Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Ninao Uhakika,Unataka nikuhakikishieje ? halafu ndugu Atheist ukiandika ''NO ONE'' ni kauli thabiti hiyo,nikikuomba ushahidi kwamba ni kweli ''NO ONE'' uanao ? Jifunze kutafakari mkuu

Tafakari yako imejaa kibangi bangi,...ndio maana unatukana wenzako eti nio ma_zu_zu kisa hadithi za mabwana zako wayahudi na waarabu walizokukaririsha toka utotoni,....yaani wewe ni zaidi ya magungo na zu-zu la karne....pambafuuuuuuuuuuuu kabisa
 

I'm working for a better tomorrow, you're working for heaven....kwakuwa zote ni biashara uchwara kwakuwa no one knows tomorrow, unaonaje degree ya uchwara huo? Remember leo ilikuwa kesho. Atleast tuna idea kesho inaweza kuaje. Nyie mnaotegemea mbinguni je?

To some degree atheists wana maisha bora kuliko theists, huoni hali ambazo wanadini wanajiweka just for the sake of religion?

Mara kujiua.
Mara mapepo.
Mara kutoa sadaka/fungu la kumi wakati kula yako haieleweki.
Watu kuishi na guilty conscious au hata kujiua kwa mambo madogo yanayoonwa ni dhambi eg. msterbation.
watu kuua kwa jina la mungu.
..watu kutoshughulika na maendeleo ya jamii kisa mwisho unakuja.
Mtu ana kazi za kubangaiza halafu anatenga masaa kwa ajili ya ibada kwa mungu ambaye hadi mtu anakufa, he was forever a nobody na ameacha manobodys.
Dini zingine zinakataza kutiwa damu mishipani.

Yani mtu akiangalia wanadini kutoka huko juu, :help
 
Katika ulimwengu ni nani mwanafalsafa bingwa kuliko wote? Kama sii Muhammad bin Abdillah...nyie kaeni mkipumbazwa na hao wanasayansi wenu. Sio kila kinachosemwa kwamba NDIO

Mkuu, asante kwa elimu, nilikuwa sijui kuwa babake Muhammad aliitwa Abdillah! Naomba kujua tafsiri ya jina Abdillah, pls.
 
Tafakari yako imejaa kibangi bangi,...ndio maana unatukana wenzako eti nio ma_zu_zu kisa hadithi za mabwana zako wayahudi na waarabu walizokukaririsha toka utotoni,....yaani wewe ni zaidi ya magungo na zu-zu la karne....pambafuuuuuuuuuuuu kabisa

Huyu ni kuendeleza conversation bila kurudisha matusi ili baadae wakati yeye au mtu anapitia thread, aweze kutofautisha watoa mada
 
binadamu ni mnyama kama wanyama wengine, tofauti ni kwenye uwezo kiakili tu jambo ambalo ni la kawaida among species! hayo majukumu ambayo unasema hayakweppeki ni yapi? na mwongozo alioutoa mungu kwenye sayansi ni upi?

Soma maandiko ya Mungu ndio utapata muongozo wote! kwa sababu hayo wanayofundisha kwenye sayansi yamepatikana kwenye maandiko hakuna jipya ambalo mwanadamu amevumbua, kila kitu kinakwenda kwa remote control! Hao wanaosema hakuna Mungu walishajua kwamba yupo ila wanamkataa tu kuendesha mambo yao na kujifanya wao ndio muingu watu, wajuaji, wagunduzi n.k. nyinyi vijana wa leo mnalishwa tu sumu ili mpoteze muelekeo!!
 
Mkuu, asante kwa elimu, nilikuwa sijui kuwa babake Muhammad aliitwa Abdillah! Naomba kujua tafsiri ya jina Abdillah, pls.
Abdi - mtumwa/mtumikiaji/mtumishi/servant na LLAH - Allah/Almighty kwahilo Abdillah inatuwa "Mtumishi wa Mungu"
 

Biblia ni kitabu cha hadithi mkuu, nimeisoma sijaona sayansi yoyote mule mkuu, labda uongee kwa mifano!
Aliyelishwa sumu ni nani, sisi vijana wa siku hizi au nyie wazee wa zamani mliozikana dini za mababu zenu baada ya wazungu kuziita za kishenzi!! AMKA.
 
lakini si tumefuata nyengine, hatujakaa bila dini wala Mungu!
 

inawezekana na chat na chizi, mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika pumba namna hii, naomba anzia mtaani kwako kuthibitisha kuwa theist wanaishi maisha ya shida kuliko Atheist. mengine uliyoandika ni mambo yanayoweza andikwa na kichaa yoyote ambaye ametingwa akidhani kutingwa kwake kunatokana na uwepo wa watu wanaoamini Mungu.
 

Angalia hizo zilizokolezwa wino mwenkundu.
 


PUMBA.VUUU KABISA, is evolution a scientific fact ? huwezi kuwa mzima wewe...
 

substantiate that NO ONE HAS A PROOF...
 

LAKINI NI KWENYE HIZO HADITH ZA BIBLIA KULIKOTANGULIA KUJUA JUU YA WAKATI KUWA NA MWANZO KABLA YA WANASAYANSI.kama una akili ya kutafakari,hilo linatosha kukufanya uondoe hoja yako.
 
Tafakari yako imejaa kibangi bangi,...ndio maana unatukana wenzako eti nio ma_zu_zu kisa hadithi za mabwana zako wayahudi na waarabu walizokukaririsha toka utotoni,....yaani wewe ni zaidi ya magungo na zu-zu la karne....pambafuuuuuuuuuuuu kabisa

ukweli ni matusi ?
 

Soma tena hili bandiko lako utagundua kwamba, hutaki kuamini uwepo wa Mungu kwa kuwa hafanyi vile unavyotaka wewe. Sasa jiulize unadhani wewe nani hadi umuelekeze huyo Muumba jinsi ya kufanya mambo yake?
 
Huu ni ukweli ingawa ni mgumu kumeza mkuu,...check walokole na wavaa visuruali vifupi then you will understand what i mean.

Kuna ukweli ndani yake....The two groups looks different but yet simillar...
 

Umeua mkuu khaaa!!!!!
 



Non-Theists are Monkey Incarnate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…