Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Kumbe tupo wengi:
Nina rekodi kama yako. Nilikuwa na ufaulu mzuri sana na advance nilichaguliwa moja ya shule za vipaji.
Historia ya ufaulu chuoni miaka mitatu nina C moja tu kwenye cheti changu, zilizobaki ni B kwenda juu. Hivyo vyeti vyangu vimeshiba.
Nina vyeti vya taaluma na uongozi.

Popote nilipopata nafasi ya kujitolea au kuajiriwa kwa muda nimekuwa mfanyakazi bora, vyeti ninavyo kama vyote.

Cha ajabu sasa, mwaka wa 10 sijawahi pata ajira rasmi na sasa nipo mtaani najipambania navyojua mwenyewe.

NB: Mimi ndo msomi wa kwanza kutokea kwenye ukoo wetu kwahiyo connection hakuna kabisa.
 
Muangalie na course za kusoma. Kuna course za watu wa kishua wenye connection na za watoto wa maskini wasio na connection.

Ungesoma education au afya I hope ungekuwa umeajiriwa au uko kwenye nafasi nzuri ya kuajiriwa. Tena na hiyo pcm huko kwenye education ingekuwa zamani sana.
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwemda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari. Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM ( Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM ( University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Ukiangalia record yako ya ufaulu kwa maoni yangu inaonesha trend mbovu ya mahusiano tangu shuleni.

O-level umepata div one peke yako kati ya watu 138
A-level mmepata div one wawili tu
Na chuo trend ni the same.

Connections huwa zinaanza kujengwa level za primary, mtu anaweza asiwe na uwezo mzuri sana class ila ana connections ambazo ukiwa na mahusiano mazuri anaweza kukuconnect na watu ukapata unacho hitaji.

Matokeo na ufaulu wako yanaakisi kiwango flani cha ubinafsi wa kujitenga na kutotaka kushare knowledge na wenzio nao wakafanya vizuri nadhani ni sababu kubwa unastruggle kupata japo ajira pamoja na ufaulu mzuri.

Watu wa aina yako mara nyingi ikitokea hawajabebwa na matokeo yao kwenye kazi/maisha huwa wanapitia unachopitia.

Hujachelewa, change mindset yako, ongeza kiwango chako cha interaction na watu mtaani bila kujali status zao sana ilimradi unaona wanaweza kukuvusha kwa jambo lako.

Ile mindset ya shule kutaka kufaulu prke yako mtaani haiko relevant. Mtaani we ukifanikiwa haizuii mtu mwingine kufanikiwa bali ili ufanikiwe zaidi unahitaji kuzungukwa na walio fanikiwa zaidi pia.

Ukiwa matured utagundua kuwa Maisha ya mtaani ni about improving and helping each other na si kushindana. Mtaani, matokeo ya jitihada za mtu yanategemea zaidi volume ya watu ulionao (network) wakati shule unaweza komaa kivyako na ukatoka na flying colors.
 
M
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwemda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari. Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM ( Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM ( University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Miaka 27 bado sana, subiri ufike 45.
 
Record hii ilifanywa na jirani angu mmoja kipindi hcho ni broo.
Nae alisoma Engineering in geology now yuko GGM japo kahustle Ile mbaya.

Nafkiri hizi Faculty ni nzuri na nizawenye uwezo mkubwa ila hazina soko kabisaa.

Huyu jamaa pia alibahatika akapata schoollership Norway akasoma Petroleum engineering.
Ila Bado alipata tabu tuu.
 
Ukiangalia record yako ya ufaulu kwa maoni yangu inaonesha trend mbovu ya mahusiano tangu shuleni.

O-level umepata div one peke yako kati ya watu 138
A-level mmepata div one wawili tu
Na chuo trend ni the same.

Connections huwa zinaanza kujengwa level za primary, mtu anaweza asiwe na uwezo mzuri sana class ila ana connections ambazo ukiwa na mahusiano mazuri anaweza kukuconnect na watu ukapata unacho hitaji.

