Rehma na amani ziwafikie Muhammad na Yesu Kristo

Rehma na amani ziwafikie Muhammad na Yesu Kristo

Wasomi na watumishi wa dini hizi mbili yaani (Uislamu na njia ya Kristu), naomba jibu ya swali langu hili dogo tu,.

Kila linapotajwa jina la YESU au la MUHAMMAD
Huwa mnaongezea na maneno tena kwa unyenyekevu au kwa molali ya hali ya juu huwa mnasema

(REHMA NA AMANI ZIMFIKIE)
Swali langu kwa waislamu
Je, ni Amani gani mnayotaka Muhammad imfikie?
Je, ni Rehma gani hizo mnazomuombea Muhammad kwa Mungu ili ZIMFIKIE?
Na je ni nani huyo aliyetoa ilo agizo?
Yaani ni Muhammad mwenyewe akitaka kuombewa Rehma kutoka kwetu, au ni Mungu mwenyewe ndio anataka tuwaombee mitume yake mwenyewe?

Je kati ya Muhhammadi na sisi yupi wa kumuombea mwenzie REHMA na AMANI kwa Mungu.?

Ukisoma biblia na quran tukufu imetanabaisha kuwa
MUHAMMAD na YESU ni binadamu watakatifu na ni binadamu wasio wahi kutenda dhambi katika maisha yao yote ya duniani.
Maana yake ni watu wa peponi moja kwa moja.

Sasa kuna haja gani ya kuwaombea REHMA NA AMANI.?
Je huko waliko kwani wanahitaji Rehma au Amani?

Nawasilisha.,

Sio kwa ubaya wala kubeza nahitaji kupata tu elimu.

Hiyo ni amri ya Allah SW

Zaidi soma hapa kwenye hii link

Surah Al-Ahzab Ayat 56 (33:56 Quran) With Tafsir
 
Hakuna sehemu inasema tumeombee Yesu Rehema Yesu ndiye atakayehukumu watu wote ila upande wa muhamad yeye hajui aendako pamoja na kuwa hadi Allah anamuombea rehema

Biblical Contradiction: Who Is The Judge of Mankind

John 12:47-49


47"
As for the person who hears my wordsbut does not keep them, I do not judge him. For I did not come to judge theworld, but to save it. 48There is a judge for the onewho rejects me and does not accept my words; that very word which I spoke willcondemn him at the last day. 49For I did not speak of my ownaccord, but the Father who sent me commanded me what to say and how to say it.


compared with


John 5:22


Moreover, the Father judges no one, but has entrustedall judgment to the Son,


1 Peter 1:17



Since you call on a Father who judges each man's work impartially,live your lives as strangers here in reverent fear.


So as we see John 12 contradicts John 5 becauseJohn 12 says that Jesus does not judge certain people. However, John 5 says that all judgment is entrusted to Jesus. John 5 contradicts with 1 Peter because John 5 says that the Father judges no one but in 1 Peter we see that the Father does judge man's work.
 
Biblical Contradiction: Who Is The Judge of Mankind

John 12:47-49


47"
As for the person who hears my wordsbut does not keep them, I do not judge him. For I did not come to judge theworld, but to save it. 48There is a judge for the onewho rejects me and does not accept my words; that very word which I spoke willcondemn him at the last day. 49For I did not speak of my ownaccord, but the Father who sent me commanded me what to say and how to say it.


compared with


John 5:22


Moreover, the Father judges no one, but has entrustedall judgment to the Son,


1 Peter 1:17



Since you call on a Father who judges each man's work impartially,live your lives as strangers here in reverent fear.


