Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

The opium of the mass/people. Dini ni utapeli mkubwa uliowahi kutokea Duniani na umehalalishwa kabisa.

Dini ndiyo itamfanya mtu aamini kuna Mungu au asiamini. Tatizo langu kubwa na dini ni kwanini zipo nyingi? Ikiwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja iweje watu wagawanyike kimakundi wakijiaminisha Mungu wao ndiyo bora na dini yao ndiyo sahihi.

Mpaka sasa inakadiriwa kuna Miungu zaidi ya 3000 ambayo wanadamu wanaabudu. Dini kuu Duniani ni Ukristo na Uislamu: hiyo tayari ni Miungu miwili.

Jinsi dini zilivyoanzishwa na zilivyoingia Afrika ni jambo la kufikirisha na mtu mwenye akili timamu lazima ajiulize maswali. Je, watu walioishi Africa kabla ya dini, Mungu alifanya nini kuwaokoa watu wake kumjua na wasiangamie? Mungu yeye ni mkuu sana, kwanini ni watu wa jamii chache tu ndiyo walimjua kabla ya wengine? Siyo upendeleo huo?

Najua watapita wafia dini hapa (brainwashed) kuja kuandika kuwa nakufuru 😂 sijali, kwasababu siamini katika imani yoyote ile. Sifungamani na upande wowote.

Nimezaliwa na nimekulia kwenye Ukristo ila niliamua kwa hiari yangu mwenyewe kuachana na imani hiyo na kubaki kama nilivyozaliwa. Kwasasa naamini kwenye Deism (deist) mimi siyo Atheist wala Pagan.

Nakaribisha Atheists na open-minded Theists tujadili zaidi.
_20230918_092718.JPG
 
Faida za kua muislamu zina patikana hapa hapa duniani hata kabla ya kufa:
1. Utu nakusaidiana.
2.usafi wa mwili na roho.
3. Jinsi ya kufanya biashara
4.kusaidiana katika shida.
5. Kutueleza vyakula vizuri kwa aafya zetu.
6. Kulea watoto wetu na wazazi wetu.
7. Kutatua matatizo ya kila suku kama uzinifu wizi. nk.
Uislamu ni mfumo wa maisha wabinaadamu its alive religion here and after here, islam is not theoretical.
_20230722_202802.JPG
 
Ni kweli kwamba madhehebu au dini ni nadharia ya uongo, lakini Yesu Kristo ni halisi na ndiye Mungu wetu. Kwa kweli hata Biblia inahoji kama Yesu Kristo amegawanyika, kwa sababu ya uwepo wa dini nyingi sana.

Katika 1 Wakorintho 1:12-13 tunasoma
"12 Basi nasema neno hili, ya kwamba kila mmoja wenu husema, mimi ni wa Paulo, na, mimi ni wa Apolo, na mimi ni wa Kefa, na mimi ni wa Kristo.

13 Je, Kristo amegawanyika? Paulo alisulubishwa kwa ajili yenu? au mlibatizwa kwa jina la Paulo?

Watu wanapaswa kuelewa, kwamba Yesu Kristo hakuleta dini au madhehebu bali "Wokovu." Dini zimetengenezwa na wanadamu wakishirikiana na Shetani, kwa hiyo hazina uhusiano wowote na Mungu.

Kwa kweli, kuwepo kwa dini au madhehebu mengi kunathibitisha jambo moja tu, nalo ni kwamba, haziamini katika
Mungu mmoja, Bwana mmoja, imani moja na roho mmoja. Hiyo ni mbali na ukweli hata hivyo:kuna Mungu mmoja tu wa kweli, imani moja, Bwana mmoja na Roho mmoja, yaani Roho Mtakatifu.

Ikumbukwe kwamba Mungu wetu si Mungu wa machafuko, bali ni Mungu wa utaratibu na anatamani umoja wa Kanisa Lake.

Tafadhali soma Yohana 17:11,21-23 ili kuona hili.

“11 Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako.

21 Ili wote wawe kitu kimoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako, hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba ndiwe uliyenituma.

22 Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.

22 Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.

23 Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujue ya kuwa wewe ndiwe uliyenituma, na kuwapenda wao kama ulivyonipenda mimi.

