Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Ndiyo huyu, mbona mi hanifikii sasa?Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo wala hajakustimuleti kabisa eti.. basi wewe utakuwa unapendelea wanaume kama mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio gay huyu ni straight kabisaa.Siku "akitoka kabatini" mje na uzi hapa
Wakorea ni wanawake wale not handsome sura ya kike haikufany uwe hand someSi angepelekwa KOREA kwanza akaonane na wenzake
Unapoelekea utaniambia hata Delicious wa bongo nae ana-pretend[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio gay huyu ni straight kabisaa.
Afu usichokijua hata yule jamaa wa prison break, sio gay alijitangaza wazi kwa kutoa influence tyuuh na alilipwa mpunga mrefu.
Wazungu ndo wanavofanya wanawachukua celebrity walio na wafuasi wengi pia wenye ushawishi waji expose kuwa n gays lengo lao n kuwawini watu wa nje, na wanawalipa mkwanja mrefuuu
Sasa Delicious ndo wee kioo chako cha gays? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapoelekea utaniambia hata Delicious wa bongo nae ana-pretend
Huyo ndio nimemsikia kwenye mitandao, hao wengine mnawajua ninyi mnaoishi mjiniSasa Delicious ndo wee kioo chako cha gays? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapo wengi zaidi ya huyo, na huwezi watambua kabisaa
Ko hata hujawaahi kumuona? Unamsikia mitandaoni tyuuh?Huyo ndio nimemsikia kwenye mitandao, hao wengine mnawajua nini mnaoishi mjini
Kurya & jaluoHandsome kwangu lazima awe black, tall na ka body flani amazing. wuuhuuuuu.
Sio mwanaume anakuwa portable jamani.
Mwanaume unakuwa portable ubebwe na nani aisee.
Ondoa Hapo kwenye 'lapzima awe black'..nakuhakikishia nafit kwenye hivyo vipimo!!ππHandsome kwangu lazima awe black, tall na ka body flani amazing. wuuhuuuuu.
Sio mwanaume anakuwa portable jamani.
Mwanaume unakuwa portable ubebwe na nani aisee.
Uhensam unapimwa kwenye Nn mzeeWakorea ni wanawake wale not handsome sura ya kike haikufany uwe hand some
Siku sio nyingi utasikia linatanuliwa mtaro, haya mambo ya mwanaume kusifiwa uzuri yamekuja na hiki kizazi flani cha wanyoa viduku. Mxieew.Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).
Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.
Most of these handsome called guys wanakuwaga wanafukunyuliwa mitaro maana so walizoea kusifiwa wazuri Kama mademu anazoea kusifiwa ungese wake mwisho wa siku anageuka kuwa cocksucker.Hapo utasikia ni choko
Safi sana..Yaani hajanistua hata kidogo!sijamwangalia Mara 2
I have decided that you know too much![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio gay huyu ni straight kabisaa.
Afu usichokijua hata yule jamaa wa prison break, sio gay alijitangaza wazi kwa kutoa influence tyuuh na alilipwa mpunga mrefu.
Wazungu ndo wanavofanya wanawachukua celebrity walio na wafuasi wengi pia wenye ushawishi waji expose kuwa n gays lengo lao n kuwawini watu wa nje, na wanawalipa mkwanja mrefuuu
Ungekua handsome kushinda uyo tusingejamba π