Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Imani ni bora kuliko dini inashangaza sana nimekuwa bora kuliko mimi naamini meno ya lindi hulipa ulimi kama kazi yako dhambi unadhani malipo nini.
Kuwa mfuasi wa Imani bila kuwa na mwongozo unaohusu Imani Yako ni uzushi
 
The opium of the mass/people. Dini ni utapeli mkubwa uliowahi kutokea Duniani na umehalalishwa kabisa.

Dini ndiyo itamfanya mtu aamini kuna Mungu au asiamini. Tatizo langu kubwa na dini ni kwanini zipo nyingi? Ikiwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja iweje watu wagawanyike kimakundi wakijiaminisha Mungu wao ndiyo bora na dini yao ndiyo sahihi.

Mpaka sasa inakadiriwa kuna Miungu zaidi ya 3000 ambayo wanadamu wanaabudu. Dini kuu Duniani ni Ukristo na Uislamu: hiyo tayari ni Miungu miwili.

Jinsi dini zilivyoanzishwa na zilivyoingia Africa ni jambo la kufikirisha na mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize maswali. Je, watu walioishi Africa kabla ya dini, Mungu alifanya nini kuwaokoa watu wake kumjua na wasiangamie? Mungu yeye ni mkuu sana, kwanini ni watu wa jamii chache tu ndiyo walimjua kabla ya wengine? Siyo upendeleo huo?

Najua watapita wafia dini hapa (brainwashed) kuja kuandika kuwa nakufuru [emoji23] sijali, kwasababu siamini katika imani yoyote ile. Sifungamani na upande wowote.

Nimezaliwa na nimekulia kwenye Ukristo ila niliamua kwa hiari yangu mwenyewe kuachana na imani hiyo na kubaki kama nilivyozaliwa. Kwasasa naamini kwenye Deism (deist) mimi siyo Atheist wala Pagan.

Nakaribisha Atheists na open-minded Theists tujadili zaidi.
Faida za kua muislamu zina patikana hapa hapa duniani hata kabla ya kufa:
1. Utu nakusaidiana.
2.usafi wa mwili na roho.
3. Jinsi ya kufanya biashara
4.kusaidiana katika shida.
5. Kutueleza vyakula vizuri kwa aafya zetu.
6. Kulea watoto wetu na wazazi wetu.
7. Kutatua matatizo ya kila suku kama uzinifu wizi. nk.
Uislamu ni mfumo wa maisha wabinaadamu its alive religion here and after here, islam is not theoretical.
 
Hata Kingunge Ngombale Mwilu alikuwa anahoji vitu vya kijinga kama hivi, lakini dakika za mwisho alililia huduma ya Kanisa kwa kutoa machoni na kukiri Yesu ndiye Bwana!
Dakika za mwisho maana yake kifo. Hivi siyo vitu vya kijinga ninavyohoji na kifo kipo palepale hakikwepeki hata kwa maombi.

Ninamjua mtu aliyefariki kwa kuondoka hospitali alipokuwa akipatiwa matibabu na kwenda kanisani kufanyiwa maombi. Hali ilipokuwa mbaya wakarudi tena hospitali na ndiyo ikawa mwisho wa safari yake Duniani.

Hakipo kitu kitaweza kunitisha katika hii Dunia.
 
The opium of the mass/people. Dini ni utapeli mkubwa uliowahi kutokea Duniani na umehalalishwa kabisa.

Dini ndiyo itamfanya mtu aamini kuna Mungu au asiamini. Tatizo langu kubwa na dini ni kwanini zipo nyingi? Ikiwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja iweje watu wagawanyike kimakundi wakijiaminisha Mungu wao ndiyo bora na dini yao ndiyo sahihi.

Mpaka sasa inakadiriwa kuna Miungu zaidi ya 3000 ambayo wanadamu wanaabudu. Dini kuu Duniani ni Ukristo na Uislamu: hiyo tayari ni Miungu miwili.

Jinsi dini zilivyoanzishwa na zilivyoingia Africa ni jambo la kufikirisha na mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize maswali. Je, watu walioishi Africa kabla ya dini, Mungu alifanya nini kuwaokoa watu wake kumjua na wasiangamie? Mungu yeye ni mkuu sana, kwanini ni watu wa jamii chache tu ndiyo walimjua kabla ya wengine? Siyo upendeleo huo?

Najua watapita wafia dini hapa (brainwashed) kuja kuandika kuwa nakufuru 😂 sijali, kwasababu siamini katika imani yoyote ile. Sifungamani na upande wowote.

