MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Mate umefaulu shule ya kata form one na A level ujaenda special unasema una rekodi bora ya masomo acha utani.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa mshangazi umeamua kutoa tag inapendeza🤔😐Njoo hapa tufanye kazi kijana usilalamike sana..
Mchongo upo hivi. Kampuni yetu unafanya kazi kwa siku ni 15000 hyo kwa ajili ya kula..
Akini pia mwisho mwezi unapewa chako kama kawaida yaani mshahara..
Sasa kazi ipoje.. kuwa mpole...
Kwanza hii kampuni yetu unajihusisha na uuzaji wa blue band. Na biadhaa nyingine kama mafuta pamoja na majiko ya gesi.
Kazi unafanya vipi. Utapata maelekezo ofisini.
Je ukiulizwa nyumbani unafanya nini jibu ni..... Bussness manager
Mkuu pesa ipo huku hatuzunguki sana mda mwingi upo kwa gari.
Ikitokea root ya mkoani utainjoi sana sana sana tena sana.
Kama ni mtu wa totoz mkuu hapa ndo.mahari pake mkuu..
Karibu sana mkuu.
Your warmly welcome
Miaka 27 mimi nilikua form five mkuu🤣Miaka 27, bado mtoto mdogo hata usiogope sisi wengine tunakaribia umri wa kustaafu na hatujawahi kuwa na kazi inayoeleweka
Sasa hivi una miaka 40+ na umeshaolewaMiaka 27 mimi nilikua form five mkuu🤣
ID ya Me budahSasa hivi una miaka 40+ na umeshaolewa
Sasa hivi una miaka 40+
Tatizo vijana wa siku hizi wana haraka sana na maisha, mvumilivu hula mbivu🤣Miaka 27 mimi nilikua form five mkuu🤣
Philomena ni KE sio ME -Khalid na Philomena walipendana na penzi lao lilidumuID ya Me budah
Kuna jamaa Mbongo alifariki Mwaka Jana km sijakosea alipata zari Scholarship akaenda kusomea Bachelor ya Computer Science U.S akazamia huko huko Google wakamchukua akaja kupata ajali kwenye boti ndio ikawa hivyo akafia ndani ya majiTafuta mchongo kasome nje na zamia huko bongo utasota sana. Utasema huna hela au connection hizo ni sababu uchwara, weka nia utafanikiwa.
Pole sana mkuu, wako wengi. Kuna mmoja ana ufaulu mkubwa sana zaidi yako, Olevel div 1 ya 9, Advance div 1 ya 4, akaingia top 20 wanafunzi bora kitaifa, Chuo akasoma petroleum, mpaka sasa hana ajira rasmi.
Kuna jamaa Mbongo alifariki Mwaka Jana km sijakosea alipata zari Scholarship akaenda kusomea Bachelor ya Computer Science U.S akazamia huko huko Google wakamchukua akaja kupata ajali kwenye boti ndio ikawa hivyo akafia ndani ya maji
Ukweli kabisa mkuu ukitoka nje hamia huko huko huku ukitaka kuzikwa rudi tuje kukuzika au kufa huko huko utakuja kuzikwa hukuNampata. Wabongo wanaofanya kazi fortune500 wapo wengi sana, hao wachache ni wale ambao mmewasikia, huko google, apple, Microsoft, Tesla, amazon, Chase, BOA, Meta hadi CIA wapo wengi tu. Na kazi sio lazima ufanye huko yapo makampuni mengi sana yakufanya kazi au kujiajiri mwenyewe huko nje. Maisha sio TZ tu, maisha popote bongo tutarudi kuzikwa tu kama miviongozi ya ccm si mnaona wote huwa wanafia nje.
Sasa mwanangu cannabis nkuchekeshe wakati naanza 🤣darasa la kwanza kipind hicho mule Kuna Watu walikuwa na miaka 18, 17, hapo ni darasa la kwanza na wakati namaliza darasa la saba mkubwa alikuwa na miaka 24🤣Miaka 27, bado mtoto mdogo hata usiogope sisi wengine tunakaribia umri wa kustaafu na hatujawahi kuwa na kazi inayoeleweka
Jamii forum hakuna mwny Jina halisi mkuu labdaPhilomena ni KE sio ME -Khalid na Philomena walipendana na penzi lao lilidumu
Wakati mwingine muwe munajiongeza! Sasa "Engieering Geology" kwa hapa bongo unategemea nini? Labda utafute vyuo vikuu vipya uajiliwe kama "tutorial assistant "Habari wana jukwaa. Kwa kweli hivi sasa bila connection ni ngumu kupata kazi, vinginevyo Mungu aingilie kati. Binafsi kwa neema ya M/Mungu nimefanikiwa kuwa nahistoria ya kufanya vizuri darasani, na kuwa mwanafunzi bora kuanzia nilipokuwa shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Historia yangu kwa ufupi ipo hivi.
