Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Kuishabikia Yanga Lazima Ujitoe Ufahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili kuchukua kombe la CAFHivi huwa mnakazania kwenda michezo ya CAF ili kufanya nin kwa mfano???
Alhaji Rage kuwaita MAMBUMBUMBU anapaswa kutukiwa tuzo ya Amani ya NOBELMAKOLO..
Mna shida sana, mi nilijua umeleta list ya timu zilizochukua ubingwa wa CAF, kumbe upuuzi huu
Sisi Namungo na wewe tupo sawa, wote washiriki kama wenzetu wa Zanzibar unacho jitahidi wewe ni kupoteza mda wa kusafiri mwisho wa siku unarudi na aibuHivi huwa mnakazania kwenda michezo ya CAF ili kufanya nin kwa mfano???
Kwani angeleta hiyo Yanga ingekuwemo?[emoji1787][emoji1787]MAKOLO..
Mna shida sana, mi nilijua umeleta list ya timu zilizochukua ubingwa wa CAF, kumbe upuuzi huu
Yanga angekuemo angezileta?Kwani angeleta hiyo Yanga ingekuwemo?[emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
kisa tu mazuzu Utopolo hawapo hata 100 bora ndiyo makasiriko yote haya. Binti Sayuni una gubu.MAKOLO..
Mna shida sana, mi nilijua umeleta list ya timu zilizochukua ubingwa wa CAF, kumbe upuuzi huu
listi yangu ya ubingwa hii hapaMAKOLO..
Mna shida sana, mi nilijua umeleta list ya timu zilizochukua ubingwa wa CAF, kumbe upuuzi huu
Kama Makombe Hamchukui Huko Basi Msitupigie Makelele, Wenzenu Wanajigamba Kwa Kuchukua Ubingwa Huko Sio Nyie Malimbukeni Eti Kisa Mliishia Robo Fainali Msimu Wa Corona [emoji23]mnaulizia ya makombe kama nani wakati hatua ya makundi tu kwenu mtihani,mara ya mwisho liwekwa kundi moja na rayon na gor mahia mkachezea vichapo nje ndani, mlichobakiza ni kushangilia magoli 6 ya mayele na kuongoza ligi otherwise shut the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up muangalie wawakilishi pekee wa Cecafa waliobaki wakifany ayao
Kuongoza ligi wanashangilia saana ila takwimu za kafu wanasema zinasaidia Nini . Kwani wenyewe kuongoza ligi Kuna saidia Nini. Ni kama vichaa mashabiki wa utopoloMtanena kwa lugha zote hadi ukunga mtapiga ,mlichobakisha ni kushangilia kuongoza ligi basi hakuna jingine la kujivunia
Nyie kuongoza ligi mbona mnashangilia utopolo ha haKama Makombe Hamchukui Huko Basi Msitupigie Makelele, Wenzenu Wanajigamba Kwa Kuchukua Ubingwa Huko Sio Nyie Malimbukeni Eti Kisa Mliishia Robo Fainali Msimu Wa Corona [emoji23]
Ni vichaa yaani, wanajiita team kubwa Africa wakati hata kwenye record ndogo kama hizo hawamo . Wanazidiwa Hadi na Namungo tumbafuKuishabikia Yanga Lazima Ujitoe Ufahamu
Mnajiita team kubwa Africa for what. Kwa kuwa mnaongoza ligi. Au mnaropoka tuuNi sawa na kuwa na ball possession nyingi halafu huna goli inakusaidia nn
Vipi mbona timu yako siioni?MAKOLO..
Mna shida sana, mi nilijua umeleta list ya timu zilizochukua ubingwa wa CAF, kumbe upuuzi huu
Kombe gani simba analo Yanga hajawahi chukua tuanzie hapoMnajiita team kubwa Africa for what. Kwa kuwa mnaongoza ligi. Au mnaropoka tuu
Ongoza na wewe kama ni rahisi si tuna cheza ligi mojaNyie kuongoza ligi mbona mnashangilia utopolo ha ha