Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Ninao Uhakika,Unataka nikuhakikishieje ? halafu ndugu Atheist ukiandika ''NO ONE'' ni kauli thabiti hiyo,nikikuomba ushahidi kwamba ni kweli ''NO ONE'' uanao ? Jifunze kutafakari mkuu

Tafakari yako imejaa kibangi bangi,...ndio maana unatukana wenzako eti nio ma_zu_zu kisa hadithi za mabwana zako wayahudi na waarabu walizokukaririsha toka utotoni,....yaani wewe ni zaidi ya magungo na zu-zu la karne....pambafuuuuuuuuuuuu kabisa
 
Binadam wa kufikirika ndo yupi huyo ? mbona ni kila ulichonacho na penginepo hata kukuzidi wewe ambaye muda wote unatengeneza kesho njema ambayo ni ya kusadikika maana haijatokea kesho njema chini ya jua. Uju.ha wenu unajionyesha kwa maandiko yenu ya kipuu.zi kama hiyo bold,kwa kuwa ni partial or fullbrown vichaa,mnajipongeza kwa upum.mbavu wenu mkijiona mna maisha bora kuliko watu waaminio uwepo wa Mungu,kana kwamba ninyi ndiye financial consultants wa binadamu wote kiasi cha kujua maisha ya watu wote na kugundua kwamba vicha.aa ninyi mko juu.
''understanding illusion'' ugonjwa unaowakabili Atheist karibu wote. mnajipongeza kana kwamba mnajua kila kila,wakati kimsingi hamna cha ziada ambacho waamini Mungu hawana. SIJUI MSAIDIWEJE.

Kweli ''busy working for a better tomorrow'' that never COMES, hapo ndipo msongo wa mawazo unapowakuta na mnaishi nao miaka yote ya maisha yenu, zaidi wengi wenu ni more or less VICHAA KABISA.

Hebu nawe jibu maswali haya ili nione njia ambayo labda itaweza kuwasaidia ili wengi wenu msifikie ile full brown kichaa.

1. kwa mtu asiyejua ATHEIST ni mtu wa namna gani waweza kutotelea maana ya Mtu kuwa ATHEIST ?
2. Ni kwa kiwango gani madai ya ATHEIST juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa mungu yanawakilisha ukweli ?
3. UKWELI kwa Tafsiri ya ATHEIST ni nini ?
4. Je kwa ATHEIST uwepo wa Mungu ni lazima uthibitiswe kisayansi ?
5. Ni ushahidi wa aina gani ATHEIST anataka ili kuthibitisha kuwepo kwa MUNGU ?
6. Ushaidi unaotakiwa kuthibitisha uwepo wa Mungu mnataka uweze kupimwa maabara ?
7. Nini wewe binafsi unahitaji ili kuamini kwamba Mungu yupo ?
8. Unaamini nadharia ya Evolution na kutanuka kwa dunia kusiko mwisho ? vipi kuhusu moyo wako, baada ya muda mrefu kupita na Moyo wako kuendelea kutanuka kwa sababu ya evolution itafika kipindi kifua chako kitashindwa kuufunika na kutoka nje na kutengeneza kitu kingine ?

9. Unaamini kwamba baada ya muda mrefu,hii kutokana na evolution,manowali za kivita zitakuwa zinachumwa kwenye mipera ? lala salama Atheist ukiamka naomba jibu hayo maswali ili nithibitishe jinsi ulivyo Zu.Zu

I'm working for a better tomorrow, you're working for heaven....kwakuwa zote ni biashara uchwara kwakuwa no one knows tomorrow, unaonaje degree ya uchwara huo? Remember leo ilikuwa kesho. Atleast tuna idea kesho inaweza kuaje. Nyie mnaotegemea mbinguni je?

To some degree atheists wana maisha bora kuliko theists, huoni hali ambazo wanadini wanajiweka just for the sake of religion?