So as we see John 12 contradicts John 5 becauseJohn 12 says that Jesus does not judge certain people. However, John 5 says that all judgment is entrusted to Jesus. John 5 contradicts with 1 Peter because John 5 says that the Father judges no one but in 1 Peter we see that the Father does judge man's work.
Sasa usichanganye mambo Yesu ujio wake wa kwanza hakuja kujaji mtu alikuja kutoa utaratibu ambao sasa ukiukataa ndipo atakuja kukujaji mwishoni . Alikuja kama mkombozi lakini awamu nyingine atakuja kama kama mfalme na awamu ya mwisho atakuwa mhukumu
 
Sasa usichanganye mambo Yesu ujio wake wa kwanza hakuja kujaji mtu alikuja kutoa utaratibu ambao sasa ukiukataa ndipo atakuja kukujaji mwishoni . Alikuja kama mkombozi lakini awamu nyingine atakuja kama kama mfalme na awamu ya mwisho atakuwa mhukumu

Hebu tuiache Biblia itueleze:

Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli."

Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.

Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu:

Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."

Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:

"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe."
Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi.
 
AANA5UOMBDini zote ni hekaya tu.

Na hao Yesu na Muhammad ni fictional characters tu.

Ndio maana wana logical Contradictions katika kuwaelezea katika dini zinazo wataja.
YESU TUNAMUOMBA HAOMBEWI!;
Anae ombewa Ili MWENYEZI MUNGU amnusuru na moto 🔥 ni muham mad aka allah.
 
Hebu tuiache Biblia itueleze:

Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli."

Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.

Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu:

Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."

Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:

"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa
Ndugu yangu andiko kama marko 16:15 hulioni kwenye biblia au unafanya makusudi
 
Sasa usichanganye mambo Yesu ujio wake wa kwanza hakuja kujaji mtu alikuja kutoa utaratibu ambao sasa ukiukataa ndipo atakuja kukujaji mwishoni . Alikuja kama mkombozi lakini awamu nyingine atakuja kama kama mfalme na awamu ya mwisho atakuwa mhukumu

Mimi sichanganyi mambo ni biblia inajichanganya , hayo uliyoandika umeandika wewe hamana hayo katika biblia
 
Hebu onyesha mahali ambapo biblia inajichangaya kwenye hilo
 
Ndugu yangu andiko kama marko 16:15 hulioni kwenye biblia au unafanya makusudi

Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15.

Mathayo inasema:

Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.

Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

(Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.

Marko 16.15

Je, imekuwaje?

Yesu ni kigeugeu?

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima.

La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu.

Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.

Vipande vyote vitatu nilivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katika Marko ya asli, bali yaliongezwa baadae.

Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.
 
Hebu tuiache Biblia itueleze:

Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo. Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli."

Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.

Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu:

Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."

Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:

"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi.
Yohana 1:11-13
Ni kweli alikuja kwa israel lakini walimkataa sasa soma baada ya kumkataa kila anayemwamini anafanyika mtoto ndio maana akasema si kwa kuzaliwa
[11]Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.
He came unto his own, and his own received him not.
[12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
But as many as received him, to them gave he power to become the sons of God, even to them that believe on his name:
 
Hebu onyesha mahali ambapo biblia inajichangaya kwenye hilo

Yohana 12: 47-49


47"
Kuhusu mtu anayesikia maneno yangu lakini asiyashike, mimi simhukumu. Kwa maana sikuja kuhukumu ulimwengu, bali kuuokoa. 48Yuko mwamuzi kwa yeye anikataaye na hayakubali maneno yangu; neno lile nililolinena litamhukumu siku ya mwisho. 49 Kwa maana mimi sikunena kwa shauri langu mwenyewe, bali Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na jinsi ya kusema.


ikilinganishwa na


Yohana 5:22


Tena, Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;


1 Petro 1:17


Kwa kuwa mnamwita Baba ambaye anahukumu kazi ya kila mtu bila upendeleo, ishini maisha yenu kama wageni katika hofu ya uchaji.


Kwa hivyo tunapoona Yohana 12 inapingana na Yohana 5 kwa sababu Yohana 12 inasema kwamba Yesu hawahukumu watu fulani. Hata hivyo, Yohana 5 inasema kwamba hukumu yote imekabidhiwa kwa Yesu. Yohana 5 inapingana na 1 Petro kwa sababu Yohana 5 inasema kwamba Baba hamhukumu mtu yeyote ila katika 1 Petro tunaona kwamba Baba anahukumu kazi ya mwanadamu.
 
