Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Mkuu huyo jamaa alikimbia maswali!


Unamshangaa huyo jamaa!?

Wewe mbona ukiulizwa maswali pia unakimbia?

Nilikuonyesha ushahidi kwenye ule uzi uliofungwa! Mbona ukakimbia jumla!?
Tatizo lenu nyie ni kufuata kama mkia bila ufahamu hata wa hio imani yenu!

Na hilo ni janga kuu!

Halafu eti ukiwa na sauti nzuri tu ya kuimba kwaya! Wanakupa na unabii!

Mhhhh hizi imani zingine balaaaaa!
 
Tafakari yako imejaa kibangi bangi,...ndio maana unatukana wenzako eti nio ma_zu_zu kisa hadithi za mabwana zako wayahudi na waarabu walizokukaririsha toka utotoni,....yaani wewe ni zaidi ya magungo na zu-zu la karne....pambafuuuuuuuuuuuu kabisa

Hapo umempiga msumari wa utosi mwenzio!
Teh teh teh teh! Manake huyu kijana hana adabu kwa wazee.
 
Yawezekana ni uzuz.u ulionao umekufanya uone kuna hoja ya msingi,au sio mkuu. makambo tu

Wewe huna adabu? Au hujafundishwa nidhamu ya kujadili!?
Nani alikupa ruhsa ya kutukana hapa!
Hebu mods tupeni huyu nje kwanza akajifunze kuongea na watu!
Ala! Mnfsssssssss!!
 
Soma maandiko ya Mungu ndio utapata muongozo wote! kwa sababu hayo wanayofundisha kwenye sayansi yamepatikana kwenye maandiko hakuna jipya ambalo mwanadamu amevumbua, kila kitu kinakwenda kwa remote control! Hao wanaosema hakuna Mungu walishajua kwamba yupo ila wanamkataa tu kuendesha mambo yao na kujifanya wao ndio muingu watu, wajuaji, wagunduzi n.k. nyinyi vijana wa leo mnalishwa tu sumu ili mpoteze muelekeo!!

Kama huyo Mungu wako alishindwa kuwatengenezea hata nguo adam na eva bado unamwamini kuwa ni mwanasayansi? Mwanasayansi huwa anafanya kazi kwa evidential proof, Mungu anafanya kazi Mythical! Kama Mungu alishindwa hat kutambua kama dunia aliyoiumba ni duara hauoni kuwa ni mburula wa kutupwa?
 
Kama huyo Mungu wako alishindwa kuwatengenezea hata nguo adam na eva bado unamwamini kuwa ni mwanasayansi? Mwanasayansi huwa anafanya kazi kwa evidential proof, Mungu anafanya kazi Mythical! Kama Mungu alishindwa hat kutambua kama dunia aliyoiumba ni duara hauoni kuwa ni mburula wa kutupwa?

Ukisema hivyo kudogo unakuwa umekosa maarifa!
Je nikuulize kidogo!
Umeshawahi kusoma quraan na ukaichunguza kidogo!?
 
Kama huyo Mungu wako alishindwa kuwatengenezea hata nguo adam na eva bado unamwamini kuwa ni mwanasayansi? Mwanasayansi huwa anafanya kazi kwa evidential proof, Mungu anafanya kazi Mythical! Kama Mungu alishindwa hat kutambua kama dunia aliyoiumba ni duara hauoni kuwa ni mburula wa kutupwa?

Quraan imeeleza umbo la ulimwengu 1400 yrs ago!
Quraan imeeleza embryology process 1400 yrs ago!
Quraan imeeleza rotation and revolution of the earth 1400 yrs ago!.
Na mengine mengi saana!

Hebu soma kidogo quraan upate faida!
 
Unamshangaa huyo jamaa!?

Wewe mbona ukiulizwa maswali pia unakimbia?