Mara kujiua.
Mara mapepo.
Mara kutoa sadaka/fungu la kumi wakati kula yako haieleweki.
Watu kuishi na guilty conscious au hata kujiua kwa mambo madogo yanayoonwa ni dhambi eg. msterbation.
watu kuua kwa jina la mungu.
..watu kutoshughulika na maendeleo ya jamii kisa mwisho unakuja.
Mtu ana kazi za kubangaiza halafu anatenga masaa kwa ajili ya ibada kwa mungu ambaye hadi mtu anakufa, he was forever a nobody na ameacha manobodys.
Dini zingine zinakataza kutiwa damu mishipani.

Yani mtu akiangalia wanadini kutoka huko juu, :help
 
Katika ulimwengu ni nani mwanafalsafa bingwa kuliko wote? Kama sii Muhammad bin Abdillah...nyie kaeni mkipumbazwa na hao wanasayansi wenu. Sio kila kinachosemwa kwamba NDIO

Mkuu, asante kwa elimu, nilikuwa sijui kuwa babake Muhammad aliitwa Abdillah! Naomba kujua tafsiri ya jina Abdillah, pls.
 
Tafakari yako imejaa kibangi bangi,...ndio maana unatukana wenzako eti nio ma_zu_zu kisa hadithi za mabwana zako wayahudi na waarabu walizokukaririsha toka utotoni,....yaani wewe ni zaidi ya magungo na zu-zu la karne....pambafuuuuuuuuuuuu kabisa

Huyu ni kuendeleza conversation bila kurudisha matusi ili baadae wakati yeye au mtu anapitia thread, aweze kutofautisha watoa mada
 
binadamu ni mnyama kama wanyama wengine, tofauti ni kwenye uwezo kiakili tu jambo ambalo ni la kawaida among species! hayo majukumu ambayo unasema hayakweppeki ni yapi? na mwongozo alioutoa mungu kwenye sayansi ni upi?

Soma maandiko ya Mungu ndio utapata muongozo wote! kwa sababu hayo wanayofundisha kwenye sayansi yamepatikana kwenye maandiko hakuna jipya ambalo mwanadamu amevumbua, kila kitu kinakwenda kwa remote control! Hao wanaosema hakuna Mungu walishajua kwamba yupo ila wanamkataa tu kuendesha mambo yao na kujifanya wao ndio muingu watu, wajuaji, wagunduzi n.k. nyinyi vijana wa leo mnalishwa tu sumu ili mpoteze muelekeo!!
 
Mkuu, asante kwa elimu, nilikuwa sijui kuwa babake Muhammad aliitwa Abdillah! Naomba kujua tafsiri ya jina Abdillah, pls.
Abdi - mtumwa/mtumikiaji/mtumishi/servant na LLAH - Allah/Almighty kwahilo Abdillah inatuwa "Mtumishi wa Mungu"
 
Soma maandiko ya Mungu ndio utapata muongozo wote! kwa sababu hayo wanayofundisha kwenye sayansi yamepatikana kwenye maandiko hakuna jipya ambalo mwanadamu amevumbua, kila kitu kinakwenda kwa remote control! Hao wanaosema hakuna Mungu walishajua kwamba yupo ila wanamkataa tu kuendesha mambo yao na kujifanya wao ndio muingu watu, wajuaji, wagunduzi n.k. nyinyi vijana wa leo mnalishwa tu sumu ili mpoteze muelekeo!!

Biblia ni kitabu cha hadithi mkuu, nimeisoma sijaona sayansi yoyote mule mkuu, labda uongee kwa mifano!
Aliyelishwa sumu ni nani, sisi vijana wa siku hizi au nyie wazee wa zamani mliozikana dini za mababu zenu baada ya wazungu kuziita za kishenzi!! AMKA.
 
Biblia ni kitabu cha hadithi mkuu, nimeisoma sijaona sayansi yoyote mule mkuu, labda uongee kwa mifano!
Aliyelishwa sumu ni nani, sisi vijana wa siku hizi au nyie wazee wa zamani mliozikana dini za mababu zenu baada ya wazungu kuziita za kishenzi!! AMKA.
lakini si tumefuata nyengine, hatujakaa bila dini wala Mungu!
 
