Rehma na amani ziwafikie Muhammad na Yesu Kristo

Rekebisha hapo kwa Muhamad, Muhamad aliuwa watu wengi sana ila Yesu alifufuwa wafu.

Nimekupa muongozo ili uweze kuwatofautisha.
Yesu hakuuwa ? Aliye mpa nguvu Samsonite nani , aliye amrisha moses annalize majeshi ya farau nani.
 
Hawakosei kwa sababu wanajua alivyolaaniwa kwa uongo na ukatili. Hivyo, kila wakitaja jina lake lazima wamuombee msamaha au kitubio kwa madhambi yasiyosameheka aliyotenda kiumbe huyu habithiii.
 
Yesu hakuuwa ? Aliye mpa nguvu Samsonite nani , aliye amrisha moses annalize majeshi ya farau nani.
unaongea kama usiyeelewa kitu.
Yesu kama mtoto wa Mariamu hakuwahi kuua mtu yeyote bali aliwafufua wafu.
Ukimuweka katika hali ya Emmanueli hawezi kulaumiwa kwa kuua kwani ndio njia kuu ya kuwachukua watu wake kwake kwani Kifo ni njia kuu ya kumfikia alipo.
Alaf unapo ongea na huyo muungwana Dr. unatakiwa kujipanga kabla ya kuongea, la sivyo atakuacha kwa kutofautiana kwenu uwezo wa kuelewa mambo.
 
Hawakosei kwa sababu wanajua alivyolaaniwa kwa uongo na ukatili. Hivyo, kila wakitaja jina lake lazima wamuombee msamaha au kitubio kwa madhambi yasiyosameheka aliyotenda kiumbe huyu habithiii.
Ndiyo mafundisho ya Nabii wenu Tito yanavyosema?
 
Unaweza kutuwekea ushahidi wa mtu aliyefufuliwa na Yesu?
 
Yesu hakuuwa ? Aliye mpa nguvu Samsonite nani , aliye amrisha moses annalize majeshi ya farau nani.
Dr .Nilimuomba atupe ushahidi wa mtu moja tu aliyefufuliwa na Yesu Ameingia mitini
 
Kwahiyo Mungu mwenyewe ndio kaweka aombwe kitu anatoa mwenyewe tena anatoa kwa watu wake kalibu?

Yaani mfano wewe una watoto wako alafu ushindwe kuwapa ela ya ada. Alafu uje uniamrishe mimi niwaombee kwako watoto wako ela ya ada ili iweje?

Mbona hufahamiki? Tazfadhali uliza kwa ufasaha na kwa mpango ili ueleweke vizuri
 
Dr .Nilimuomba atupe ushahidi wa mtu moja tu aliyefufuliwa na Yesu Ameingia mitini
Mimi siyo jobless nina harakati za kimaisha za kufanya nikiwa free ndio nakuja humu kijiweni.

Ushahidi wa kufufuwa upo wazi kwenye Biblia, unahitaji verse? Hata wewe?
 
Mimi siyo jobless nina harakati za kimaisha za kufanya nikiwa free ndio nakuja humu kijiweni.

Ushahidi wa kufufuwa upo wazi kwenye Biblia, unahitaji verse? Hata wewe?
Nahitaji dr Kama ipo
 
Nahitaji dr Kama ipo

Marko 5:35-43​

Yesu Amfufua Binti Yairo​

35 Alipokuwa akiongea, watu wakafika kutoka nyumbani kwa Yairo wakamwambia, “Usimsumbue tena mwalimu, binti yako amefar iki. ” 36 Lakini Yesu hakuyatilia maanani maneno hayo, akamwam bia Yairo, “Usiogope, bali amini tu.”
37 Hakumruhusu mtu mwingine amfuate isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, nduguye Yakobo.

38 Walipofika nyumbani kwa yule kiongozi wa sinagogi, Yesu aliona vurugu na watu wengi wakilia na kuomboleza kwa nguvu.39 Alipoingia ndani, aliwaambia, “Kwa nini mnafanya vurugu na kuomboleza? Mtoto hakufariki bali amelala.” 40 Wale watu wakam cheka kwa dharau. Lakini yeye akawatoa wote nje, akawachukua baba na mama wa yule mtoto pamoja na wale wanafunzi aliokuwa nao, wakaenda pale alipokuwa yule mtoto. 41 Akamwinua mtoto akamwam bia, “Talitha kumi!” Maana yake, “Binti mdogo, nakwambia amka!’ ’

42 Mara yule mtoto akasimama, akaanza kutembea. Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili. Walipoona haya, walistaajabu sana.43 Yesu akawaamuru wasimweleze mtu jambo hili, na akawaambia wampe yule mtoto chakula.
 

Hizo aya zote ni hadithi tunazopewa na mtu aliyepewa jina la Marko, na hakuna mahali mtu huyo alisema Bwana Yesu alimfufua Binti Yairo na kwa maelezo yake kwenye aya ya 39 yanasema

39 Alipoingia ndani, aliwaambia, “Kwa nini mnafanya vurugu na kuomboleza? Mtoto hakufariki bali amelala.


Yaani Yesu mwenyewe anasema kuwa mtoto hakufa amelala , hapo hakuna ufufuo
 
Mwanangu mbona kama naanza kukuelewa hivi
 
Ma proffesor na ma DDs wa kikristo naona nimekimbiwa kupewa ushahidi wa Aya ya Yesu kufufua walau inzi tu wachilia mbali mtu , kutoka ndani ya biblia yoyote Kati ya maelfu ya biblia. Zilizo tofauti
Nawasubiri mkipata wakati tupieni jicho huku
 
Embu usimfananishe Yesu na mud! Mud alioa mtoto mdogo ingekuwa bongo angenyea Debe miaka 30 aliku muharamia pia
 
Embu usimfananishe Yesu na mud! Mud alioa mtoto mdogo ingekuwa bongo angenyea Debe miaka 30 aliku muharamia pia
Tuambie Yesu eti alimfufua Nani? Au alijifufua mwenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…