Nimezaliwa na nimekulia kwenye Ukristo ila niliamua kwa hiari yangu mwenyewe kuachana na imani hiyo na kubaki kama nilivyozaliwa. Kwasasa naamini kwenye Deism (deist) mimi siyo Atheist wala Pagan.

Nakaribisha Atheists na open-minded Theists tujadili zaidi.
Religions are indeed a scum,but Jesus Christ is not a scum.Infact even the Bible is questioning whether Jesus Christ is devided,because the presence of so many religions
show that.
In 1 Corinthians 1:12-13 we read
"12 Now this I say, that every one of you says, I am of Paul; and I am of Apollos; and I am of Cephas; and I am of Christ.
1 Corinthians 1:12

13 Is Christ divided? was Paul crucified for you? or were you baptized in the name of Paul?
1 Corinthians 1:13"

People should understand, that Jesus Christ did not bring religion but "Salvation." Religion is man's creation,it has nothing to do with God whatsoever.

Infact the precense of many religions proves only one thing, and that is, they do not believe in
one God, Lord,faith and spirit.That couldn't however be far from the truth. There is only one true God,faith,Lord and Holy Spirit.

It should also be remembered that
our God is not a God of chaos,but order and desires unity of His Church!

Please read John 17:11,21-23 to see this.
"11 And now I am no more in the world, but these are in the world, and I come to thee. Holy Father, keep through thine own name those whom thou hast given me, that they may be one, as we are.
21 That they all may be one; as thou, Father, art in me, and I in thee, that they also may be one in us: that the world may believe that thou hast sent me.
22 And the glory which thou gavest me I have given them; that they may be one, even as we are one:
22 And the glory which thou gavest me I have given them; that they may be one, even as we are one:
23 I in them, and thou in me, that they may be made perfect in one; and that the world may know that thou hast sent me, and hast loved them, as thou hast loved me.

What does all this imply,religion is a fake system of devide and rule designed by Satan himself,so a true believer in God with the Holy Spirit cannot associate himself with religion.
 
Sijasema hivyo! Mimi siyo Atheist. Naamini kuna chanzo cha ulimwengu ambaye wengi wanamuita Mungu. Ila mimi najua hakuna akili ya mwanadamu inaweza kujua chanzo cha ulimwengu.

Ukiacha imani ya uwepo wa Mungu bado kuna imani nyingine baada ya kifo. Wapo wanaoamini kuna maisha baada ya kifo (mbingu au kuzimu) na wapo wanaoamini kifo ndiyo mwisho wa kila kitu.

Mimi naamini hakuna mbingu wala kuzimu kama vitabu vya dini vinavyoeleza. Imani yangu haimaanishi mimi nipo sahihi ndiyo maana nikasema ikitokea mbingu au kuzimu ipo basi nitakapoenda nitakutana na aidha Waislamu au Wakristo na ikitokea wote wapo sahihi kwenye imani zao basi na mimi nitakuwa watakapoenda.

hizi ni imani kama ulivyosema.hazikufungi wala kukulazimisha uziamini kama unaona hazina misingi yenye mashiko.

lakini kudai ni uongo,wakati hata wewe,pia hujui nini unaamini hilo nalo ni tatizo.

katika watu zaidi ya 8bilion duniani,imani hizi mbili zimekuwa na ushawishi zaidi hasa ukristo,sababu zina hadithi ambayo kwa sehemu kubwa ina mashiko,japo bado maswali ni mengi.
ndio sababu unakuta hata ukichagua upande wa kuzikataa unaingia kwenye maswali binafsi na ambayo hayajibiki ukiulizwa mengi zaidi kuliko ukiamua kuzifata.
 
Religion is a fictional identity.

Religion is a mental slavery.

Religion is a set of dogmatic rules manipulating weak minds.

Religion is a practice of training the mind to ignore facts, evidences and logic.

Religion is a programming system for collecting money and controlling the behavior of People who are vulnerable to the concept of God.

Religion is the world's most successful pyramid Scam, Every member recruits their own kids.
 
Sijawahi kuvaa rozari. Na hoja yako imethibitisha nilichokiandika. Unahisi dini yako ndiyo ya kweli na sahihi, kwanini?
Cha kukusaidia tu ili upate ukweli wa mambo anza kusoma vitabu vya hzo din zote kisha mwsho utakuja jua ukweli umekaaje vinginevyo tutajaadili mengi lakin yote yatabaki kuwa ni dhana tu na huwez pata jibu sahihi
 
Dini yenu wavaa rozari ndio Ina ma-Scam. Wengi mnajifanya kujificha nyuma ya uongo wenu Kwa kugeneralize dini zote.

Islam is the Best Religion for Mankind
Kwanini unadhan Islam ni best kuliko zingine?