I'm working for a better tomorrow, you're working for heaven....kwakuwa zote ni biashara uchwara kwakuwa no one knows tomorrow, unaonaje degree ya uchwara huo? Remember leo ilikuwa kesho. Atleast tuna idea kesho inaweza kuaje. Nyie mnaotegemea mbinguni je?

To some degree atheists wana maisha bora kuliko theists, huoni hali ambazo wanadini wanajiweka just for the sake of religion?

Mara kujiua.
Mara mapepo.
Mara kutoa sadaka/fungu la kumi wakati kula yako haieleweki.
Watu kuishi na guilty conscious au hata kujiua kwa mambo madogo yanayoonwa ni dhambi eg. msterbation.
watu kuua kwa jina la mungu.
..watu kutoshughulika na maendeleo ya jamii kisa mwisho unakuja.
Mtu ana kazi za kubangaiza halafu anatenga masaa kwa ajili ya ibada kwa mungu ambaye hadi mtu anakufa, he was forever a nobody na ameacha manobodys.
Dini zingine zinakataza kutiwa damu mishipani.

Yani mtu akiangalia wanadini kutoka huko juu, :help

inawezekana na chat na chizi, mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika pumba namna hii, naomba anzia mtaani kwako kuthibitisha kuwa theist wanaishi maisha ya shida kuliko Atheist. mengine uliyoandika ni mambo yanayoweza andikwa na kichaa yoyote ambaye ametingwa akidhani kutingwa kwake kunatokana na uwepo wa watu wanaoamini Mungu.
 
:bored::bored::bored:

1) Atheist, mtu asiyekubali uwepo wa "a supernatural being", yani mtu mwenye nguvu zisizo za kawaida, AMBAYE NI MTAKATIFU, kama wanadini wanavyodai.

Hata mimi siamini uwepo wa mtu mwenye nguvu zisizo za kawaida,AMBAYE NI MTAKATIFU, kama Atheist mnavyodai.
Sijawahi kusikia deen ambayo inaamini juu ya uwepo wa mtu mwenye nguvu zisizo za kawaida,ndo kwanza nasikia kwako wewe...


2) Kwa kiwango kikubwa kwa kuwa throughout history hamna aliyeweza kuthibitisha uwepo wa kiumbe kama huyo, zaidi ya kupeana moyo kuwa ana sababu zake za kujificha na kuwa kimya, ikiwemo ile ya 'mungu ni mkuu sana kuliko wewe so ahitaji kukuthibitushia chochote"!!!

Lakini uwepo wa akili kichwani mwako umewahi kuuthibitisha, ukiitwa zu.zu unakataa,kama unakichwa na hujawahi kuthibitisha uwepo wa akili kichwani mwako,huku ukiulizwa kama una AKILI UNASEMA NDIYO, unaweza kuthibitisha kwamba wewe unazo akili ? kwako kila kitu ili kiwepo lazima kiweze kuthibitishwa kwa mtazamo wako. No wonder wewe ni umeamua kuwa muumini wa imani ya kutoamini uwepo wa mtu mwenye nguvu...iamni ambayo kiukweli ni uongo.kwa kuwa Hakuna mtu mwenye nguvu sizizo za kawaida duniani.

3) ona number moja

Ukweli ni nini ? hilo ndilo swali,unaacha kujibu unaandika maono yas kiATheist.

4) Labda kwakuwa sayansi kwako ni kitu cha ajabu, lakini jibu ni ndio. Kuna mambo watu wanaona "ya ajabu" na "ya kiroho" wakati yana maelezo "perfect" ya kusayansi. Mfano meditation. Hata mungu akijitokeza siku moja kila jicho likamwona, nayo ni sayansi. Na kwani mungu na ukuu wake wote anaona ugumu kutoa uthibitisho rahisi tu ambao hamna wa kupinga????! Kwanini kang'ang'ania kuwa 'tumwamini tu' na wale 'wachache' aliowatuma/anaowatumia? We hushituki tu!!! Au ndo hivyo, ni moyo sana hapaswi kuulizwa chochote?

