ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
Msimu wa 2018/2019 wakati mnyama anatinga robo fainali,kulikuwa kuna corona?Kama Makombe Hamchukui Huko Basi Msitupigie Makelele, Wenzenu Wanajigamba Kwa Kuchukua Ubingwa Huko Sio Nyie Malimbukeni Eti Kisa Mliishia Robo Fainali Msimu Wa Corona [emoji23]