_20230918_085847.JPG
 
Wewe unachanganya madhehebu/Dini na Mungu au Bwana Yesu.Ni kweli kwamba madhehebu au dini ni nadharia ya uongo, lakini Yesu Kristo ni halisi na ndiye Mungu wetu. Kwa kweli hata Biblia inahoji kama Yesu Kristo amegawanyika, kwa sababu ya uwepo wa dini nyingi sana.

Katika 1 Wakorintho 1:12-13 tunasoma
"12 Basi nasema neno hili, ya kwamba kila mmoja wenu husema, mimi ni wa Paulo, na, mimi ni wa Apolo, na mimi ni wa Kefa, na mimi ni wa Kristo.

13 Je, Kristo amegawanyika? Paulo alisulubishwa kwa ajili yenu? au mlibatizwa kwa jina la Paulo?

Watu wanapaswa kuelewa, kwamba Yesu Kristo hakuleta dini au madhehebu bali "Wokovu." Dini zimetengenezwa na wanadamu wakishirikiana na Shetani, kwa hiyo hazina uhusiano wowote na Mungu.

Kwa kweli, kuwepo kwa dini au madhehebu mengi kunathibitisha jambo moja tu, nalo ni kwamba, haziamini katika
Mungu mmoja, Bwana mmoja, imani moja na roho mmoja. Hiyo ni mbali na ukweli hata hivyo:kuna Mungu mmoja tu wa kweli, imani moja, Bwana mmoja na Roho mmoja, yaani Roho Mtakatifu.

Ikumbukwe kwamba Mungu wetu si Mungu wa machafuko, bali ni Mungu wa utaratibu na anatamani umoja wa Kanisa Lake.

Tafadhali soma Yohana 17:11,21-23 ili kuona hili.

“11 Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako.

21 Ili wote wawe kitu kimoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako, hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba ndiwe uliyenituma.

22 Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.

22 Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.

23 Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujue ya kuwa wewe ndiwe uliyenituma, na kuwapenda wao kama ulivyonipenda mimi.

Je, haya yote yanamaanisha nini, dini ni mfumo ghushi wa gawanya utawale(devide and rule), uliobuniwa na Shetani mwenyewe, hivyo mwamini na mwanafunzi wa kweli wa Yesu na ambaye ana Roho Mtakatifu ndani yake,hawezi kujihusisha na dini.
 
Tatizo la hawa watu waliyoacha kuamini dini ni kwamba wanakuwa kama hawajiamini na wanachosimamia au wanachoamini baada ya kuacha kuacha kuamini katika dini, na wengine utaona kama wana hasira kabisa na hizi dini pamoja na waumini wake.

Ngumu kujifunza kutoka kwao sehemu kubwa katika majadiliano yao hutumia kuonyesha dharau na kushambulia waumini wa dini kuwaona ni wajinga hawana elimu, wanaamini kushambulia dini kama hivyo ndio kuna wafanya wao kuwa sahihi katika hiyo mitazamo waliyonayo au wanayoyaamini sasa.
 
Tatizo la hawa watu waliyoacha kuamini dini ni kwamba wanakuwa kama hawajiamini na wanachosimamia au wanachoamini baada ya kuacha kuacha kuamini katika dini, na wengine utaona kama wana hasira kabisa na hizi dini pamoja na waumini wake.

Ngumu kujifunza kutoka kwao sehemu kubwa katika majadiliano yao hutumia kuonyesha dharau na kushambulia waumini wa dini kuwaona ni wajinga hawana elimu, wanaamini kushambulia dini kama hivyo ndio kuna wafanya wao kuwa sahihi katika hiyo mitazamo waliyonayo au wanayoyaamini sasa.
Ninyi waamini dini ndio huwa mnapovu pale ambapo mtu akiwasilisha maoni yake ya kwamba haamini dini na Mungu.

Mna anza kumshambulia kwa vile haamini mnacho kiamini nyie.
 
Tatizo la hawa watu waliyoacha kuamini dini ni kwamba wanakuwa kama hawajiamini na wanachosimamia au wanachoamini baada ya kuacha kuacha kuamini katika dini, na wengine utaona kama wana hasira kabisa na hizi dini pamoja na waumini wake.

Ngumu kujifunza kutoka kwao sehemu kubwa katika majadiliano yao hutumia kuonyesha dharau na kushambulia waumini wa dini kuwaona ni wajinga hawana elimu, wanaamini kushambulia dini kama hivyo ndio kuna wafanya wao kuwa sahihi katika hiyo mitazamo waliyonayo au wanayoyaamini sasa.
Wafia dini ndo huwa wana tabia ya kushambulia the opposite side. Mahubiri yao huwa yamejaa huo upuuzi.
 
Back
Top Bottom