuleta machafuko ya kidini nchini hasa katika jimbo la iringa
MY TAKE
Kama hili ni kweli basi taifa letu siku yoyote tunaweza kuliangamiza
Kama uongo TUNANGOJEA KAULI ya Mh msigwa kwani haya ni MADAI MAZITO yalionasa kwa jamii ya kitanzania kwa sasa.
MATUSI , KEJELI KUHUS REDIO IMAAN HICHO NI KITU CHENGINE
Hoja hapa Ukweli na Uongo kuhusu BARUA YA MH PETER NSIGWA na kama Kweli tunajenga au tunabomoa taifa?
Vyombo vya dola umesikia imewahi kumkamata askofu kwa vitu kama hivi? acheni propagnda. wanfalikuwa waislam wamefanya hivi ungalisikia magazeti yetu. si unajua mfumo kristo ulivyokuwa na nguvu?watu wanadhani amani inapotea au kulindwa kirahisi,siku zote amani hailindwi kirahisi pia haipote kirahisi,mtu anasema tu machafuko?hao wenye hiyo barua wanayo ya nini si wa peleke kwa vyombo vya dola.Tanzanians mbona tunakuwa hvi??/
namuonea huruma zitto kabwe ndani ya Chadema. sio usaliti pengine hata imani yake ya dini ndio kikwazo ndani ya Chama
Vyombo vya dola umesikia imewahi kumkamata askofu kwa vitu kama hivi? acheni propagnda. wanfalikuwa waislam wamefanya hivi ungalisikia magazeti yetu. si unajua mfumo kristo ulivyokuwa na nguvu?
aje au atumie vyombo vya habari kujibu hoja. maana hawezi kukankanya redio imaan. maana wale jamaa kwa maswali unaweza ukachukiaMchungaji wangu Msingwa njoo uwajibu tafadhari
Juzi katika kipindi cha Mwangaza wa jamii wachambuzi wa kipindi hicho kilimtaja kwa jina Mh peter Msigwa kwamba aliandika barua kwa maaskofu wa Iringa kwa kuwashukuru kumpeleka bungeni na pia eti atahakikisha Imani ya dini yake inapewa kipaumbele kwa nguvu zote Iringa Mjini
Walisema kwamba barua hiyo wao wanayo na kudai inaweza kuleta machafuko ya kidini nchini hasa katika jimbo la iringa
MY TAKE
Kama hili ni kweli basi taifa letu siku yoyote tunaweza kuliangamiza
Kama uongo TUNANGOJEA KAULI ya Mh msigwa kwani haya ni MADAI MAZITO yalionasa kwa jamii ya kitanzania kwa sasa.
MATUSI , KEJELI KUHUS REDIO IMAAN HICHO NI KITU CHENGINE
Hoja hapa Ukweli na Uongo kuhusu BARUA YA MH PETER NSIGWA na kama Kweli tunajenga au tunabomoa taifa?
MATUSI , KEJELI KUHUS REDIO IMAAN HICHO NI KITU CHENGINE
kwa hivyo dk slaa akiwa muislam na chadema nayo kinatoweka?Hivi ndivyo mnavyojibu kwenye maswali ya Necta ikiwafyeka mnadai ni mfumo kristu......dini zingine bana!!!!!
Mbona mnatoka mapovu kila upande? wakishikwa bana lazima watafute pakutokea
Wapi Msigwa kataja Uislamu!?? au ulitaka aseme atahakikisha imani ya nani ienee kama si yake!??
Na hii laana ya manung'uniko haitawaacha mpaka siku mtakayoamua kwenda shule. Kuwasema Wakristo kwenye mikutano ya hadhara hakuwaongezei credits za maisha. Hebu waangalie wasemaji wenyewe: M'ba, chawa, utangotango, fungus za mdomoni, miguu iliyokatika na videvu vichafuuu vilivyokaa zig zag bila shule kichwani.
Wakishabwabwaja wanaanza kudai sadaka, sikiliza maneno yao:
"Wewe muislam unayeona ubahili kuchangia swadaka, ujue kuwa laana ya ubahili humfuata mtu mpaka kaburini, sasa kama unaendelea kuficha elfu kumi badala yake unatoa 500, basi utajazikwa na mkeka bila sanda. allah subuhana wataala awabariki mashujaa wetu waliotoa kumi kumi inshala mnyaaz mungu awazidishie heri"
Wizi mtupu na meno yenu ya njano msiopiga mswaki (pole kwa wake zenu kwa harufu za midomo), nani aliwaambia sadaka zinatolewa kwa vitisho