Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Ebu tuanzie hapa mkuu job creators wa uchuuzi ama?? Maana tunachofanya ni kuuza biashara za wenzetu(maproducer China, Japan and so on)
Vyovyote vile wewe kua mbunifu pika chapati,Maandazi fanya bunifu mbali mbali pia kubali kuanzia Chini unatoboa mkuu.

Mbona hata wahindi wanachuuza dawa

Apply MERCANTILISM yaan una buy cheap na una sell dealy
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Baada yakumaliza shule sasa uko field unajifunza mambo ya field kuhusiana na maisha...

Mimi baada yakumaliza shule nilikaa kitaa na nikapitia hali kama yakwako, ila sasa maisha hayatokaaa tena kuwa kama ya mwanzo. Wakati sina kazi nilijifunza jinsi yaku manage pesa.
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Pole sana ndugu yetu. Bahati mbaya dunia haina fair play na hata elimu yetu ya sasa haioanishi mafanikio na kiwango cha elimu ulicho nacho. Cha msingi pambana hata kwa kufanya mambo mengine ili maisha yasonge. Sasa hivi wazazi tumebaki kuwahimiza wanafunzi wasome ili kufuta ujinga. Yaani mtu anasoma hadi degree kufuta ujinga 🤣🤣🤣🤣
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Ushauri pekee na mwisho tumia Kinga kwa Kila Kitendo kama huna mtoto. Usijiroge ukajipa mtoto wa mtu mimba sahivi. Utajua hujui??
 
Gentleman,
fanya biashara.
kilimo biashara na ufugaji biashara ndiyo kila kitu gentleman.

ni muhimu ujuzi na maarifa yako ya elimu kubwa uliyonayo ukatumia vyema kwenye maeneo hayo ya wazi kabisa kujikwamua kwenye fedheha, unyonge na kuchakaza viatu mtaani kwa kurandaranda bila mipango 🐒
Majibu ya ki gentleman haya murua kabisaa 😊☺️
 
Kama ulianza form1 wakati shule za kata zinaanzishwa na ukasoma Enginnering geology chuo, basi itakuwa uligraduate 2014.
You are my classmate. 2014 hadi leo ni miaka 10. Bado unahaha kutafuta kazi. Utafutaji wa kazi ukiuendekeza sana utashtukia uzee huu. Hamna cha maana ulichofanya.

Ushauri wangu. Ni wakati sasa wa kupunguza au kuacha kabisa kutia effort kwenye kutafuta kazi. Anza kujitafuta wewe. Japo hata kwenye kujitafuta bado ni kwamoto lakini niamini ukitia nia, ipo siku utajipata. Nilikuwa kama wewe zamani. Mimi nimesoma mining Engineering. Zoezi la kutafuta kazi nimeabolish rasmi mwaka 2020. Saivi nashukuru am good the other way.
KILA LA KHERI MPAMBANAJI.
Mining Engineer 😂😂😂 nacheka kama mazuri ,vile .
Hii nchi ni mazafaka , sishauri mtu asome Engineering ,ni usenge kusoma course ngumu na expensive halafu inamaliza masomo unapiga hata appreticeship na bado mtaani ajira hamna na chache zilizopo ni kwa rushwa na connection .
Naongea kutokana na experience ya hii issue niliyonayo .
Don't you dare !
Danganyika nation inahitaji socialogists , waalimu na nurses
Engineers tujitafute Kwa shughuli nyingine la sivyo utashtukia mvi zimejaa kichwani bado inatafuta ajira tu
 
Mining Engineer 😂😂😂 nacheka kama mazuri ,vile .
Hii nchi ni mazafaka , sishauri mtu asome Engineering ,ni usenge kusoma course ngumu na expensive halafu inamaliza masomo unapiga hata appreticeship na bado mtaani ajira hamna na chache zilizopo ni kwa rushwa na connection .
Naongea kutokana na experience ya hii issue .
Don't you dare !
Danganyika nation inahitaji socialogists , waalimu na nurses
Ebu elezea kwa kina hapa socialigists (watendaji wa Kata ama vitengo vipi kwenye ajira)
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Pole sana mkuu ila usikate tamaa bado mapema mno, endelea kupambana kwa shughuli zingine nje ya ulichosomea..... wakati wako utakuja tu, amini hilo.
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Wewe ni muongo umri miaka 27 wakati umeanza seko kpnd kata seko ndo znaanza
 
Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.