Matokeo na ufaulu wako yanaakisi kiwango flani cha ubinafsi wa kujitenga na kutotaka kushare knowledge na wenzio nao wakafanya vizuri nadhani ni sababu kubwa unastruggle kupata japo ajira pamoja na ufaulu mzuri.

Watu wa aina yako mara nyingi ikitokea hawajabebwa na matokeo yao kwenye kazi/maisha huwa wanapitia unachopitia.

Hujachelewa, change mindset yako, ongeza kiwango chako cha interaction na watu mtaani bila kujali status zao sana ilimradi unaona wanaweza kukuvusha kwa jambo lako.

Ile mindset ya shule kutaka kufaulu prke yako mtaani haiko relevant. Mtaani we ukifanikiwa haizuii mtu mwingine kufanikiwa bali ili ufanikiwe zaidi unahitaji kuzungukwa na walio fanikiwa zaidi pia.

Ukiwa matured utagundua kuwa Maisha ya mtaani ni about improving and helping each other na si kushindana. Mtaani, matokeo ya jitihada za mtu yanategemea zaidi volume ya watu ulionao (network) wakati shule unaweza komaa kivyako na ukatoka na flying colors.
Useful post
 
Ukiangalia record yako ya ufaulu kwa maoni yangu inaonesha trend mbovu ya mahusiano tangu shuleni.

O-level umepata div one peke yako kati ya watu 138
A-level mmepata div one wawili tu
Na chuo trend ni the same.

Connections huwa zinaanza kujengwa level za primary, mtu anaweza asiwe na uwezo mzuri sana class ila ana connections ambazo ukiwa na mahusiano mazuri anaweza kukuconnect na watu ukapata unacho hitaji.

Matokeo na ufaulu wako yanaakisi kiwango flani cha ubinafsi wa kujitenga na kutotaka kushare knowledge na wenzio nao wakafanya vizuri nadhani ni sababu kubwa unastruggle kupata japo ajira pamoja na ufaulu mzuri.

Watu wa aina yako mara nyingi ikitokea hawajabebwa na matokeo yao kwenye kazi/maisha huwa wanapitia unachopitia.

Hujachelewa, change mindset yako, ongeza kiwango chako cha interaction na watu mtaani bila kujali status zao sana ilimradi unaona wanaweza kukuvusha kwa jambo lako.

Ile mindset ya shule kutaka kufaulu prke yako mtaani haiko relevant. Mtaani we ukifanikiwa haizuii mtu mwingine kufanikiwa bali ili ufanikiwe zaidi unahitaji kuzungukwa na walio fanikiwa zaidi pia.

Ukiwa matured utagundua kuwa Maisha ya mtaani ni about improving and helping each other na si kushindana. Mtaani, matokeo ya jitihada za mtu yanategemea zaidi volume ya watu ulionao (network) wakati shule unaweza komaa kivyako na ukatoka na flying colors.
Umeeleza vyema sana mkuu,
Nadhani ukijitia kichwa sana na ubinafsi shuleni si rahisi kutoboa .
 
Ndiyo maana mi mtoto wangu nimempangia asome mwisho form 4 then peleka SUA akasomee KILIMO NA UFUGAJI then akiwa anaingia Degree namuanzishia duka la pembejeo akimaliza nauza viwanja viwili namfundisha kufuata madawa ya mifugo na shambani KENYA NA CHINA likiwa pumbafu shauri lake nahamia kwa mdogo ake.
KAMA UMEPENDA HUU MPANGO WANGU GONGA LIKE TWENDE WOTE
Mpango wako umekaa vizuri lakini je huyo mtoto wako ana ndoto kama za kwako au unalazimisha afate ndoto zako.
Watoto wengi wa kizazi hiki hawataki kuamuliwa cha kufanya unakuta tayari ana plans zake...na kama anajitambua basi plans zake zinaeleweka.
 
