Reli ya kati DSM - Kigoma; 1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 19014) wakati teknolojia ikiwa duni

Maendeleo ndiyo yanataka huo mchakamchaka. Maendeleo ni kama vita. Ikitokea watu wote wanaswagwa kwwenda kupiganq. Wengine watarudi hai wengine watakufa.
 
Hahaha
 
Kwakweli inasikitisha sana,yaani kipindi hicho reli inajengwa,vijana wa miaka ile walikua wengine wanatumia shoka,misumeno na vifaa vingine duni,kukata miti,sasa hivi miti inasngushwa kwa kutumia misumeno ya kisasa,mawe yanabebwa na magari ya kisasa kabisa,vyuma vya reli vinabebwa kwa urahisi kabisa,lakini unashangaa tunashindwa kumaliza,yaani aisee....
 
Reli ya kati DSM - Kigoma;

1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.

TAZARA

1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).

Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.

CnP
Wakati wa hizo reli kulitokea Covid 19? Kulitokea vita vya Ukraine?

Katika hesabu yako towa miaka 2 ya covid 19 na miaka 2 ya Ukraine Raussia War.

Tupo vizuri mpaka sasa.
 
Wakati wa hizo reli kulitokea Covid 19? Kulitokea vita vya Ukraine?

Katika hesabu yako towa miaka 2 ya covid 19 na miaka 2 ya Ukraine Raussia War.

Tupo vizuri mpaka sasa.
Na Vita ya Ukraine vina endelea kwa hiyo , hiyo reli hautokwisha na sasa kuna Vita vya Gaza
 
Nitashangaa sana kama CCM watakuja na issue ya reli tena kama Sera kuombea Kura wakati wa uchaguzi
 
Reli ya kati DSM - Kigoma;

1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.

TAZARA

1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).

Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.

CnP
Chama Cha Mabwege ndio kimeshika hatamu, wanataka sifa tu bila kufanya kazi
 
Reli ya kati DSM - Kigoma;

1254Km ilijengwa kwa miaka 7 (1905 - 1914) wakati teknolojia ikiwa duni.

TAZARA

1860Km ilijengwa kwa miaka 5 (1970-76).

Karne ya 21 Reli ya DSM - Moro, only 300Km inajengwa kwa miaka 7.

CnP
Ccm ni matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…