Ficha upu.mbavu wako,Atheist hawana hati miliki ya sayansi,unajitekenya na kucheka mwenyewe, kama si kichaa nini ? binadam kamili unaandika kana kwamba Sayansi ni mali ya Atheist,wakati ukweli ni kwamba miongoni mwa wanasayansi nguli wengi walikuwa Theist,koma wala usirudie kuonesha kwamba sayansi ni kwa Atheist.mengine ni pumba tu.

5) wowote usiohusisha imani ya dini fulani; ambao hautapingwa hata miaka elfu ijayo; ambayo iko kifacts zaidi ya kiimani; ambayo either umeishi kwenye misitu ya Amazon miaka yako yote au pale New York, utajua; ambao kwa "uwezo wa kibinadamu" YAANI kisayansi utafunga mioyo yote inayothubutu kukataa uwepo wa mtu huyu MKUU , MWENYE NGUVU ZA AJABU.

wowote ndiyo kitu gani, andika kama mtu mzima,ushahidi gani unataka ili uweze jua kwamba kweli Mungu yupo ? acha kuandika kwa vile tu unajua kutumia key board,jibu swali uliloulizwa.
6) sio lazima maabara......kuna njia zingine ni ndogo sana ukilinganisha na ukuu wa huyu, mfano, sali chungwa litokee mkononi just to prove he's there.

Sihitaji mfano nahitaji kitu thabiti,kwa nini unapenda kudhani badala ya kuandika kitu kuntu ili usaidiwe...Kutokea kwako ni mujiza kuliko chungwa, ungekuwa na uwezo wa kutafakari japo kidogo usingetoa mfano wa Chungwa. DNA ya mwili wako ni muujiza ambao kwa wenye akili wanakili kuwepo kwa designer wa ajabu wa DNA yako. Lakini kwa Atheist hivyo sio big deal...

7) mungu siku aongee dunia nzima imsikie na imuelewe, aongee either kama mtu mkatili na mwenye mamlaka kama tulivyomzoea, mfano aseme "BADO HAMTAKI KUNIAMINI, MOTO NI WENU", au aongee kama yule mungu aliyekuja dunuani, "EEEENYI WANAANGU, MBONA MNA MIOYO MIGUMU KUAMNI? KILA KITU UTHIBITISHO TU. BASI KWAKUWA NAWAPENDA SANA, LEO NIMEWAPA UTHIBITISHO MKUU KULIKO YOTE"...dah, itabidi siku hiyo kila mtu afunge na kusali na kuvaa magunia. BTW angekuwa anatupenda sana angeondoa mateso toka miaka mia elfu iliyopita....jamaa either ana moyo mgumu kweli, au hawapendi tu na anafurahia mateso yenu, au HAWEZI, au HAYUPO.

Hata akiongea, lazima uwe na masikio yua kuweza kumsikia,tulio wake tunamsikia na anaongea nasi siku zote, pumbafu,mateso ambayo wewe unajitakia mwataka Mungu ayaono=doe, Kuishi duniani kuna TERMS AND CONDITIONS wewe unaishi bila kufuata Terms and Conditions,kwa ujinga wako mateso yakikupata wataka Mungu ayaondoe. too low

8) the fact kwamba the universe inatanuka ni FACT na sio UNABII, so uhitaji kuamini unahitaji kujua.

Unajua nini ndivyo ulivyo kariri,siku akija mwingine na hesabu tofauti,tutegemee total paradigm shift na hiyo ndiyo sayansi,sayansi haina fact za kudumu kwa kuwa bado haijui siri zote za uumbaji wa Ulimwengu,Wanasayansi nguli wamejitahidi kutafuta formula Mungu alitumia Kuumba dunia bado hawajapata.that being the case,kilichopo ni current knowledge na sio fact.

