Regional Per Capita GDP: Hii ndio Mikoa 7 ambayo Wananchi wake wana kipato cha Uchumi wa kati Tanzania Bara

Regional Per Capita GDP: Hii ndio Mikoa 7 ambayo Wananchi wake wana kipato cha Uchumi wa kati Tanzania Bara

Habari zenu wadau!

Mwaka 2020 tulitangaziwa Tanzania kusajiliwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo wananchi wake wamefikia kiwango cha Uchumi wa Kati wa chini yaani Lower Middle Income Country.

Hesabu hiyo huwa inazingatia GNI per Capita Income ambayo ina range Kati ya $1'036-$4,045 ,,ambapo kwa Tanzania hapa ni mikoa michache Sana ambayo wananchi wake ndio wako Uchumi wa Kati,yaani wenye kipato kuanzia milioni 3 kwenda juu.

Ifuatayo ni orodha ya mikoa 7 ambayo wananchi wake Wana mapato yaliyofikia hicho kigezo cha Uchumi wa Kati, pato la kila mwananchi kwenye mkoa husika limeanishwa.

Regional Per Capita GDP at Current Market Prices,Tanzania Mainland, financial year 2019.Figures in Million TZS

1. Dar es Salaam (4,529,876)

2. Iringa (3,868,283)

3. Mbeya (3,675,999)

4. Kilimanjaro (3,302,915)

5. Ruvuma (3,288,252)

6. Arusha (3,198,260)

7. Njombe (3,073,361)

Sambamba na hiyo kuna Mikoa 5 iliyopo mkiani ambayo hali ya vipato kwa wananchi wake ni mbaya sana,mikoa hiyo ni;

1. Shinyanga (1,857,610)

2. Tabora (1,740,554)

3. Dodoma (1,677,901)

4. Singida (1,578,040)

5. Kagera (1,143,992)

MY TAKE;

Hongera Sana wachapa Kazi wa Nyanda za Juu Kusini.

ANGALIZO,

Kwa kweli hali za sisi wananchi ni mbaya, Serikali ijitahidi kuwekeza kwenye uchumi wa watu la sivyo tunakoelekea hali itazidi kuwa mbaya maana na kasi ya kuzaliana ni kubwa mno. Ikumbukwe Tanzania ni kati ya nchi 5 zenye idadi kubwa ya watu na pia zenye idadi kubwa ya maskini barani Afrika.

SOURCE-TANZANIA IN FIGURES 2019.(pg 50-53)

CREDITS-National Bureau of statistics,Ministry of Finance and planning, 2020.
View attachment 1773908
Hapo kwenye Mbeya weka na Songwe Songwe/Mbeya
 
hadi shule za msingi zimekuwa overpopulated, sidhani kama elimu watakayopata itakuwa ya kiwango kizuri
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti over populated,mtawauma sukuma gang kwa pressure
 
Japan haina rasilimali?
Coal, iron ore, zinc, lead, copper, sulfur,gold, and silver are among the most abundant minerals (in relative terms), with lesser quantities of tungsten, chromite, and manganese. Japan also has large deposits of limestone.

Huwa sipendi kujadili mambo na empty headed kama wewe.
Huyu jamaa YEHODAYA huko kwenye masiasa na li CCM lake, nilikua namuona kama ni mtu mwenye kitu kichwani. Nimepitia comments kadhaa kwenye hii thread, nimegundua hana kitu, yuko too low. Nadhani ndiyo maana hata kwenye politics ni mtu wa mapambio zaidi kuliko hoja za maendeleo ya nchi.
 
Huyu jamaa YEHODAYA huko kwenye masiasa na li CCM lake, nilikua namuona kama ni mtu mwenye kitu kichwani. Nimepitia comments kadhaa kwenye hii thread, nimegundua hana kitu, yuko too low. Nadhani ndiyo maana hata kwenye politics ni mtu wa mapambio zaidi kuliko hoja za maendeleo ya nchi.
Hamna kitu pale.

Kanda ya ziwa msipojiangalia kwa kuzaa hovyo hovyo mtanuka umaskini hadi machoni, yaani mtakuwa na watu lundo ambao ni useless
 
Sasa wewe ni mjinga , Takwimu hizi ni za PPP na Takwimu nilizoleta ni za chapisho rasmi kutoka NBS sio kipeperushi kama hiki hapa,na zime base kwenye per capita at Current Market Prices by 2019


Afu inashangaza hao IMF kuleta figures kwa PPP kwa sababu Tzn hatutumii sarafu tofauti kwamba ufanye kuconvert kwa kutumia index ya PPP , na bidhaa ni zilezile na hata prices ni ndogo Nyanda za Juu Kusini kuliko huko Kanda ya ziwa ko niliyegemea purchasing power parity iwe kubwa Kusini kuliko Kaskazini.
Yaani wewe ndo ndezi kabisa, eti 'inashangaza IMF' hivi kati ya wewe wa ikwiriri na IMF chombo si tu cha kitaifa bali cha kimataifa nani anashangaza?! Afu unajitoa akili wakati hata hiyo taarifa wameandika kabisa according to NBS.Endelea kudanganya ndina.
 
Back
Top Bottom