Rege Jean Paige: Mwanaume handsome duniani

Rege Jean Paige: Mwanaume handsome duniani

Mzee Kigogo acha makasiriko.

Macho mengine sio lazima yarembuliwe yanarembukaga yenyewe.

Ila raha ya mwanaume ni awe na macho makali. Yaongee tu yenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji87][emoji87]

Eeh macho makali yanakuwaje tena[emoji38] kama ya nani vile
 
Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza.

Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji.

Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset). Inasemekana kuwa Rege ndo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.

Huyu hapa pichani ndio mwanaume Handsome kuliko wote duniani..no filters just a natural

Cc Maghayo

251293.jpg
 
Mkuu yani kila nikipishana na demu lazima ageuke kuniangalia
Yu bidhaa hadimu sana wallah!! Hasa kwa nchi za Scandinavia ambapo upo around napo na Eastern Europe..mademu wa huko wanapenda sana blacks wanaamin wanahit spot effectively nakuonea hadi wivu wallah😂
 
Back
Top Bottom