Je, haya yote yanamaanisha nini, dini ni mfumo ghushi wa gawanya utawale(devide and rule), uliobuniwa na Shetani mwenyewe, hivyo mwamini na mwanafunzi wa kweli wa Yesu na ambaye ana Roho Mtakatifu ndani yake,hawezi kujihusisha na dini.
_20230918_094126.JPG
 
Kwenye Imani ni either uamini au usiamini.
Kama haumini wewe ni atheist au pagan.
 
Siamini uwepo wa miungu ya Wakristo Wala Waislamu

Naamini kwenye mizimu ya kinyiramba na Kiha

Ukiniona Kanisani ujue mama watoto ameniomba nikamsaidie kumuuzia sura kwa mashoga zake kuwa ana mume handsome,mpiga pamba Kali na mcha Mungu

Jina langu ni Yohana,hata sijui Hilo jina linamanisha nini kimzimu,hata sijui mizimu yake ilikuwaje

Huwa najisikia amani na furaha nikiitwa Kilimba,at least I know what the hell it means
KIKAO CHA MWISHO TULIKUBALIANA WANAUME HATUTAJIITA MAHANDSOME ISIPOKUA TUTAITWA HIVYO,,,NA UHANDSOME NI KUWA NA MICHUZI MINGI TU
 
Si kwamba waafrika hawakumjua Mungu kabla ya ujio wa dini.
Wao wanahukumiwa kwa sheria za asili yaani do or not do.
Wanahesabiwa haki kwa sababu walikuwa gizani
 
God did not create man with the original sin,man was perfect when he was created by God.See Genesis 1:31

"31 And God saw every thing that He had made, and, behold, it was very good. And the evening and the morning were the sixth day.

That God created man with the original sin is Satan's lie,it is Satan who deceived Eve and Adam into committing the original sin.

See Genesis 3:1-7

1 Now the serpent was more subtil than any beast of the field which the LORD God had made. And He said unto the woman, Yea, hath God said, Ye shall not eat of every tree of the garden?
Genesis 3:1

2 And the woman said unto the serpent, We may eat of the fruit of the trees of the garden:
Genesis 3:2

3 But of the fruit of the tree which is in the midst of the garden, God hath said, Ye shall not eat of it, neither shall ye touch it, lest ye die.
Genesis 3:3

4 And the serpent said unto the woman, Ye shall not surely die:
Genesis 3:4

5 For God doth know that in the day ye eat thereof, then your eyes shall be opened, and ye shall be as gods, knowing good and evil.
Genesis 3:5

6 And when the woman saw that the tree was good for food, and that it was pleasant to the eyes, and a tree to be desired to make one wise, she took of the fruit thereof, and did eat, and gave also unto her husband with her; and He did eat.
Genesis 3:6

7 And the eyes of them both were opened, and they knew that they were naked; and they sewed fig leaves together, and made themselves aprons.
Genesis 3:7

Please do not cheat the ignorant and unsuspecting.
 
Dakika za mwisho maana yake kifo. Hivi siyo vitu vya kijinga ninavyohoji na kifo kipo palepale hakikwepeki hata kwa maombi.

Ninamjua mtu aliyefariki kwa kuondoka hospitali alipokuwa akipatiwa matibabu na kwenda kanisani kufanyiwa maombi. Hali ilipokuwa mbaya wakarudi tena hospitali na ndiyo ikawa mwisho wa safari yake Duniani.

Hakipo kitu kitaweza kunitisha katika hii Dunia.
_20230918_094410.JPG

Wakiwa wazima wanakiburi na kutukana uwezo science tena huwa wanadai science inalengo la kumpinga Mungu wao.

waache tu, Hospital watakuja tu
 
Ndharia ya opium mwasisi wa falsafa hii alishindwa kuithibitisha.
Alitazama negative side ya dini ili isilete madhara kwenye mfumo wa ukomunist.
Ukomunist mtawala ndie mmiliki wa nchi kama alivyo Panki.
Wacomunist wanapinga dini kwa sababu dini inawaweka watu huru, inapinga watawaliwa kutendewa mabaya na watawala.
Hofu kuu ya kina Karl Marx ni kuogopa mawazo kinzani.
 