Nilikuonyesha ushahidi kwenye ule uzi uliofungwa! Mbona ukakimbia jumla!?
Tatizo lenu nyie ni kufuata kama mkia bila ufahamu hata wa hio imani yenu!

Na hilo ni janga kuu!

Halafu eti ukiwa na sauti nzuri tu ya kuimba kwaya! Wanakupa na unabii!

Mhhhh hizi imani zingine balaaaaa!

Wewe kweli kilaza
Unasema mwenyewe kuwa uzi ulifungwa halafu unaniambia nilikimbia!!!!????????
Haufikirii hata kidogo tu?
 
Quraan imeeleza umbo la ulimwengu 1400 yrs ago!
Quraan imeeleza embryology process 1400 yrs ago!
Quraan imeeleza rotation and revolution of the earth 1400 yrs ago!.
Na mengine mengi saana!

Hebu soma kidogo quraan upate faida!

Oh, kumbe quran imeandika hivo miaka 1400 iliyopita, wakati astrologers wa ugiriki walishaigundua hiyo 1000 BC, Who is smarter your "God" aliyeandika kuruani mwaka 600AD au Aristarxus Mgiriki miaka ya 350 BC?
 
Wewe huna adabu? Au hujafundishwa nidhamu ya kujadili!?
Nani alikupa ruhsa ya kutukana hapa!
Hebu mods tupeni huyu nje kwanza akajifunze kuongea na watu!
Ala! Mnfsssssssss!!

nini maana ya kutukana,kwa nini wewe usitupwe nje kwa andiko lako hili ''Mnfsssssssss!!'' Wale wale !
 
Quraan imeeleza umbo la ulimwengu 1400 yrs ago!
Quraan imeeleza embryology process 1400 yrs ago!
Quraan imeeleza rotation and revolution of the earth 1400 yrs ago!.
Na mengine mengi saana!

Hebu soma kidogo quraan upate faida!

mfuasi wa BEST DECEIVER, na kweli you are a victims of deceiptions, ona unavyoaandika uji,nga mambo ambayo yanajulikana maelfu ya miaka kabla ya Bwana Wetu Yesu Kristo hajaibadilisha dunia kwenye uelekeo sahihi huu unaotuwezesha binadamu sisi kuwasiliana na watu ninyi pasipo shida...!

Huwezi zungumzia phenomenon lizizokuwa zinazungumziwa maelfu ya miaka maeneo ya Ugiriki kana kwamba ni mapya, kwa kunukuu sayansi ya Makuraish wa miaka 1400 iliyopita. Makureish walipoona damu nzito nzito zikiwatoka wanawake waia abort wakahitimisha kwamba mimba huwa ni funda la damu. ndiyo ilikuwa current knowledge i,e sayansi ya wakati huo kwa maquraish. nawe kwa kukaririshwa unayaleta kwa watu wanaofikiri ukidhani ni waislam wa kukaririshwa. U.K.M.O.M.E ujinga...

Quran wanasoma ? au wanakariri ?
 
Kama huyo Mungu wako alishindwa kuwatengenezea hata nguo adam na eva bado unamwamini kuwa ni mwanasayansi? Mwanasayansi huwa anafanya kazi kwa evidential proof, Mungu anafanya kazi Mythical! Kama Mungu alishindwa hat kutambua kama dunia aliyoiumba ni duara hauoni kuwa ni mburula wa kutupwa?
mimi ndio nikakwambia umwlishwa masumu lakini yanakuua kidogo kidogo! Mungu huo huo unaemkana bado anaendelea kukupa uhai, ndie huyo huyo anaekuua (unapolala) na huyo huyo anayekurudishia uhai wako unapoamka, sifa za Mungu ni nyingi sana siwezi nikakuandikia hapa zote! lakini hebu nyinyi wajanja tufanyieni jua lichomozee magharibi na kutua mashariki walau siku moja hivi!!
 