  • Hongera kwa kuhitimu.​
  • Kwa ujuzi ulionao, unaweza ukaangalia aina fulani ya mwamba na kuutambua kuwa una madini?​
  • Kama ni ndiyo, njoo tuanze kukagua miamba miwili mitatu; baada ya hapo tunaweza kupata mtaji ata wa milioni mia mbili, kwa sababu tutauza hayo madini na mtaji utapatikana.​
  • Kama ni hapana, elimu itakuwa haitatui kero zaidi ya kuwa na wingi wa karatasi.​
 
pole sana mkuu,,,,
Mimi Nina record Kama yako mkuu,,,
Usikate tamaaa utapata,,,, ila kwa kipindiiii hikiiii tafutaaa Shule au chuo cha kati,,, nenda upige mapindiii hata kwa nusu mshahara….
Kakaangu alimaliza chuo na course ya telecommunication engineering na akaishia kufundisha mathematics kwa miaka 5 mpk alipopata kazi inayohusu fani yake
Kwa sasa anakula kuku kwa mrija ila joto ya jiwe aliipata
 
Kwanza ondoa mentality ya ukipanga kichwani mwako, vipanga mko wengi, kila shule na kila darasa kuna vipanga, mimi mwenyewe nilikuwa A-List student enzi zangu.

Ila kwenye kufanya maamuzi ya nini nikakisomee from form 4 niliangalia zaidi kitu chenye tija mbeleni. Ushauri kutoka kwa ndugu zangu walionitangulia ilikuwa nichague arts ila nikawakacha nikachagua science. Kwenda chuo nikaikacha SUA japokuwa nilisomea kilimo advance, nikachagua afya.

Hata ww bado una nafasi ya kufanya maamuzi sahihi.

Cha kwanza ondoa mentality ya kwamba ulikuwa kipanga hivyo unapaswa "Upewe Priority". Kisha tafuta cha kufanya wakati unaendelea kutafuta ajira rasmi, na kifanye kwa bidii, utafanikiwa tu.
Mkuu kama ulivyosema kwenye haya maisha mara nyingine unaamua tu kusoma kitu flani ili mradi usije ukateseka kwenye maisha... Back in 2009 nilikua na one but niliamua tu kusoma education pale udsm ilimradi tu nisije hangaika baadae nibaki kujilaumu kwamba nilikua vizuri darasani but Leo Sina KAZI.... Sasa mtu akisikia jamaa ni teacher basi anajua huyu ni kilaza alifeli kumbe ni kuchekecha maisha...
 
Kumbe tupo wengi:
Nina rekodi kama yako. Nilikuwa na ufaulu mzuri sana na advance nilichaguliwa moja ya shule za vipaji.
Historia ya ufaulu chuoni miaka mitatu nina C moja tu kwenye cheti changu, zilizobaki ni B kwenda juu. Hivyo vyeti vyangu vimeshiba.
Nina vyeti vya taaluma na uongozi.

Popote nilipopata nafasi ya kujitolea au kuajiriwa kwa muda nimekuwa mfanyakazi bora, vyeti ninavyo kama vyote.

Cha ajabu sasa, mwaka wa 10 sijawahi pata ajira rasmi na sasa nipo mtaani najipambania navyojua mwenyewe.

NB: Mimi ndo msomi wa kwanza kutokea kwenye ukoo wetu kwahiyo connection hakuna kabisa.
Halafu utakuta kuna mitoto ya wanasiasa tena ni vilaza tu mida hii imeajiriwa inakula kiyoyozi ofcn inasubiri mwisho wa mwezi ufike idake maokoto ya maana hahahhha
 
Kijana, kwanza hongera.
Pili, usikate tamaaa hata siku moja. Kaa chini mshukuru Mungu bado unanguvu na akili. Unaweza kuishi kwa namna yoyote ile na sio lazima uajiriwe. Fikiria cha kufanya mbali na kufikiri kuajiriwa. Wewe ni mpambanaji... kama uliweza pambana darasani naamini hutashindwa pambana katika chochote mbele yako. Waza cha kufanya na Mungu atakuwa upande wako. Mara nyingi Shetani huzuia riziki za mtu.... mtumainie Mungu ukiendelea kupambana.
 
Back
Top Bottom