Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #81
Hii sub thread ni ya Intelligent. Huwezi ukaniita mtupu pasipo Ku prove utupu wangu. La sivyo wewe ndiye mtupu.Wewe jamaa ni mtupu dini haijibu maswali ya ya why?
Kwahiyo hakuna majibu ya kwanini ndege inaruka kwenye science?
Duh!! Nyambari Nyagwine ni mwanasayansi au ni mwanadini!?Yani ulivyojibu na kuandika methods na reasons nikajua wewe bado mwanafunzi unajibu kinotes notes na vitini vya nyambari nyangwine
Yani ujinga unaoandika humu ndio unajiita intelligent [emoji3][emoji3][emoji3]Hii sub thread ni ya Intelligent. Huwezi ukaniita mtupu pasipo Ku prove utupu wangu. La sivyo wewe ndiye mtupu.
Kama mada inakuzidi uwezo uliza nikueleweshe. Usi comment kwa mihemko.
Science:
the intellectual and practical activity encompassing the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation and experiment.
Sasa usipo toa maelezo ya maana na kuanza kutoa mipasho, Tutakuonaje!? angalau Mimi ni mjinga wewe hapo ulipo ni mpumbavu.Yani ujinga unaoandika humu ndio unajiita intelligent [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanza:Mkuu Venus, Wanachosema wenzako wapo sahihi na hapo juu katika hilo andiko lako unawaunga mkono, angalia ulichoandika; "intellectual and practical activity----
Hapo Intellectual inahusisha "Why" na practical activity inahusisha "How".
Kifupi ni kwamba wanasayansi hujiuliza kwanza Why na baadaye ndipo hujitahidi kujua How.
Hao wenzako wapo sahihi mkuu.
Mada ukiiona utaijua?Hahahaha!!!
Tumeanza kutumiana music sasa.
Nadhani ingekuwa vyema kama tungejadili mada. Au uweke references ya vitu vinavyohusiana na mada.
Asante.
Asante kwa matangazo.Mada ukiiona utaijua?
Nimekuuliza where do you get you phoney baloney, hujajibu.
Let me find out you are some Jesus freak who gets his shit from the Bible or washed out some Kabala nosense.
Right up there with the flat earth society.
Let me shit on you like I got two tails
Big fail, like in jail without bail
Your theories are flatfooted,
Reason muted, punctured parachuted
You have no science booted
Your weak shit is diluted
Brain cells polluted
You floundered, you squandered
An opportunity to seriously engage the squadron
You are a wannabee spitter
Aspiring top hitter
But bear in mind, you can't shake the jitters
Don't get bitter
Grab some books, and don't be a quitter
You are less than average garbage
Get some Babbage in your cabbage
You got baggage and luggage
From your thoughts to your language
You can't manage the carnage
Neither engage the rage
Alright wait, you ligthweight
You are not allowed to debate so late
Your style is juvenile, while I'm versatile like the Nile
With consistency and panache
A jazzy verve, best behave
I'm with finesse and menace
From here to Venice
And savoir faire to spare, without a care
Umepata wapi huu utumbo? Nimekuuliza hili swali.Asante kwa matangazo.
Rejea kwenye mada sasa.
Ninaongelea WHY for Religion and HOW for Science hapo vipi!?.
Utumbo!?? Hebu acha upumbavu wako bhana. Hapa tunaongelea utumbo!? Ebo!!!Umepata wapi huu utumbo? Nimekuuliza hili swali.
Hujalijibu.
Kuanzia hapo nakudharau na kukuona kiguluguja tu.
Una kichaa weweUtumbo!?? Hebu acha upumbavu kwako bhana. Hapa tunaongelea utumbo!? Ebo!!!
Wewe kama umeshindwa usilazimishe.
Rejea kwenye mada.
I am very strong kijana. Tujadili kistaarabu tu.
Utumbo!?? Hebu acha upumbavu kwako bhana. Hapa tunaongelea utumbo!? Ebo!!!
Wewe kama umeshindwa usilazimishe.
Rejea kwenye mada.
I am very strong kijana. Tujadili kistaarabu tu.
Tembea zako.Una kichaa wewe
Sasa katika context hiyo nimejaribu kueleza kuwa Science yenyewe inajikita kuelezea HOW nature operates wakati upate wa dini unajikita kueleza WHY nature exists.
Hujajibu maswali yangu.Kiranga unaweza kuwa unawazo zuri la kuweka hapa. But unashidwa.
Wewe weka definitions hizo kisha toa maelezo unayodhani yanatofautiana na mawazo yangu.
Mbona simple tu.
Nimekukataza kutafuta validation.Nakubaliana na wewe kwamba Dini sahihi na elimu sahihi ya sayansi vyote vinaenda pamoja na havipingani kwasababu vyote, naamini, vimetoka kwa Mungu huyo huyo mmoja.
Dini sahihi ni ile inayobeba maneno ya huyo Mungu na ndani ya hayo maneno wanadini wanaweza kuhoji Why na How, halikadhalika Sayansi sahihi ni ile inayo deal na uumbaji wa huyo Mungu ambapo katika huo uumbaji wanasayansi wanaanza kujiuliza Why na hatimaye How.
Sasa utaona Maswali ya Why na How ni universal sio katika dini na sayansi tu hata katika sociology pia nk.
Ndio maana nikasema hao wajumbe wanaosema kwamba sayansi (wanasayansi) nayo inaanza na Why hawajakosea na isitoshe wamekupatia facts halisi.
Rejea kwenye mada. Hapa tunaongelea HOW for science and WHY for religion.Hujajibu maswali yangu.
Thibitisha mimi ni kijana kwako.
Define what is science.
Define what is religion.
Upo sawa kweli kuanza kuniuliza issue zako personal!?"Thibitisha mimi ni kijana kwako."
Nimekukataza kutafuta validation.
Ni vyema ukatoa mawazo yako freely siyo kuegemea kwa mtu mwingine. Hapa hatutafuti marks.
Mimi siyo mzazi wako.Unikataze wewe umekuwa mzazi wangu??!!🤣
Wenzako wameongea ukweli na ndio maana nasisitiza zingatia kwa makini wanachosema wenzako. Sio aibu kukubali wanachoma wenzake as we are created to learn from many sources one of which is from your fellow humans.
"Why" and "How" are not merely Questions for religion and science respectively rather they are universal qns, found in many aspects of life, the speciality you want us adopt is your own and not universally acceptable, that's a figment of your imagination.🤣