granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
moja ya coz famba sana kwa sasa, niamini mm.Wala hakukosa mshauri ni coz nzuri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
moja ya coz famba sana kwa sasa, niamini mm.Wala hakukosa mshauri ni coz nzuri tu
Dalili za ulosiii hziiiiSo what?
Watu wanarundikana tu mtaani hahaha ukipata channel usiichezee mamaezenyuPole sana mkuu, wako wengi. Kuna mmoja ana ufaulu mkubwa sana zaidi yako, Olevel div 1 ya 9, Advance div 1 ya 4, akaingia top 20 wanafunzi bora kitaifa, Chuo akasoma petroleum, mpaka sasa hana ajira rasmi.
Unazungumzia mwelekeo? Unafikiri kila mtoto anamwelekeo? Kwanza mtoto wa kitanzania/Kiafrika anatoa wapi mwelekeo?? Huoni akinamwigulu wanafosi kuingiza watoto wao kwenye mfumo wa siasa unadhani huo ndio mwelekeo wao? Bro, hapa ni Africa, ukiplaya kizungu unaambulia manyoya.Mpango wa kipumbavu. Angalia kwanza mwelekeo wa mtoto wako na sio kumlazimisha afanye unachotaka wewe. Wazazi kama wewe ni wabinafsi wanaojijali wao tu.
Hata wewe unasema tu lakini mentality yako inagoma. Tumekuwa tukijua unaenda shule kusoma tuje tuajiriwe tulipwe vizuri tuishi maisha kama akina fulani. Tuliambiwa hivo nyumbani na wazazi, hadi na walimu shuleni na wahadhiri vyuoni.Unasoma ili uelimike, na si uajiriwe.
Ulidanganywa, za kuambiwa changanya na zako.Hata wewe unasema tu lakini mentality yako inagoma. Tumekuwa tukijua unaenda shule kusoma tuje tuajiriwe tulipwe vizuri tuishi maisha kama akina fulani. Tuliambiwa hivo nyumbani na wazazi, hadi na walimu shuleni na wahadhiri vyuoni.
Waliojua mapema habari za kuelimika waliishia la7 wakajua kusoma na kuandika kisha wakazama mtaani kuuface uhalisia. Ndio waajiri wenu hivi sasa.
True true..Wengi wetu tumefaulu Sana Ila katika maisha network na social intelligence ndio muhimu zaidi.
Kuusoma Mtaa na kujua unahitaji na ni vipi ujamiane na watu Kwa ajili ya kupata pesa.
Mimi na marafiki zangu wengi tuliokuwa tunafanya vizuri darasani .
Tupo hatua Fulani ya maisha Ila kuna jamaa yeye alikuwa darasani hayupo vizuri Sana Ila Leo hii yeye safari za ulaya German ,France anaend Kama unavyoenda kariakoo.
So mambo mengi ni swala la chance and opportunity, efforts plus GOD and nothing else.
Naamini connection utapata na mambo yatabadilika kuanzia sasa
😊☺️😅 Hii comment nimecheka Sana Ila nimecheka kwa mazuri sio kwa ubaya.Uliwekeza kwenye kukariri mambo ya vitabu yasiyo na Tija ukasahau kuwekeza kwenye maarifa ya Maisha na connection
SUA form 4 fresh hawapokelewi labda vyuo vya LITA na MATINdiyo maana mi mtoto wangu nimempangia asome mwisho form 4 then peleka SUA akasomee KILIMO NA UFUGAJI then akiwa anaingia Degree namuanzishia duka la pembejeo akimaliza nauza viwanja viwili namfundisha kufuata madawa ya mifugo na shambani KENYA NA CHINA likiwa pumbafu shauri lake nahamia kwa mdogo ake.
KAMA UMEPENDA HUU MPANGO WANGU GONGA LIKE TWENDE WOTE
Ebu tuanzie hapa mkuu job creators wa uchuuzi ama?? Maana tunachofanya ni kuuza biashara za wenzetu(maproducer China, Japan and so on)😊☺️😅 Hii comment nimecheka Sana Ila nimecheka kwa mazuri sio kwa ubaya.
Ulicho kieleza ndio uhalisia ulivyo kwa Sasa duniani na popote.
NB.
Kuna jamaa angu mmoja ni mshikaji aliwai kunialika alikua anafanya TEACHING PRACTICE (TP) kwenye hiyo shule yule bwana mdogo alikua anafundisha HISTORY kwa kiwango Cha juu Sanaa.
Huko chuoni kwao walikua wamempa nickname ya PROFESSOR Ila jamaa mpaka leo hii yupo nje ya mfumo Hana ajira ya ualimu kwa miaka 10 Sasa..
Uone Sasa Maisha ni sometimes luckiness dogo mmoja mzembe mzembe hakua hata na uwezo mzur sanaa yeye kasoma language akapata kazi huyu mwingine professor still yupo mtaa anapambanaa..
Hatunaa budi kubadilisha mindset zetu dunia imesha badilika Sasa inabidi wasomi wawe job creater not job seekers.
Kwa Sasa kijijini
MPUMBWI
HahaaaaHabari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.
Primary
Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi
Sekondari
Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.
Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)
Advance
Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)
Chuo Kikuu.
Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.
Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Acha visingizio wewe how old are u? Il mradi huko Hai mda bado nao unavosema ulipoteza mda wapi??Hahaaaa
Engineer tuliza ndonga hiyo ,
Wengine sekondari tulikuwa T.O kabisa na time omoa first class za Engineering Ila kazi tunafanya tofauti kabisa na tulivyosomea
Nchi ngumu hii mkuu
Mimi ni Electrical Engineer lakini ni dalali sasa hivi town hapa
Bongo miyeyusho sana hii ,sometimes elimu ya juu ni kama westage ya muda ra resources , nahisi ningekuwa mbali sasa hivi kiuchumi kama ningefanya kuanza shughuli yangu baada ya kumaliza form four Tu
Sasa si muelekeze nini cha kufanya sio kumlaumuMiaka 27 tu unalialia .
Umri wako kwa Ulaya ni mtu mzima mwenye kampuni zake ila kwa hapa Bongo bado hujachelewa