Ni kweli alikuja kwa israel lakini walimkataa sasa soma baada ya kumkataa kila anayemwamini anafanyika mtoto ndio maana akasema si kwa kuzaliwa
[11]Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.
He came unto his own, and his own received him not.
[12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
But as many as received him, to them gave he power to become the sons of God, even to them that believe on his name:

@ kwisha

Tafsiri ya Biblia iitwayo Harper's Bible Commentary inasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma.

Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.

Kimalizio hicho hakionekani katika nakala za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."

Maneno hayo ya Paulo aliyowaandikia Wakorintho na ndio mara ya kwanza kutajwa kufufuka kwa Yesu ni haya:

Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko; na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maaandiko; na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Thenashara; baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala; badaye akamtokea Yakobo; tena na mitume wote; na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.

1 Wakorintho 15.3-8

Ikiwa kipande chote tangu mstari 9 mpaka mstari 20 katika sura 16 ya Injili ya Marko, kimepachikwa, basi kisa chote cha kufufuka Yesu kimebuniwa.

Mwenye kubuni kisa hichi ni Mtakatifu Paulo.

Hivyo ndivyo ninavyoweza kuagua kutokana na kuisoma Biblia, kwani maandishi ya kwanza hayamo katika Injili bali yamo katika barua ya Paulo kwa Wakorintho.
 
Ni kweli alikuja kwa israel lakini walimkataa sasa soma baada ya kumkataa kila anayemwamini anafanyika mtoto ndio maana akasema si kwa kuzaliwa
[11]Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.
He came unto his own, and his own received him not.
[12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
But as many as received him, to them gave he power to become the sons of God, even to them that believe on his name:

@ kwisha


Ikiwa basi msingi wa hadithi nzima ya kufufuka Yesu hadi ya ubora wake ni kuwa ni ya shaka shaka - licha ya kuwa ni wazi kuwa ni ya uwongo - hapana njia ya kuamini ya Kuwa Yesu wakati wo wote katika historia aliwahi kuamrisha watu "Enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu," kwa sababu haya hakuyasema ila baada ya huko kunakoambiwa ni kufufuka.

Katika Biblia ya Kiswahili iliyotangazwa na The British and Foreign Bible Society 1950 kifungu cha Marko 16 tangu mstari wa 9 mpaka mwisho yaani mstari wa 20 kimetiwa katika mipinde miwili hivi ( ) kuonyesha kuwa maneno hayo hayakuwamo katika maandiko ya asili.

Ilivyokuwa imethibitika kuwa hayo ya Marko si madhubuti, basi yaliyonukuliwa na Mathayo na Luka juu ya mambo hayo ya kufufuka, na kuamrisha kwenda kuhubiria watu wa ulimwengu, na kuutaja Utatu, yote hayo ni baatili.

Kwa muhtasari tunaona kuwa Biblia inashuhudia kuwa Yesu alikuwa ni Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwa Waisraili waliopotea njia.

Hadithi ya kuwa aliamrisha mafunzo yake yakatangazwe kwa watu wote "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" imebuniwa na kuongezwa mwishoni mwa Injili tatu za Mathayo, Marko na Luka.

Kadhaalika kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu kwa njia ya kimiujiza imeongezwa, na kauli ya Utatu basi ya kuwa mafunzo yakatangazwe "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" pia nayo imebuniwa na wala haina asili yo yote ya kweli.
 
Wasomi na watumishi wa dini hizi mbili yaani (Uislamu na njia ya Kristu), naomba jibu ya swali langu hili dogo tu,.

Kila linapotajwa jina la YESU au la MUHAMMAD
Huwa mnaongezea na maneno tena kwa unyenyekevu au kwa molali ya hali ya juu huwa mnasema

(REHMA NA AMANI ZIMFIKIE)
Swali langu kwa waislamu
Je, ni Amani gani mnayotaka Muhammad imfikie?
Je, ni Rehma gani hizo mnazomuombea Muhammad kwa Mungu ili ZIMFIKIE?
Na je ni nani huyo aliyetoa ilo agizo?
Yaani ni Muhammad mwenyewe akitaka kuombewa Rehma kutoka kwetu, au ni Mungu mwenyewe ndio anataka tuwaombee mitume yake mwenyewe?

Je kati ya Muhhammadi na sisi yupi wa kumuombea mwenzie REHMA na AMANI kwa Mungu.?

Ukisoma biblia na quran tukufu imetanabaisha kuwa
MUHAMMAD na YESU ni binadamu watakatifu na ni binadamu wasio wahi kutenda dhambi katika maisha yao yote ya duniani.
Maana yake ni watu wa peponi moja kwa moja.

Sasa kuna haja gani ya kuwaombea REHMA NA AMANI.?
Je huko waliko kwani wanahitaji Rehma au Amani?

Nawasilisha.,

Sio kwa ubaya wala kubeza nahitaji kupata tu elimu.
Baraka na rehema zote zinatoka Kwa Mungu

Na Mungu amesema ukiwaombea baraka au rehema mitume yake na wewe utalipwa na Mungu sio huyo mtume

Mwanzo 12:3
nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Hapo Mungu anasema ukimbariki Ibrahim naye atakubariki na ukimlanin naye atakulani
Yani akitatwa nabii Ibrahim wewe ukisema REHEMA NA AMANI IWEJUU YAKE
Hapo wewe umemuomba Mungu ampe rehema Ibrahim
Wewe ukifanya hivyo na wewe Mungu atakupa rehema
Hilo ni agixo la Mungu Wala sio Ibrahim na ukifanya hivyo hayo mema yanarudi kwako Kwa sababu Ibrahim yeye tayari Alishabarikiwa na Mungu kitambo na ameshaambiwa ataingia peponi
Hata Yesu aliyajua haya akawambia Wana wa Israel sitaki sadaka ila nataka rehema
Mathayo 9:13 Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.
 
Hakuna sehemu inasema tumeombee Yesu Rehema Yesu ndiye atakayehukumu watu wote ila upande wa muhamad yeye hajui aendako pamoja na kuwa hadi Allah anamuombea rehema
Kumbe yesu ndie mtoa hukumu ya siku ya mwisho. Duh, hii mada ni mpya kabisa.
Aya nikuulize tu swali, yule baba ake yesu ambaye yesu alikuwa akisema kwa baba yangu na alikuwa akimuomba amuepushe na kikombe kalibu na kusulubiwa kwake atakuwa na kazi gani siku ya hukumu?
 
Hakuna sehemu inasema tumeombee Yesu Rehema Yesu ndiye atakayehukumu watu wote ila upande wa muhamad yeye hajui aendako pamoja na kuwa hadi Allah anamuombea rehema
Si kuna dua huwa wakristo mnawaombea baraka YESU NA mama yake au ni mimi ndio sielewi kuhusu ukristo
 
Biblical Contradiction: Who Is The Judge of Mankind

John 12:47-49


47"
As for the person who hears my wordsbut does not keep them, I do not judge him. For I did not come to judge theworld, but to save it. 48There is a judge for the onewho rejects me and does not accept my words; that very word which I spoke willcondemn him at the last day. 49For I did not speak of my ownaccord, but the Father who sent me commanded me what to say and how to say it.


compared with


John 5:22


Moreover, the Father judges no one, but has entrustedall judgment to the Son,


1 Peter 1:17



Since you call on a Father who judges each man's work impartially,live your lives as strangers here in reverent fear.


So as we see John 12 contradicts John 5 becauseJohn 12 says that Jesus does not judge certain people. However, John 5 says that all judgment is entrusted to Jesus. John 5 contradicts with 1 Peter because John 5 says that the Father judges no one but in 1 Peter we see that the Father does judge man's work.
Kwahiyo Mungu mwenyewe ndio kaweka aombwe kitu anatoa mwenyewe tena anatoa kwa watu wake kalibu?

Yaani mfano wewe una watoto wako alafu ushindwe kuwapa ela ya ada. Alafu uje uniamrishe mimi niwaombee kwako watoto wako ela ya ada ili iweje?
Hiyo ni amri ya Allah SW

Zaidi soma hapa kwenye hii link

Surah Al-Ahzab Ayat 56 (33:56 Quran) With Tafsir
 
Back
Top Bottom