Rege Jean Paige: Mwanaume handsome duniani

Rege Jean Paige: Mwanaume handsome duniani

Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).

Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.

Ndiyo huyu, mbona mi hanifikii sasa?
 
Siku "akitoka kabatini" mje na uzi hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio gay huyu ni straight kabisaa.
Afu usichokijua hata yule jamaa wa prison break, sio gay alijitangaza wazi kwa kutoa influence tyuuh na alilipwa mpunga mrefu.

Wazungu ndo wanavofanya wanawachukua celebrity walio na wafuasi wengi pia wenye ushawishi waji expose kuwa n gays lengo lao n kuwawini watu wa nje, na wanawalipa mkwanja mrefuuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio gay huyu ni straight kabisaa.
Afu usichokijua hata yule jamaa wa prison break, sio gay alijitangaza wazi kwa kutoa influence tyuuh na alilipwa mpunga mrefu.

Wazungu ndo wanavofanya wanawachukua celebrity walio na wafuasi wengi pia wenye ushawishi waji expose kuwa n gays lengo lao n kuwawini watu wa nje, na wanawalipa mkwanja mrefuuu
Unapoelekea utaniambia hata Delicious wa bongo nae ana-pretend
 
Sasa Delicious ndo wee kioo chako cha gays? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapo wengi zaidi ya huyo, na huwezi watambua kabisaa
Huyo ndio nimemsikia kwenye mitandao, hao wengine mnawajua ninyi mnaoishi mjini
 
Handsome kwangu lazima awe black, tall na ka body flani amazing. wuuhuuuuu.

Sio mwanaume anakuwa portable jamani.

Mwanaume unakuwa portable ubebwe na nani aisee.
Ondoa Hapo kwenye 'lapzima awe black'..nakuhakikishia nafit kwenye hivyo vipimo!!😀😀
 
Anaitwa Rege Jean Page ni raia wa Uingereza. Amezaliwa 1988 ana miaka 34. Ni muigizaji. Ameigiza muvi na tamthilia nyingi ila tamthilia iliyompa umaarufu ni bridgerton, aligiza kama Duke of Hastings (Simon basset).

Inasemekana kuwa Rege ndiyo James bond anaefuata. Huyu ndo mwanaume handsome na mwenye mvuto kuliko wote duniani.

Siku sio nyingi utasikia linatanuliwa mtaro, haya mambo ya mwanaume kusifiwa uzuri yamekuja na hiki kizazi flani cha wanyoa viduku. Mxieew.
 
Hapo utasikia ni choko
Most of these handsome called guys wanakuwaga wanafukunyuliwa mitaro maana so walizoea kusifiwa wazuri Kama mademu anazoea kusifiwa ungese wake mwisho wa siku anageuka kuwa cocksucker.

Ukiona dume linafurahi kuitwa mzuri basi shida inaanzia hapo, ukichunguza zaidi hata likiwa limeoa lazima linakuwa na msukumia nyama wake ili lipate busta.
 
nenda uturuki ukaone handsome sio huyo chotara wa kiafrika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala sio gay huyu ni straight kabisaa.
Afu usichokijua hata yule jamaa wa prison break, sio gay alijitangaza wazi kwa kutoa influence tyuuh na alilipwa mpunga mrefu.

Wazungu ndo wanavofanya wanawachukua celebrity walio na wafuasi wengi pia wenye ushawishi waji expose kuwa n gays lengo lao n kuwawini watu wa nje, na wanawalipa mkwanja mrefuuu
I have decided that you know too much!
 
Back
Top Bottom