Siamini uwepo wa miungu ya Wakristo Wala Waislamu

Naamini kwenye mizimu ya kinyiramba na Kiha

Ukiniona Kanisani ujue mama watoto ameniomba nikamsaidie kumuuzia sura kwa mashoga zake kuwa ana mume handsome,mpiga pamba Kali na mcha Mungu

Jina langu ni Yohana,hata sijui Hilo jina linamanisha nini kimzimu,hata sijui mizimu yake ilikuwaje

Huwa najisikia amani na furaha nikiitwa Kilimba,at least I know what the hell it means
Dah we Jamaa 😂😀🤣🤣
 
Cha kukusaidia tu ili upate ukweli wa mambo anza kusoma vitabu vya hzo din zote kisha mwsho utakuja jua ukweli umekaaje vinginevyo tutajaadili mengi lakin yote yatabaki kuwa ni dhana tu na huwez pata jibu sahihi
MANENO YA MTUME KUHUSU KIFO NA KITAKACHO ENDELEA BAADA YA KIFO

MUHAMMAD ANASEMAJE?

Kurani 39:30 inasema kwamba Muhammad, wafuasi wake na watu wengine wote watakufa siku moja.

SWALI--Hivi muhamadi kafa au bado? Ikiwa muhmad kafa maana yake yeye na wafuasi wake na watu wengne wote washakufa siku ambayo yeye alikufa kama quran unavyo sema kwamba yeye na wafuasi wake watakufa siku siku moja(yawezekana hapa tulipo sisi tushakufa mda Sana)😂😂

Nini kitatokea baada ya hapo Muhammad hana habari! Hana wazo hata kidogo.😅

Quran 46:9. Muhammad anasema, "Sijui kitakachonipata mimi wala nyinyi wafuasi wangu. Mimi ni Mwonyaji tu na nasema yale yanayoteremshwa."
---------------------
😂😂😂😂😂😂😂
Muhamadi
Hatambui
Hafahamu
Haelewi
Hajui
Hana hata fununu
Hana uwakika
Hana taarifa
Kua nini kitamtokea baada ya kufa 😂😂😂

Mabikra 70..mito ya pombe..vyakula vitamu vya peponi au kwenda motoni hajui kama atakutana navyo au laa yeye alikua akisema tu alio kua akitumwa aseme hajui kama vipo au havip na hajui nini kitaendelea baada ya watu kufa 😂😂

Kipenzi cha mungu wenu hakijui kua kitaenda peponi au motoni yani sio yeye tu mpaka wafuasi wake magaid wake hawajui wapi wataenda au nini kitaendelea baada ya wao kufa 😂😂
 
Ninyi waamini dini ndio huwa mnapovu pale ambapo mtu akiwasilisha maoni yake ya kwamba haamini dini na Mungu.

Mna anza kumshambulia kwa vile haamini mnacho kiamini nyie.
Jaribu kuchunguza vizuri, asilimia kubwa yenu huwa mnadharau huwa hamchukulii hili suala kama ni kutofautiana tu mitazamo bali moja kwa moja huchukulia wenye kuamini dini na Mungu ni ujinga tu ndio unaowafanya kuamini.
 
Ndharia ya opium mwasisi wa falsafa hii alishindwa kuithibitisha.
Alitazama negative side ya dini ili isilete madhara kwenye mfumo wa ukomunist.
Ukomunist mtawala ndie mmiliki wa nchi kama alivyo Panki.
Wacomunist wanapinga dini kwa sababu dini inawaweka watu huru, inapinga watawaliwa kutendewa mabaya na watawala.
Hofu kuu ya kina Karl Marx ni kuogopa mawazo kinzani.
Communism na dini ni pande mbili za shilingi,ni kitu kile kile

Vyote ni hoax
 
God did not create man with the original sin,man was perfect when he was created by God.That God created man with the original sin is Satan's lie,it is Satan who deceived Eve into committing the original sin.
Who created this world in which sinning is possible?"
 
Siamini uwepo wa miungu ya Wakristo Wala Waislamu

Naamini kwenye mizimu ya kinyiramba na Kiha

Ukiniona Kanisani ujue mama watoto ameniomba nikamsaidie kumuuzia sura kwa mashoga zake kuwa ana mume handsome,mpiga pamba Kali na mcha Mungu

Jina langu ni Yohana,hata sijui Hilo jina linamanisha nini kimzimu,hata sijui mizimu yake ilikuwaje

Huwa najisikia amani na furaha nikiitwa Kilimba,at least I know what the hell it means
Dini Ina pande mbili uwe kwa Mungu au shetani.
Mizimu ni upande wa shetani.
So mungu wako ni shetani
 
Back
Top Bottom