Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Mie kwa wtt wangu najikita kwenye education, afya na business
Km akiwa smart hukohuko atajitengenezea connection za maana zaidi.
Tena ualim ndio daraja zuri la kupitia unapoanza maisha
 
Kama ulianza form1 wakati shule za kata zinaanzishwa na ukasoma Enginnering geology chuo, basi itakuwa uligraduate 2014.
You are my classmate. 2014 hadi leo ni miaka 10. Bado unahaha kutafuta kazi. Utafutaji wa kazi ukiuendekeza sana utashtukia uzee huu. Hamna cha maana ulichofanya.

Ushauri wangu. Ni wakati sasa wa kupunguza au kuacha kabisa kutia effort kwenye kutafuta kazi. Anza kujitafuta wewe. Japo hata kwenye kujitafuta bado ni kwamoto lakini niamini ukitia nia, ipo siku utajipata. Nilikuwa kama wewe zamani. Mimi nimesoma mining Engineering. Zoezi la kutafuta kazi nimeabolish rasmi mwaka 2020. Saivi nashukuru am good the other way.
KILA LA KHERI MPAMBANAJI.
 
Mpango wa kipumbavu. Angalia kwanza mwelekeo wa mtoto wako na sio kumlazimisha afanye unachotaka wewe. Wazazi kama wewe ni wabinafsi wanaojijali wao tu.
 
Yaani wewe jamaa umenikera sana .
Mkopo asilimia 100% ukahindwa kujiajri.

Kweli usilaumu elimu ,jilaumu wewe hapo
 
Siku Ukiingia kwenye system ya ajira ama biashara ya fani yako utasahau kama ushaandika uzi kama huu wa kulaumu. Hatima yako ni njema, endelea kukaza
 
Mpango wa kipumbavu. Angalia kwanza mwelekeo wa mtoto wako na sio kumlazimisha afanye unachotaka wewe. Wazazi kama wewe ni wabinafsi wanaojijali wao tu.
Vijana wa sasa ndio wamechanhanyikiwa hawajui hata nini wanataka
Wao wanataka maisha ya short cut na kubeti tu
Wakati mwengine mzazi inabidi uwe kabaji ndio mtt akuelewe
 
Vijana wa sasa ndio wamechanhanyikiwa hawajui hata nini wanataka
Wao wanataka maisha ya short cut na kubeti tu
Wakati mwengine mzazi inabidi uwe kabaji ndio mtt akuelewe
Sio vijana wote wamechanganyikiwa. Mzazi kulazimisha kutimiza ndoto zake kupitia mtoto sio sawa.
 
Mkuu kwenye haya maisha sisi tunapanga na Mungu naye anapanga.

Cha msingi kwenye maisha ni kuridhika na pale ulipo, hilo ndo la msingi.

Ridhika na kile ulichojaaliwa meanwhile unaendelea kupambana, ila usiridhika unaweza kujikuta unajikatia tamaa na uharibu kila kitu.
 
Mpango wako umekaa vizuri lakini je huyo mtoto wako ana ndoto kama za kwako au unalazimisha afate ndoto zako.
Watoto wengi wa kizazi hiki hawataki kuamuliwa cha kufanya unakuta tayari ana plans zake...na kama anajitambua basi plans zake zinaeleweka.
Nimempeleka shule ina interest hizo na pia anaonesha yupo interest na pia na mimi nalima na pia nafuga so naamini atapokea ushauri
 
Nimempeleka shule ina interest hizo na pia anaonesha yupo interest na pia na mimi nalima na pia nafuga so naamini atapokea ushauri
Kama ni hivyo kila la kheri.
 
afanye na ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na kuku pia, akiwa maeneo ya chuga wallah hawez lala njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…