Rekodi yako ya muda mfupi sana wa safari kuendesha gari (private drive)

Rekodi yako ya muda mfupi sana wa safari kuendesha gari (private drive)

Ulitumia muda gani kupumzika? Ulikua mwenyewe au mlipokezana? Gari aina gani kama hautajali?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app

Aisee sikupumzika wala kupumzisha gari
Nilishuka mara mbili tu Kuchimba dawa
Tena kichakani naweka chuka kushoto ikiwa inaunguruma nakijoa kisha narudi kwenye Usukani
Hakuna kushuka hotelini wala nini.
Sema nilikuwa na abiria mmoja yeye alikuwa amejipakilia Vyakula hivyo hakunisumbua Habari za kwenda hotelini.
Note. Safari yote sikula Chochote zaidi ya Maji TU
 
Aisee sikupumzika wala kupumzisha gari
Nilishuka mara mbili tu Kuchimba dawa
Tena kichakani naweka chuka kushoto ikiwa inaunguruma nakijoa kisha narudi kwenye Usukani
Hakuna kushuka hotelini wala nini.
Sema nilikuwa na abiria mmoja yeye alikuwa amejipakilia Vyakula hivyo hakunisumbua Habari za kwenda hotelini.
Note. Safari yote sikula Chochote zaidi ya Maji TU
Hongera mkuu!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Dodoma - Mwanza kwa saa 7?! Anyway....labda
 
Saa sita usiku weekday, nasimama vipi kwenye taa! Mnashangaa 20mins Mcity to Kibada, kuna mtu katembea Bagamoyo-Mwenge chini ya nusu saa nafikiri ilikuwa dakika 22 au 27!
Mmmmmh![emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom