Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Unaweza kuniambia wewe ulikujaje kujaje hapa duniani, na nini hasa lengo la wewe kuwepo hapa duniani?? jee unajua utakufa, jee baada ya hapo unajua nini kitatokea!! hebu tuanzie hapa, halafu ndio tutaangalia hoja yako ya mwanzo!!

Kama alivyojibu member mmoja hapo juu, yai la mama lilikutana na sperm ya baba likaotesha mtoto.

Ukweli ni, KWA SASA, hakuna anayejua mwanzo wa life yote duniani ulikuwa ni nini/vipi.

Wewe unayetaka kusema mungu ni muumba, na nani kamuumba mungu? NA muumba wa muumba wa mungu?

Kuhusu maisha baada ya kifo , SIJUI. Najua miaka elfu na elfu viumbe vinatokea na kutoweka duniani. Vitokapo viendapo HATUJUI. Curiosity na woga wabinadamu ndo imezalisha
Mungu, mbingu, malaika, shetani......vyote vya kufikirika......

Kama hukumbuki kabla hujazaliwa ulikuwaje, kwanini unahangaika baada ya kufa utakuwaje....infact, inaweza kuwa tu kama ya kabla hujazaliwa, YAANI, hutojua.
 
Unaweza kuniambia wewe ulikujaje kujaje hapa duniani, na nini hasa lengo la wewe kuwepo hapa duniani?? jee unajua utakufa, jee baada ya hapo unajua nini kitatokea!! hebu tuanzie hapa, halafu ndio tutaangalia hoja yako ya mwanzo!!

Mkuu, wewe haujui kabisa jinsi ulivyokuja duniani ama unatania? Binadamu na kiumbe chochote kikifa ndiyo mwisho wa habari yake, mwisho wa uhai kwa kiumbe ni mwisho wake, hakuna jinsi tena ya kusema sjui mtafufuliwa na kupelekwa sjui mbinguni sanaa za uwongo hizo inahitaji unywe divai nyingi sana ndiyo uweze kuamini!
 
Majority of us we hadn't get an opportunity to meet "earthiest" I leave in the country were this people make high percentage. But make no mistake these people are the unhappy people you will ever met.

They fail to challenge the concept of religion. They gave up on themselves and they just believe there is a force somewhere.

My HR lady was telling me how she doesn't get God phenomenon. She said all kind of nonsense. But when her husband was in the coma she turn to "God" and she didn't know how to ask.

Earthiest are the short mind people who can't reason beyond the box. They like to bash religion but when you challenge their believe they become provocative. The number of people who believe in something increase year in and year out. While those who believe in nothing their number shrink.
The woman's experience should give you an idea of where the concept of god came from.

Man being helpless wishing there was a superpower/superbeing to help him.

*sigh* if only he helped!!!!!!
 
Mkuu, wewe haujui kabisa jinsi ulivyokuja duniani ama unatania? Binadamu na kiumbe chochote kikifa ndiyo mwisho wa habari yake, mwisho wa uhai kwa kiumbe ni mwisho wake, hakuna jinsi tena ya kusema sjui mtafufuliwa na kupelekwa sjui mbinguni sanaa za uwongo hizo inahitaji unywe divai nyingi sana ndiyo uweze kuamini!

Maisha matamu jama......acha tupeane moyo kwamba kuna afterlife.....
 
Majority of us we hadn't get an opportunity to meet "earthiest" I leave in the country were this people make high percentage. But make no mistake these people are the unhappy people you will ever met.

They fail to challenge the concept of religion. They gave up on themselves and they just believe there is a force somewhere.

My HR lady was telling me how she doesn't get God phenomenon. She said all kind of nonsense. But when her husband was in the coma she turn to "God" and she didn't know how to ask.

Earthiest are the short mind people who can't reason beyond the box. They like to bash religion but when you challenge their believe they become provocative. The number of people who believe in something increase year in and year out. While those who believe in nothing their number shrink.

And by earthiest you mean atheists? Au ni nyingine hiyo
 
Mkuu, wewe haujui kabisa jinsi ulivyokuja duniani ama unatania? Binadamu na kiumbe chochote kikifa ndiyo mwisho wa habari yake, mwisho wa uhai kwa kiumbe ni mwisho wake, hakuna jinsi tena ya kusema sjui mtafufuliwa na kupelekwa sjui mbinguni sanaa za uwongo hizo inahitaji unywe divai nyingi sana ndiyo uweze kuamini!
Kama ni hivyo kuna tofauti gani kati mtu na mnyama, kwanini watu wanasoma, wanaenda shule, wanatumie viumbe wengine kama wanyama kwa chakula, anga kwa usafiri, maji kwa chakula na usafiri.. binadamu hawezi akawa amekujakuja tu hapa duniani afanye ufisadi halafu aondoke iwe ndio kazi imeisha. Hebu tumieni hiyo akili ambayo hamjui imetoka wapi kutafakari zaidi juu ya uwepo wa Muumba wa kila kitu.

Kusema hakuna Muumba, na blaa blaa nyengine ni kujifariji tu na kukwepa majukumu ambayo kwa hakika hayakwepeki. Cha ajabu ni kwamba hao wasemao hakuna Mungu wamejikita kwenye sayansi ambayo Mungu alishatoa mwongozo wake kabla hata chuo kimoja hakijaanza kujengwa!!!
 
You know why people in Tanzania like to say oooh these religion are nothing but innovation from Middle East because we don't like to think. If you want to believe in something research and challenge.

God call people to challenge His existence. He ask people to walk across the global and see the creation and those who think will always believe the creation.

Why earthiest like to be incriminated after death. They hate the idea of being put in the ground why? Any human being sense the creation. God embedded some kind of chip in us and when all is gone and done we fill in our inner core His existence. Ask any earthiest to prove that God doesn't exist they will fail. They like to challenge the existence of religion from WHY prospective. Why if god exists he can't stop death of children. Why and why? And they forget to think that why we breath. Why we have connection to our parent. Because God is there. Do your homework don't let this people think for you.

Sijawahi kusikia atheists 'like' to be cremated....

For your info one of the religions that I respect due to their 'contradictory' appreciation for life are the hindus who happen to cremate.

I don't know what part of the world have you been walkin through, but everywhere I go I can't help but see the cruelty in nature....how many lives die everyday to feed other animals?

How many animals die by accident, diseases or old age? How many die just for the sake others dominance? Like lions killing cubs that aren't theirs......

What about 'beautiful' volcanic eruptions which killed thousands?

'amazing' earthquakes due to gods 'wonderfull' creation earth.

You ever heard of people who died from lightning?

Do u know how many people had to die for man to know that 'oh this 'beautiful' plant is poison.

There are millions of harmless bacteria, viruses, showing gods amazing creativity....wale uombee usikutane nao at a wrong position. you'll be safe. Kwani HIV akiwa nje ya cell utamjua basi!!!....sijui mungu alitegemea tusikutane vipi wakati wote duniani ndo tumefika....

What about the amazing Metors in space.wonderful!!!! But niga better check yo azz coz one is heading earth.....

Yes, NANI ANAKATAA GOD IS AN AMAZING CREATOR!!!
 
Naona bangi zako zimekubangua_unakakamaaza shingo na mapovu juu kutetea hekaya za mabwana zako wayahudi....pambafuuuu kabisa wewe,...unaita watu mazuzu....imikambo gwako gikutwalile amatingo.

Kuwa Atheist kunahitaji nguvu na juhudi kubwa ya kutokutafakari kabisa, wewe unatakiwa kukariri tu, Maatheist ni watu wenye book sense nyingi,huku common sense ikiwa ZERO. ... nanungwe gwande pakukwesa amakambo, ingole simo muntu gwako sigonile utulo,amakambo gabagile pakukutula ukusisumusya.
 
Kama alivyojibu member mmoja hapo juu, yai la mama lilikutana na sperm ya baba likaotesha mtoto.

Ukweli ni, KWA SASA, hakuna anayejua mwanzo wa life yote duniani ulikuwa ni nini/vipi.

Wewe unayetaka kusema mungu ni muumba, na nani kamuumba mungu? NA muumba wa muumba wa mungu?

Kuhusu maisha baada ya kifo , SIJUI. Najua miaka elfu na elfu viumbe vinatokea na kutoweka duniani. Vitokapo viendapo HATUJUI. Curiosity na woga wabinadamu ndo imezalisha
Mungu, mbingu, malaika, shetani......vyote vya kufikirika......

Kama hukumbuki kabla hujazaliwa ulikuwaje, kwanini unahangaika baada ya kufa utakuwaje....infact, inaweza kuwa tu kama ya kabla hujazaliwa, YAANI, hutojua.

hujafikia ubinadam kamili wewe evolution bado inaendelea kwako,labda kizazi chako cha 10000000000000 ndo watakuja kuwa binadm kamili na kuelewa juu ya uwepo wa nadharia mbalimbali juu ya mwanzo wa life yote duniani, ungefikia usingehitimisha kuwa ''KWA SASA, hakuna anayejua mwanzo wa life yote duniani ulikuwa ni nini/vipi'' sana sana ungesema huamini au hutaki kusikia nadharia ya Uumbaji, wenzio binadam kamili tunafahamu juu ya uwepo wa nadharia nyingi juu ya mwanzo wa kila kitu, wajanja tunajua ni MUNGU ALIUMBA kila kitu kwa mpangilio maalum na kazi maalum.

Atheist ni watu wa kusamehewa kwa kuwa muda wote mnaishi na msongo wa mawazo.
 
Naona bangi zako zimekubangua_unakakamaaza shingo na mapovu juu kutetea hekaya za mabwana zako wayahudi....pambafuuuu kabisa wewe,...unaita watu mazuzu....imikambo gwako gikutwalile amatingo.

Pamoja na namna unavyojionyesha ulivyodhaifu katika kutafakari ni wajibu wetu sisi ambao tupo kwenye nuru kuwasaidia ninyi mnaoenenda gizani kwa kutokutaka kweli.nuru ili mtende kwa kadri ya udhaifu wa KIBINADAMU '' Mkipewa nguvu na kiburi cha uzima''

Naomba wewe au mwenzio ambaye ni muumini wa ATHEISM anijibu maswali yafuatayo ili nielewe namna ambavyo ninyi naweza kuwafundisha na kuwatoa gizani au kujifunza kutoka kwenu.

1. kwa mtu asiyejua ATHEIST ni mtu wa namna gani waweza kutotelea maana ya Mtu kuwa ATHEIST ?
2. Ni kwa kiwango gani madai ya ATHEIST juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa mungu yanawakilisha ukweli ?
3. UKWELI kwa Tafsiri ya ATHEIST ni nini ?
4. Je kwa ATHEIST uwepo wa Mungu ni lazima uthibitiswe kisayansi ?
5. Ni ushahidi wa aina gani ATHEIST anataka ili kuthibitisha kuwepo kwa MUNGU ?
6. Ushaidi unaotakiwa kuthibitisha uwepo wa Mungu mnataka uweze kupimwa maabara ?
7. Nini wewe binafsi unahitaji ili kuamini kwamba Mungu yupo ?
8. Unaamini nadharia ya Evolution na kutanuka kwa dunia kusiko mwisho ? vipi kuhusu moyo wako, baada ya muda mrefu kupita na Moyo wako kuendelea kutanuka kwa sababu ya evolution itafika kipindi kifua chako kitashindwa kuufunika na kutoka nje na kutengeneza kitu kingine ?

9. Unaamini kwamba baada ya muda mrefu,hii kutokana na evolution,manowali za kivita zitakuwa zinachumwa kwenye mipera ? lala salama Atheist ukiamka naomba jibu hayo maswali ili nithibitishe jinsi ulivyo Zu.Zu
 
Kama ni hivyo kuna tofauti gani kati mtu na mnyama, kwanini watu wanasoma, wanaenda shule, wanatumie viumbe wengine kama wanyama kwa chakula, anga kwa usafiri, maji kwa chakula na usafiri.. binadamu hawezi akawa amekujakuja tu hapa duniani afanye ufisadi halafu aondoke iwe ndio kazi imeisha. Hebu tumieni hiyo akili ambayo hamjui imetoka wapi kutafakari zaidi juu ya uwepo wa Muumba wa kila kitu. Kusema hakuna Muumba, na blaa blaa nyengine ni kujifariji tu na kukwepa majukumu ambayo kwa hakika hayakwepeki. Cha ajabu ni kwamba hao wasemao hakuna Mungu wamejikita kwenye sayansi ambayo Mungu alishatoa mwongozo wake kabla hata chuo kimoja hakijaanza kujengwa!!!

binadamu ni mnyama kama wanyama wengine, tofauti ni kwenye uwezo kiakili tu jambo ambalo ni la kawaida among species! hayo majukumu ambayo unasema hayakweppeki ni yapi? na mwongozo alioutoa mungu kwenye sayansi ni upi?
 
hujafikia ubinadam kamili wewe evolution bado inaendelea kwako,labda kizazi chako cha 10000000000000 ndo watakuja kuwa binadm kamili na kuelewa juu ya uwepo wa nadharia mbalimbali juu ya mwanzo wa life yote duniani, ungefikia usingehitimisha kuwa ''KWA SASA, hakuna anayejua mwanzo wa life yote duniani ulikuwa ni nini/vipi'' sana sana ungesema huamini au hutaki kusikia nadharia ya Uumbaji, wenzio binadam kamili tunafahamu juu ya uwepo wa nadharia nyingi juu ya mwanzo wa kila kitu, wajanja tunajua ni MUNGU ALIUMBA kila kitu kwa mpangilio maalum na kazi maalum.

Atheist ni watu wa kusamehewa kwa kuwa muda wote mnaishi na msongo wa mawazo.

No no. Najua theories zipo.......nilichomaanisha ni kuwa no one mwenye asilimia mia ya uthibitisho kwa sasa.....wewe una uhakika gani kuwa ni mungu aliumba na sio Big Bang?
 
hujafikia ubinadam kamili wewe evolution bado inaendelea kwako,labda kizazi chako cha 10000000000000 ndo watakuja kuwa binadm kamili na kuelewa juu ya uwepo wa nadharia mbalimbali juu ya mwanzo wa life yote duniani, ungefikia usingehitimisha kuwa ''KWA SASA, hakuna anayejua mwanzo wa life yote duniani ulikuwa ni nini/vipi'' sana sana ungesema huamini au hutaki kusikia nadharia ya Uumbaji, wenzio binadam kamili tunafahamu juu ya uwepo wa nadharia nyingi juu ya mwanzo wa kila kitu, wajanja tunajua ni MUNGU ALIUMBA kila kitu kwa mpangilio maalum na kazi maalum.

Atheist ni watu wa kusamehewa kwa kuwa muda wote mnaishi na msongo wa mawazo.

BTW kulikuwa hakuna haja ya wewe kunitukana.....

Na pia mwenye usongo wa mawazo ni nyie mnahangaikia mbinguni na kuomba msaada (ambao hupewi) kutoka kwa mtu wa kufikirika, while atheists are busy working for a better tomorrow for their descendants
 
BTW kulikuwa hakuna haja ya wewe kunitukana.....

Na pia mwenye usongo wa mawazo ni nyie mnahangaikia mbinguni na kuomba msaada (ambao hupewi) kutoka kwa mtu wa kufikirika, while atheists are busy working for a better tomorrow for their descendants

Binadam wa kufikirika ndo yupi huyo ? mbona ni kila ulichonacho na penginepo hata kukuzidi wewe ambaye muda wote unatengeneza kesho njema ambayo ni ya kusadikika maana haijatokea kesho njema chini ya jua. Uju.ha wenu unajionyesha kwa maandiko yenu ya kipuu.zi kama hiyo bold,kwa kuwa ni partial or fullbrown vichaa,mnajipongeza kwa upum.mbavu wenu mkijiona mna maisha bora kuliko watu waaminio uwepo wa Mungu,kana kwamba ninyi ndiye financial consultants wa binadamu wote kiasi cha kujua maisha ya watu wote na kugundua kwamba vicha.aa ninyi mko juu.
''understanding illusion'' ugonjwa unaowakabili Atheist karibu wote. mnajipongeza kana kwamba mnajua kila kila,wakati kimsingi hamna cha ziada ambacho waamini Mungu hawana. SIJUI MSAIDIWEJE.

Kweli ''busy working for a better tomorrow'' that never COMES, hapo ndipo msongo wa mawazo unapowakuta na mnaishi nao miaka yote ya maisha yenu, zaidi wengi wenu ni more or less VICHAA KABISA.

Hebu nawe jibu maswali haya ili nione njia ambayo labda itaweza kuwasaidia ili wengi wenu msifikie ile full brown kichaa.

1. kwa mtu asiyejua ATHEIST ni mtu wa namna gani waweza kutotelea maana ya Mtu kuwa ATHEIST ?
2. Ni kwa kiwango gani madai ya ATHEIST juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa mungu yanawakilisha ukweli ?
3. UKWELI kwa Tafsiri ya ATHEIST ni nini ?
4. Je kwa ATHEIST uwepo wa Mungu ni lazima uthibitiswe kisayansi ?
5. Ni ushahidi wa aina gani ATHEIST anataka ili kuthibitisha kuwepo kwa MUNGU ?
6. Ushaidi unaotakiwa kuthibitisha uwepo wa Mungu mnataka uweze kupimwa maabara ?
7. Nini wewe binafsi unahitaji ili kuamini kwamba Mungu yupo ?
8. Unaamini nadharia ya Evolution na kutanuka kwa dunia kusiko mwisho ? vipi kuhusu moyo wako, baada ya muda mrefu kupita na Moyo wako kuendelea kutanuka kwa sababu ya evolution itafika kipindi kifua chako kitashindwa kuufunika na kutoka nje na kutengeneza kitu kingine ?

9. Unaamini kwamba baada ya muda mrefu,hii kutokana na evolution,manowali za kivita zitakuwa zinachumwa kwenye mipera ? lala salama Atheist ukiamka naomba jibu hayo maswali ili nithibitishe jinsi ulivyo Zu.Zu
 
BTW kulikuwa hakuna haja ya wewe kunitukana.....

Na pia mwenye usongo wa mawazo ni nyie mnahangaikia mbinguni na kuomba msaada (ambao hupewi) kutoka kwa mtu wa kufikirika, while atheists are busy working for a better tomorrow for their descendants

Samahani mkuu,evolution ni matusi ? kwa kadri ya uelewa wangu Atheist ni ''CHIMPANZEE Incarnate'' hamukuumbwa bali mume evolve kutokana na seli fulani ambazo zilikuja kuwa Sokwe then baada ya mamilion ya miaka zikabadilika na zingine naamini bado zinabadilika kufikia ubinadmu kamili then baada ya miaka mingi tena zitabadilika na kuwa pundamilia...
 
No no. Najua theories zipo.......nilichomaanisha ni kuwa no one mwenye asilimia mia ya uthibitisho kwa sasa.....wewe una uhakika gani kuwa ni mungu aliumba na sio Big Bang?

Ninao Uhakika,Unataka nikuhakikishieje ? halafu ndugu Atheist ukiandika ''NO ONE'' ni kauli thabiti hiyo,nikikuomba ushahidi kwamba ni kweli ''NO ONE'' uanao ? Jifunze kutafakari mkuu
 
Katika ulimwengu ni nani mwanafalsafa bingwa kuliko wote? Kama sii Muhammad bin Abdillah...nyie kaeni mkipumbazwa na hao wanasayansi wenu. Sio kila kinachosemwa kwamba NDIO
 
Pamoja na namna unavyojionyesha ulivyodhaifu katika kutafakari ni wajibu wetu sisi ambao tupo kwenye nuru kuwasaidia ninyi mnaoenenda gizani kwa kutokutaka kweli.nuru ili mtende kwa kadri ya udhaifu wa KIBINADAMU '' Mkipewa nguvu na kiburi cha uzima''

Naomba wewe au mwenzio ambaye ni muumini wa ATHEISM anijibu maswali yafuatayo ili nielewe namna ambavyo ninyi naweza kuwafundisha na kuwatoa gizani au kujifunza kutoka kwenu.

1. kwa mtu asiyejua ATHEIST ni mtu wa namna gani waweza kutotelea maana ya Mtu kuwa ATHEIST ?
2. Ni kwa kiwango gani madai ya ATHEIST juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa mungu yanawakilisha ukweli ?
3. UKWELI kwa Tafsiri ya ATHEIST ni nini ?
4. Je kwa ATHEIST uwepo wa Mungu ni lazima uthibitiswe kisayansi ?
5. Ni ushahidi wa aina gani ATHEIST anataka ili kuthibitisha kuwepo kwa MUNGU ?
6. Ushaidi unaotakiwa kuthibitisha uwepo wa Mungu mnataka uweze kupimwa maabara ?
7. Nini wewe binafsi unahitaji ili kuamini kwamba Mungu yupo ?
8. Unaamini nadharia ya Evolution na kutanuka kwa dunia kusiko mwisho ? vipi kuhusu moyo wako, baada ya muda mrefu kupita na Moyo wako kuendelea kutanuka kwa sababu ya evolution itafika kipindi kifua chako kitashindwa kuufunika na kutoka nje na kutengeneza kitu kingine ?

9. Unaamini kwamba baada ya muda mrefu,hii kutokana na evolution,manowali za kivita zitakuwa zinachumwa kwenye mipera ? lala salama Atheist ukiamka naomba jibu hayo maswali ili nithibitishe jinsi ulivyo Zu.Zu

:bored::bored::bored:

1) Atheist, mtu asiyekubali uwepo wa "a supernatural being", yani mtu mwenye nguvu zisizo za kawaida, AMBAYE NI MTAKATIFU, kama wanadini wanavyodai.

2) Kwa kiwango kikubwa kwa kuwa throughout history hamna aliyeweza kuthibitisha uwepo wa kiumbe kama huyo, zaidi ya kupeana moyo kuwa ana sababu zake za kujificha na kuwa kimya, ikiwemo ile ya 'mungu ni mkuu sana kuliko wewe so ahitaji kukuthibitushia chochote"!!!

3) ona number moja

4) Labda kwakuwa sayansi kwako ni kitu cha ajabu, lakini jibu ni ndio. Kuna mambo watu wanaona "ya ajabu" na "ya kiroho" wakati yana maelezo "perfect" ya kusayansi. Mfano meditation. Hata mungu akijitokeza siku moja kila jicho likamwona, nayo ni sayansi. Na kwani mungu na ukuu wake wote anaona ugumu kutoa uthibitisho rahisi tu ambao hamna wa kupinga????! Kwanini kang'ang'ania kuwa 'tumwamini tu' na wale 'wachache' aliowatuma/anaowatumia? We hushituki tu!!! Au ndo hivyo, ni moyo sana hapaswi kuulizwa chochote?

5) wowote usiohusisha imani ya dini fulani; ambao hautapingwa hata miaka elfu ijayo; ambayo iko kifacts zaidi ya kiimani; ambayo either umeishi kwenye misitu ya Amazon miaka yako yote au pale New York, utajua; ambao kwa "uwezo wa kibinadamu" YAANI kisayansi utafunga mioyo yote inayothubutu kukataa uwepo wa mtu huyu MKUU , MWENYE NGUVU ZA AJABU.

6) sio lazima maabara......kuna njia zingine ni ndogo sana ukilinganisha na ukuu wa huyu, mfano, sali chungwa litokee mkononi just to prove he's there.

7) mungu siku aongee dunia nzima imsikie na imuelewe, aongee either kama mtu mkatili na mwenye mamlaka kama tulivyomzoea, mfano aseme "BADO HAMTAKI KUNIAMINI, MOTO NI WENU", au aongee kama yule mungu aliyekuja dunuani, "EEEENYI WANAANGU, MBONA MNA MIOYO MIGUMU KUAMNI? KILA KITU UTHIBITISHO TU. BASI KWAKUWA NAWAPENDA SANA, LEO NIMEWAPA UTHIBITISHO MKUU KULIKO YOTE"...dah, itabidi siku hiyo kila mtu afunge na kusali na kuvaa magunia. BTW angekuwa anatupenda sana angeondoa mateso toka miaka mia elfu iliyopita....jamaa either ana moyo mgumu kweli, au hawapendi tu na anafurahia mateso yenu, au HAWEZI, au HAYUPO.

8) the fact kwamba the universe inatanuka ni FACT na sio UNABII, so uhitaji kuamini unahitaji kujua.

Tatizo watu wengi wanajifanya wanajua evolution wakati hawajui....mimi kwenye mijadala ya evolution huwa mkweli kuwa sijasoma evolution hasa katika macro-level. Evolution katika micro-level uhitaji hata ufike darasa la saba. Nani asiyejuwa vijidudu hugeuka na kuwa resistant kwa dawa? Ingawa ukifikiria utajiuliza hivi vidudu vitakuwaje miaka hata elfu tu ijayo? Hence, macro evolution.....

Kutanuka kwa moyo???

Maswali mengine ni ya kichokozi tu, sasa wewe kama unaona vitu vinabadilika baada ya muda kwa nini unauliza tena kama mtu anaamini atabadilika? unless the process stops, organisms WILL go on changing.

9)unamaanisha advance in technology ndo evolution au?

Ndio maana atheists got to work, wanajua ni juu yetu kutunza hii dinia na si kusubiri kiama....kwanza kuwa mkweli, katika historia yote ya mwanadamu, watu walipigana kwa misingi ipi kama si mungu na imani....hata waliogombania mali na wanawake walisema ni mungu ametupa.

Atheisism, kama Theism, ikitumiwa vibaya italeta maafa.
:wave::wave:
 
Samahani mkuu,evolution ni matusi ? kwa kadri ya uelewa wangu Atheist ni ''CHIMPANZEE Incarnate'' hamukuumbwa bali mume evolve kutokana na seli fulani ambazo zilikuja kuwa Sokwe then baada ya mamilion ya miaka zikabadilika na zingine naamini bado zinabadilika kufikia ubinadmu kamili then baada ya miaka mingi tena zitabadilika na kuwa pundamilia...

This is what I meant by people kutokwa povu tu na evolution wakati HAWAIJUI.

MAN DID NOT BRANCH FROM CHIMPANZEES, MAN AND PRIMATES HAVE A COMMON ANCESTOR.

Unaweza kusema utakalo kuhusu imani yako LAKINI YOU HAVE NO RIGHTS OR THE KNOWLEDGE in this case, kuongelea scientific facts utakavyo
 
Ninao Uhakika,Unataka nikuhakikishieje ? halafu ndugu Atheist ukiandika ''NO ONE'' ni kauli thabiti hiyo,nikikuomba ushahidi kwamba ni kweli ''NO ONE'' uanao ? Jifunze kutafakari mkuu

NO ONE HAS A VALID PROOF FOR GOD.

Kama 'unahisi' mungu yupo, THAT IS NOT PROOF.

Kama alikutokea usiku ukiwa peke yako na huwa mnaongea, THAT IS NOT PROOF.

Kama kuna 'manabii' waliodai wametumwa na mungu, THAT IS NOT PROOF.

Kama ulikuwa una matatizo ukasali, mambo yakakwendea vema bila ushirika wa mungu moja kwa moja, THAT IS NOT PROOF.

Kama una uthibitisho thabiti ambao hautokuwa na aina yoyote ya pingamizi YAANI PERFECT, kwanini usisaidie wenzako waliokuwa wakihangaika for years kupata,??? Usisahau, uthibitisho uwe "perfect" kama "mtuhumiwa" mwenyewe.

Honestly ningependa kusikia.
 
Back
Top Bottom