Primary

Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi

Sekondari

Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.

Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)

Advance

Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)

Chuo Kikuu.

Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.

Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Shida ipo kwenye kozi uliosoma.
Ukisema kwenye mining kuna vijana hata hwana elimu wanatega baruti na kulipua miamba migaodi midogo na ya kati
MIgodu mikubwa GGM hapa geita mchina amekuja na kifaa cha kupasua miamba ww utafit wap?


Ujenzi nako na hicho cheti chako unaenda kufanya kaz kama nani? Maana wanaitaji man power wTu wakujenga na kuchangany zege ww uta fit wap?

Labda ujaribu TARURA Angalau uwe unapata tenda za kukwangua murramu Road.
Shusha expectation za kuajiriwa kwa hii Taaluma uliosoma angalia field nyngne cha muhimu ni kupata pesa
 
Mining Engineer 😂😂😂 nacheka kama mazuri ,vile .
Hii nchi ni mazafaka , sishauri mtu asome Engineering ,ni usenge kusoma course ngumu na expensive halafu inamaliza masomo unapiga hata appreticeship na bado mtaani ajira hamna na chache zilizopo ni kwa rushwa na connection .
Naongea kutokana na experience ya hii issue niliyonayo .
Don't you dare !
Danganyika nation inahitaji socialogists , waalimu na nurses
Engineers tujitafute Kwa shughuli nyingine la sivyo utashtukia mvi zimejaa kichwani bado inatafuta ajira tu
Hatari. Halafu wakati tupo chuo tunajiona, mainjinia si ndo sisi😅😅
 
Ilikuwa ni 2005/2006 sio??
Kitu kama hicho rafiki, wekapo miaka 7 kabla ya s/msing na miaka 7 baada ya s/m hapo aseme anaelekea 40yrs.

Halafu wakat anamalza chuo nna uhakika kwa kiwango chake cha ufaulu na rekod yake tangu s/m, migod mikubwa kama GGM na Buzwag wangekua washa mgongea/ kumwekea oda kabla hata hajamaliza chuo labda kama fields zake alikua anazifanyia kwenye tumigod tudogo tudogo coz najua walokua wanapga fd migod mikubwa na wakaonyesha uwezo mkubwa walikua wanakua booked mapema sana.

Kitu kimoja tuwekane sawa hapa, practical sio theory na theory sio practcal so unaweza kua mzuri kwenye makaratas halafu ukawa wa hovyo unapopewa mashine ufanye kaz.

Ushauri, kuna watu hawana hata chet cha la7 ila n wakemia migod midogo ya uchenjuaji madn (dhahabu) maarufu kana migod ya kuozesha (vat reaching plants) nenda kajifunze hyo fan for free kikubwa uwe na hela yako ya kula wskat wa mafunzo. Migod mingine mtu kama wewe unaweza kwenda kujfunza ni elution plants na sp plants.

Geology mnasoma miamba halafu unakua na njaa kweli?? Kwahyo hujui jinsi ya kuipata miamba ya dhahabu eti? Au umesomea miamba ya chumvi? Tafta mashine za kufanyia survey ya miamba (we unajua mnafanyaje) ukipata hyo mashine nenda machakani huko katafte miamba ukiipata nenda ofis za madini omba resen ya kuchimba umiliki claim (kilempu, kwa kibongo bongo). Then tafta mtu mwenye mtaji mkachimbe hizo dhahabu. Kumbuka uki claim eneo hata la kituo cha afya au police unaweza kuwalipa wenye eneo wakahama we ukapiga kaz kama huwez kuwalipa bas mtagawana dhahabu. NB NB NB Vipimio vya miamba vipo had vya laki na nusu
 
Kuna mimi form 4 three ya mwisho ,form 6 two ya mwisho chuo GPA ya 3.2 . Law School first sitting

mambo sio mabaya .. Point yangu ni ufaulu sio kigezo cha kufanikiwa jua pa kupiga na kwa wakati gani upige .akili ya darasani na kwenye Field ni vitu viwili tofauti
 
Huwezi kua umeingia seko kipindi shule za kata zinaanza ukawa na miaka 27.

That aside, kwanini usirudi chuoni kwenu ukaomba kufundisha?
 
Back
Top Bottom