Tatizo watu wengi wanajifanya wanajua evolution wakati hawajui....mimi kwenye mijadala ya evolution huwa mkweli kuwa sijasoma evolution hasa katika macro-level. Evolution katika micro-level uhitaji hata ufike darasa la saba. Nani asiyejuwa vijidudu hugeuka na kuwa resistant kwa dawa? Ingawa ukifikiria utajiuliza hivi vidudu vitakuwaje miaka hata elfu tu ijayo? Hence, macro evolution.....

evolution at macro-level is a HOAX, ni mazu.zu hasa Athesit wanaoweza kuikubali kwa kuwa common sense ZERO.


Kutanuka kwa moyo???

Maswali mengine ni ya kichokozi tu, sasa wewe kama unaona vitu vinabadilika baada ya muda kwa nini unauliza tena kama mtu anaamini atabadilika? unless the process stops, organisms WILL go on changing.

evolution at work, washangaa nini na hiyo ndiyo kweli ya waji.nga.


9)unamaanisha advance in technology ndo evolution au?

Ndio maana atheists got to work, wanajua ni juu yetu kutunza hii dinia na si kusubiri kiama....kwanza kuwa mkweli, katika historia yote ya mwanadamu, watu walipigana kwa misingi ipi kama si mungu na imani....hata waliogombania mali na wanawake walisema ni mungu ametupa.

advance in tech, ndiyo nini ? evolution ipo why bother with tech, wakati ni swala la wakati tu evolution inaweza kuleteleza IPHONE ZIWE ZINACHUMWA KWENYE MIEMBE due to evolution, haihatajiki Artist, designer, wala maker as far as Atheism is concerned, all that is need ni time (millions of years) Yaani ninyi hata kukuiteni vich.aa ni kuwapendelea...

Atheisism, kama Theism, ikitumiwa vibaya italeta maafa.

Atheism yaweza tumiwaje vibaya ?
:wave::wave:

Angalia hizo zilizokolezwa wino mwenkundu.
 
:bored::bored::bored:

1) Atheist, mtu asiyekubali uwepo wa "a supernatural being", yani mtu mwenye nguvu zisizo za kawaida, AMBAYE NI MTAKATIFU, kama wanadini wanavyodai.

2) Kwa kiwango kikubwa kwa kuwa throughout history hamna aliyeweza kuthibitisha uwepo wa kiumbe kama huyo, zaidi ya kupeana moyo kuwa ana sababu zake za kujificha na kuwa kimya, ikiwemo ile ya 'mungu ni mkuu sana kuliko wewe so ahitaji kukuthibitushia chochote"!!!

3) ona number moja

4) Labda kwakuwa sayansi kwako ni kitu cha ajabu, lakini jibu ni ndio. Kuna mambo watu wanaona "ya ajabu" na "ya kiroho" wakati yana maelezo "perfect" ya kusayansi. Mfano meditation. Hata mungu akijitokeza siku moja kila jicho likamwona, nayo ni sayansi. Na kwani mungu na ukuu wake wote anaona ugumu kutoa uthibitisho rahisi tu ambao hamna wa kupinga????! Kwanini kang'ang'ania kuwa 'tumwamini tu' na wale 'wachache' aliowatuma/anaowatumia? We hushituki tu!!! Au ndo hivyo, ni moyo sana hapaswi kuulizwa chochote?

5) wowote usiohusisha imani ya dini fulani; ambao hautapingwa hata miaka elfu ijayo; ambayo iko kifacts zaidi ya kiimani; ambayo either umeishi kwenye misitu ya Amazon miaka yako yote au pale New York, utajua; ambao kwa "uwezo wa kibinadamu" YAANI kisayansi utafunga mioyo yote inayothubutu kukataa uwepo wa mtu huyu MKUU , MWENYE NGUVU ZA AJABU.

6) sio lazima maabara......kuna njia zingine ni ndogo sana ukilinganisha na ukuu wa huyu, mfano, sali chungwa litokee mkononi just to prove he's there.

