Reli ya kati DSM - Kigoma; 1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 19014) wakati teknolojia ikiwa duni

Reli ya kati DSM - Kigoma; 1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 19014) wakati teknolojia ikiwa duni

....ikumbukwe pia, hio saga ng'ombe iliyofanyika, yaani Ukatili uliofanyika kwa mababu zetu kutekeleza hayo ilikuwa ni balaa.

....mababu zetu hawakulipwa fidia pale ilipobidi reli kupita kwenye vijiji vyao

....mababu zetu hawakulipwa mishahara mizuri.

...faida kubwa ya Reli hizo zilikuwa zikienda Kujenga Ulaya









....
Maendeleo ndiyo yanataka huo mchakamchaka. Maendeleo ni kama vita. Ikitokea watu wote wanaswagwa kwwenda kupiganq. Wengine watarudi hai wengine watakufa.
 
Tukisema CCM inatupeleka kaburini hamtuamini.
Na hiyo Dar Moro pamoja na kwamba miaka 7 imeisha lkn reli baado kuanza shughuli.
Hivi kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM wakikaa huwa Wana discuss nini?
CAG report ovyo.
Umeme ovyo
Barabara kibaha Chz ovyo,
Education ovyo watoto wanakaa chini darasani.
Ila kuvunja nyumba za watu!!!!!
Hahaha
 
Kwakweli inasikitisha sana,yaani kipindi hicho reli inajengwa,vijana wa miaka ile walikua wengine wanatumia shoka,misumeno na vifaa vingine duni,kukata miti,sasa hivi miti inasngushwa kwa kutumia misumeno ya kisasa,mawe yanabebwa na magari ya kisasa kabisa,vyuma vya reli vinabebwa kwa urahisi kabisa,lakini unashangaa tunashindwa kumaliza,yaani aisee....
 
Reli ya kati DSM - Kigoma;

1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.

TAZARA

1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).

Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.

CnP
Wakati wa hizo reli kulitokea Covid 19? Kulitokea vita vya Ukraine?

Katika hesabu yako towa miaka 2 ya covid 19 na miaka 2 ya Ukraine Raussia War.

Tupo vizuri mpaka sasa.
 
Wakati wa hizo reli kulitokea Covid 19? Kulitokea vita vya Ukraine?

Katika hesabu yako towa miaka 2 ya covid 19 na miaka 2 ya Ukraine Raussia War.

Tupo vizuri mpaka sasa.
Na Vita ya Ukraine vina endelea kwa hiyo , hiyo reli hautokwisha na sasa kuna Vita vya Gaza
 
Nitashangaa sana kama CCM watakuja na issue ya reli tena kama Sera kuombea Kura wakati wa uchaguzi
 
Reli ya kati DSM - Kigoma;

1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.

TAZARA

1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).

Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.

CnP
Chama Cha Mabwege ndio kimeshika hatamu, wanataka sifa tu bila kufanya kazi
 
Reli ya kati DSM - Kigoma;

1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.

TAZARA

1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).

Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.

CnP
Ccm ni matapeli
 
Back
Top Bottom