General relativity
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 462
- 693
Daah! Ama kweli uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu.
Hapa ndipo unapoona kila mtu ana mzuriwe, bas na kila mtu ashike akiaminicho.........
Wastani wastani
Mzee Kigogo acha makasiriko.
Macho mengine sio lazima yarembuliwe yanarembukaga yenyewe.
Ila raha ya mwanaume ni awe na macho makali. Yaongee tu yenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji87][emoji87]
Ndio, ni seriesAmeigiza kwenye hiyo movie?
Uwiiii!! Sijui ndo umri umeenda mie nawaonaga wote wako kawaida tu. 🤣🤣Ni kweli. Ila dada, hebu niambie kwa macho yako ni mwanaume gani unaona ni handsome, taja mtu maarufu tunayemfaham wote, au weka picha tuone
Haha..Mzee Kigogo acha makasiriko.
Macho mengine sio lazima yarembuliwe yanarembukaga yenyewe.
Ila raha ya mwanaume ni awe na macho makali. Yaongee tu yenyewe🤣🤣🙊🙊
Huyu hapa pichani ndio mwanaume Handsome kuliko wote duniani..no filters just a naturalAnaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza.
Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji.
Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset). Inasemekana kuwa Rege ndo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Unamtetea,Basi anaweza kuwa mchepuko wa mtu.Ni mume wa mtu
Mkuu yani kila nikipishana na demu lazima ageuke kuniangaliaHuyu hapa pichani ndio mwanaume Handsome kuliko wote duniani..no filters just a natural
Cc Maghayo
View attachment 2167340
[emoji23]Mkuu yani kila nikipishana na demu lazima ageuke kuniangalia
Yu bidhaa hadimu sana wallah!! Hasa kwa nchi za Scandinavia ambapo upo around napo na Eastern Europe..mademu wa huko wanapenda sana blacks wanaamin wanahit spot effectively nakuonea hadi wivu wallah😂Mkuu yani kila nikipishana na demu lazima ageuke kuniangalia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo utasikia ni choko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Cha ajabu utashangaa analiwa hapo
Wewe kwako handsome lazima aweje?Wastani wastani