7) mungu siku aongee dunia nzima imsikie na imuelewe, aongee either kama mtu mkatili na mwenye mamlaka kama tulivyomzoea, mfano aseme "BADO HAMTAKI KUNIAMINI, MOTO NI WENU", au aongee kama yule mungu aliyekuja dunuani, "EEEENYI WANAANGU, MBONA MNA MIOYO MIGUMU KUAMNI? KILA KITU UTHIBITISHO TU. BASI KWAKUWA NAWAPENDA SANA, LEO NIMEWAPA UTHIBITISHO MKUU KULIKO YOTE"...dah, itabidi siku hiyo kila mtu afunge na kusali na kuvaa magunia. BTW angekuwa anatupenda sana angeondoa mateso toka miaka mia elfu iliyopita....jamaa either ana moyo mgumu kweli, au hawapendi tu na anafurahia mateso yenu, au HAWEZI, au HAYUPO.

8) the fact kwamba the universe inatanuka ni FACT na sio UNABII, so uhitaji kuamini unahitaji kujua.

Tatizo watu wengi wanajifanya wanajua evolution wakati hawajui....mimi kwenye mijadala ya evolution huwa mkweli kuwa sijasoma evolution hasa katika macro-level. Evolution katika micro-level uhitaji hata ufike darasa la saba. Nani asiyejuwa vijidudu hugeuka na kuwa resistant kwa dawa? Ingawa ukifikiria utajiuliza hivi vidudu vitakuwaje miaka hata elfu tu ijayo? Hence, macro evolution.....

Kutanuka kwa moyo???

Maswali mengine ni ya kichokozi tu, sasa wewe kama unaona vitu vinabadilika baada ya muda kwa nini unauliza tena kama mtu anaamini atabadilika? unless the process stops, organisms WILL go on changing.

9)unamaanisha advance in technology ndo evolution au?

Ndio maana atheists got to work, wanajua ni juu yetu kutunza hii dinia na si kusubiri kiama....kwanza kuwa mkweli, katika historia yote ya mwanadamu, watu walipigana kwa misingi ipi kama si mungu na imani....hata waliogombania mali na wanawake walisema ni mungu ametupa.

Atheisism, kama Theism, ikitumiwa vibaya italeta maafa.
:wave::wave:

This is what I meant by people kutokwa povu tu na evolution wakati HAWAIJUI.

MAN DID NOT BRANCH FROM CHIMPANZEES, MAN AND PRIMATES HAVE A COMMON ANCESTOR.

Unaweza kusema utakalo kuhusu imani yako LAKINI YOU HAVE NO RIGHTS OR THE KNOWLEDGE in this case, kuongelea scientific facts utakavyo

PUMBA.VUUU KABISA, is evolution a scientific fact ? huwezi kuwa mzima wewe...
 
NO ONE HAS A VALID PROOF FOR GOD.

Kama 'unahisi' mungu yupo, THAT IS NOT PROOF.

Kama alikutokea usiku ukiwa peke yako na huwa mnaongea, THAT IS NOT PROOF.

Kama kuna 'manabii' waliodai wametumwa na mungu, THAT IS NOT PROOF.

Kama ulikuwa una matatizo ukasali, mambo yakakwendea vema bila ushirika wa mungu moja kwa moja, THAT IS NOT PROOF.

Kama una uthibitisho thabiti ambao hautokuwa na aina yoyote ya pingamizi YAANI PERFECT, kwanini usisaidie wenzako waliokuwa wakihangaika for years kupata,??? Usisahau, uthibitisho uwe "perfect" kama "mtuhumiwa" mwenyewe.

Honestly ningependa kusikia.

substantiate that NO ONE HAS A PROOF...
 
Biblia ni kitabu cha hadithi mkuu, nimeisoma sijaona sayansi yoyote mule mkuu, labda uongee kwa mifano!
Aliyelishwa sumu ni nani, sisi vijana wa siku hizi au nyie wazee wa zamani mliozikana dini za mababu zenu baada ya wazungu kuziita za kishenzi!! AMKA.

LAKINI NI KWENYE HIZO HADITH ZA BIBLIA KULIKOTANGULIA KUJUA JUU YA WAKATI KUWA NA MWANZO KABLA YA WANASAYANSI.kama una akili ya kutafakari,hilo linatosha kukufanya uondoe hoja yako.
 