Primary
Ufaulu mzuri nikapangiwa kwenda sekondari, japo ni ya kata, wakati huu ndo shule za kata zimeanzishwa kwa wingi, hivyo hata wenye ufaulu mzuri walipelekwa shule hizi ili kufidia gap la wanafunzi
Sekondari
Nilifanya vizuri sana. Nimekuwa mwanafunzi namba moja darasani tangu kidato cha kwanza mpaka cha nne na nikafanikiwa kuzawadia cheti cha mwanafunzi bora na uongozi baada ya kufanya vizuri kwa miaka yote minne ya sekondari.
Nikafaulu kwa ufaulu wa daraja la kwanza, nikiwa mwanafunzi pekee darasa nzima la wanafunzi 138 mwenye daraja la kwanza na nikapangiwa kwenda Advance kwa mchepuo wa PCM (Physics, Chemistry, Advance Math)
Advance
Hapa napo sikukaa kizembe, katika darasa la wanafunzi 38, kidato cha tano na cha sita vyote nilikuwa mwanafunzi namba moja ama namba mbili kwenye mitihani ya terms na kikanda. Katika wanafunzi 38 wa PCM, wanafunzi 2 pekee tukafanikiwa kupata Div I. Hivyo moja kwa moja tukapangiwa chuo kikuu, na wote tulikwenda chuo kimoja, UDSM (University of Dar Es Salaam)
Chuo Kikuu.
Nikasomea program ya engineering (Engieering Geology), ni program ya miaka minne. Kwa ufupi hapa shule ilikuwa ngumu sana, ukijumlisha na changamoto za kifedha, lakini historia ya nyuma ya shule ilinibeba nikapata mkopo wa serikali 100%. Chuoni tulianza wanafunzi 14, lakini tuliobahatika kumaliza mpaka mwaka wa mwisho ni wanafunzi 6, na katika hao sita, ni mimi pekee nilifanikiwa kufaulu kwa kiwango cha juu kidogo ukilinganisha na wenzangu cha Second class honors, Upper division ambacho na hakika si kiwango haba kutokana na ugumu wa program husika.
Hio ndo historia yangu ya shule kwa ufupi sana, nimeelezea matokeo tuu, sijaelezea matukio. Lakini nasikitika kuona kwamba rekodi hio haijawa na mchango chanya kuniwezesha kupata kazi. Mpaka sasa kijana natangatanga, hapa na pale. Nipo wazi kufanya kazi kwenye migodi ya uchimbaji, kampuni za ujenzi wa majengo na barabara. Na kwa sasa nina leseni ya ulipuaji (blasting licence for both Open pit & Underground mining)
Hahah! Ama hakika kupata kazi zama hizi connection... Wakuu nipeni CONNECTION!! Umri ni miaka 27.
Labda ni la demu wakoJamii forum hakuna mwny Jina halisi mkuu labda
Wakati mwingine muwe munajiongeza! Sasa "Engieering Geology" kwa hapa bongo unategemea nini? Labda utafute vyuo vikuu vipya uajiliwe kama "tutorial assistant "
Binadamu tunaishi kwa matumaini. Kinachotufanya tulale tuamke kesho tukahangaike ni matumaini. Ukikosa matumaini unachanganyikiwa. Hivyo ni muhimu kuwapa watu matumaini kwa kuonyesha experience ya wengine.Watiaji moyo hamkosekani mwamba anataka channel yenye connection sio kumtia moyo mpigieni pande hilo
Toa Connection mkuu wewe upo kwenye Channel toa ConnectionBinadamu tunaishi kwa matumaini. Kinachotufanya tulale tuamke kesho tukahangaike ni matumaini. Ukikosa matumaini unachanganyikiwa. Hivyo ni muhimu kuwapa watu matumaini kwa kuonyesha experience ya wengine.