Tafakari yako imejaa kibangi bangi,...ndio maana unatukana wenzako eti nio ma_zu_zu kisa hadithi za mabwana zako wayahudi na waarabu walizokukaririsha toka utotoni,....yaani wewe ni zaidi ya magungo na zu-zu la karne....pambafuuuuuuuuuuuu kabisa

ukweli ni matusi ?
 
:bored::bored::bored:

1) Atheist, mtu asiyekubali uwepo wa "a supernatural being", yani mtu mwenye nguvu zisizo za kawaida, AMBAYE NI MTAKATIFU, kama wanadini wanavyodai.

2) Kwa kiwango kikubwa kwa kuwa throughout history hamna aliyeweza kuthibitisha uwepo wa kiumbe kama huyo, zaidi ya kupeana moyo kuwa ana sababu zake za kujificha na kuwa kimya, ikiwemo ile ya 'mungu ni mkuu sana kuliko wewe so ahitaji kukuthibitushia chochote"!!!

3) ona number moja

4) Labda kwakuwa sayansi kwako ni kitu cha ajabu, lakini jibu ni ndio. Kuna mambo watu wanaona "ya ajabu" na "ya kiroho" wakati yana maelezo "perfect" ya kusayansi. Mfano meditation. Hata mungu akijitokeza siku moja kila jicho likamwona, nayo ni sayansi. Na kwani mungu na ukuu wake wote anaona ugumu kutoa uthibitisho rahisi tu ambao hamna wa kupinga????! Kwanini kang'ang'ania kuwa 'tumwamini tu' na wale 'wachache' aliowatuma/anaowatumia? We hushituki tu!!! Au ndo hivyo, ni moyo sana hapaswi kuulizwa chochote?

5) wowote usiohusisha imani ya dini fulani; ambao hautapingwa hata miaka elfu ijayo; ambayo iko kifacts zaidi ya kiimani; ambayo either umeishi kwenye misitu ya Amazon miaka yako yote au pale New York, utajua; ambao kwa "uwezo wa kibinadamu" YAANI kisayansi utafunga mioyo yote inayothubutu kukataa uwepo wa mtu huyu MKUU , MWENYE NGUVU ZA AJABU.

6) sio lazima maabara......kuna njia zingine ni ndogo sana ukilinganisha na ukuu wa huyu, mfano, sali chungwa litokee mkononi just to prove he's there.

7) mungu siku aongee dunia nzima imsikie na imuelewe, aongee either kama mtu mkatili na mwenye mamlaka kama tulivyomzoea, mfano aseme "BADO HAMTAKI KUNIAMINI, MOTO NI WENU", au aongee kama yule mungu aliyekuja dunuani, "EEEENYI WANAANGU, MBONA MNA MIOYO MIGUMU KUAMNI? KILA KITU UTHIBITISHO TU. BASI KWAKUWA NAWAPENDA SANA, LEO NIMEWAPA UTHIBITISHO MKUU KULIKO YOTE"...dah, itabidi siku hiyo kila mtu afunge na kusali na kuvaa magunia. BTW angekuwa anatupenda sana angeondoa mateso toka miaka mia elfu iliyopita....jamaa either ana moyo mgumu kweli, au hawapendi tu na anafurahia mateso yenu, au HAWEZI, au HAYUPO.

8) the fact kwamba the universe inatanuka ni FACT na sio UNABII, so uhitaji kuamini unahitaji kujua.

Tatizo watu wengi wanajifanya wanajua evolution wakati hawajui....mimi kwenye mijadala ya evolution huwa mkweli kuwa sijasoma evolution hasa katika macro-level. Evolution katika micro-level uhitaji hata ufike darasa la saba. Nani asiyejuwa vijidudu hugeuka na kuwa resistant kwa dawa? Ingawa ukifikiria utajiuliza hivi vidudu vitakuwaje miaka hata elfu tu ijayo? Hence, macro evolution.....

Kutanuka kwa moyo???

Maswali mengine ni ya kichokozi tu, sasa wewe kama unaona vitu vinabadilika baada ya muda kwa nini unauliza tena kama mtu anaamini atabadilika? unless the process stops, organisms WILL go on changing.

9)unamaanisha advance in technology ndo evolution au?

Ndio maana atheists got to work, wanajua ni juu yetu kutunza hii dinia na si kusubiri kiama....kwanza kuwa mkweli, katika historia yote ya mwanadamu, watu walipigana kwa misingi ipi kama si mungu na imani....hata waliogombania mali na wanawake walisema ni mungu ametupa.

Atheisism, kama Theism, ikitumiwa vibaya italeta maafa.
:wave::wave:

Soma tena hili bandiko lako utagundua kwamba, hutaki kuamini uwepo wa Mungu kwa kuwa hafanyi vile unavyotaka wewe. Sasa jiulize unadhani wewe nani hadi umuelekeze huyo Muumba jinsi ya kufanya mambo yake?
 
Huu ni ukweli ingawa ni mgumu kumeza mkuu,...check walokole na wavaa visuruali vifupi then you will understand what i mean.

Kuna ukweli ndani yake....The two groups looks different but yet simillar...
 
Kwa ufahamu wako wewe Mungu ni nani/nini?

Kuwa baba maana yake nini?

Kuumba maana yake nini?

Mbinguni ni wapi/nini?


Kuwa mwana wa Mungu maana yake nini?



Kwanza leta ushahidi wa madai ya Yesu wenda kinyume cha sheria zilizowekwa,halafu niambie ni nani aliziweka hizo sheria

Pili kuwa mkorofi maana yake nini?


Mosi:Si kweli kuwa Yesu aliuwawa kwa mawe,huu ni uongo mkubwa
Pili:Niambie ni nini maana ya kujitoa muhanga




Naomba ushahidi wa madai yako haya kuwa Yesu aliuwawa ili watu wasamehewe dhambi ya asili
Kisha uniambie dhambi ya asili maana yake nini


Evolution maana yake nini?
Hadithi ni nini?Maana yake nini?

Kama ataamini chochote kirahisi huyo atakuwa na matatizo ya akili
Yoyote anaeamini au kutafuta kuamini kirahisi au anatafuta mabo ya kumwaminisha mtu/mwanae mambo kirahisi,mada hii itakuwa inamuhusu bila kujali ni mwenye dini ama laa

Halafu unajua nini maana ya kuamini wewe?


Sumu ni ipi wewe?

Kwanza hujasema sumu ni ipi na kama kuna sumu iweje useme kuwa utampa mwanao kama ulivyosema hapa chini:



Yaani wewe ndo kilaza hasa

Unampa mwanao "sumu" halafu unasema akikua atakuja kujua ukweli ni upi na uongo ni upi,si atakua ameshakufa kifikra kama wewe ambae umelishwa sumu na hata baada ya kujua ni sumu bado umempa mwanao?

Halafu unajikinza
Kwanza umesema sumu halafu unakuja tena kusema nitampa vyote ili ajue ukweli ni upi inamaana pamoja na kuja hapa kuandika haya hujui ukweli ni upi kiasi kwamba mwanao ndio aje akuambie

Una maana gani kusema sumu?

Au hujui ulichokisema???

Umeua mkuu khaaa!!!!!
 
NO ONE HAS A VALID PROOF FOR GOD.

Kama 'unahisi' mungu yupo, THAT IS NOT PROOF.

Kama alikutokea usiku ukiwa peke yako na huwa mnaongea, THAT IS NOT PROOF.

Kama kuna 'manabii' waliodai wametumwa na mungu, THAT IS NOT PROOF.

Kama ulikuwa una matatizo ukasali, mambo yakakwendea vema bila ushirika wa mungu moja kwa moja, THAT IS NOT PROOF.

Kama una uthibitisho thabiti ambao hautokuwa na aina yoyote ya pingamizi YAANI PERFECT, kwanini usisaidie wenzako waliokuwa wakihangaika for years kupata,??? Usisahau, uthibitisho uwe "perfect" kama "mtuhumiwa" mwenyewe.

Honestly ningependa kusikia.



Non-Theists are Monkey Incarnate
 
Back
Top Bottom