mfuasi wa BEST DECEIVER, na kweli you are a victims of deceiptions, ona unavyoaandika uji,nga mambo ambayo yanajulikana maelfu ya miaka kabla ya Bwana Wetu Yesu Kristo hajaibadilisha dunia kwenye uelekeo sahihi huu unaotuwezesha binadamu sisi kuwasiliana na watu ninyi pasipo shida...!
Huwezi zungumzia phenomenon lizizokuwa zinazungumziwa maelfu ya miaka maeneo ya Ugiriki kana kwamba ni mapya, kwa kunukuu sayansi ya Makuraish wa miaka 1400 iliyopita. Makureish walipoona damu nzito nzito zikiwatoka wanawake waia abort wakahitimisha kwamba mimba huwa ni funda la damu. ndiyo ilikuwa current knowledge i,e sayansi ya wakati huo kwa maquraish. nawe kwa kukaririshwa unayaleta kwa watu wanaofikiri ukidhani ni waislam wa kukaririshwa. U.K.M.O.M.E ujinga...

Quran wanasoma ? au wanakariri ?

Nguvu ya asie na elimu ni matusi!
Imani yenu hamuijui wala kuifahamu vizuri!
Mnakubali kuwa yesu alioendwa na baba yake mpaka akamtoa kafara kwa ajili ya dhambi zenu!
Leo hii baba zenu wangewapenda kama yesu alivyopendwa na huyo mnaemwita baba yake, hakuna mgalatia angebaki duniani.

Wacha matusi! Na kujifanya mjanja kutia dots katikati ya maneno yasiofaa ili ufanikishe uchafu wako!
Hio sio busara na unaliangusha kanisa lako hadharani kwa kuonyesha ufinyu wa elimu.
 
mimi ndio nikakwambia umwlishwa masumu lakini yanakuua kidogo kidogo! Mungu huo huo unaemkana bado anaendelea kukupa uhai, ndie huyo huyo anaekuua (unapolala) na huyo huyo anayekurudishia uhai wako unapoamka, sifa za Mungu ni nyingi sana siwezi nikakuandikia hapa zote! lakini hebu nyinyi wajanja tufanyieni jua lichomozee magharibi na kutua mashariki walau siku moja hivi!!

Haujui hata ni kwa nini jua linachomozea mashariki?..kweli kabisa unaamini Mungu ndiye anafanya mambo hayo au unatania kutetea imani yako?!! Huyo Mungu hana ubavu wa kunipa uhai mimi, wala hana ubavu wa kuniuwa mimi! Ameshindwa kumuuwa shetani anayedanganya KONDOO wake mimi ataniwezea wapi? Halafu hebu nikumbushe mwana imani, shetani na Mungu nani mwenye nguvu?....:love:
 
Hakukuwa na swali lolote la msingi pale, maswali yenye ushabiki kama ya wasabato huwa sijibu, HUWA NA-IGNORE!


Umetumia kipimo gani kupimia na ukapata haya majibu?

Ushabiki maana yake nini?
 
Umetumia kipimo gani kupimia na ukapata haya majibu?

Ushabiki maana yake nini?

We unapenda saaana kuuliza maswali!
Ukiulizwa wewe unaingia mitini!

Nataka na mimi nikuulize swali hata 1 tu!

Nini maana ya utatu matakatifu??
 
Nini maana ya utatu matakatifu??

Maana yake ni hii:
Unga wa udaga unachanganya na wa mahindi pamoja na mboga
Hapa unapata utatu mtakatifu!!!!!!!!!!!!
Udaga+mahindi+mboga=utatu

Sijui akili mmepeleka wapi!!!!

Mithali 26:05
Umjibu mp.umbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
 
Maana yake ni hii:
Unga wa udaga unachanganya na wa mahindi pamoja na mboga
Hapa unapata utatu mtakatifu!!!!!!!!!!!!
Udaga+mahindi+mboga=utatu

Sijui akili mmepeleka wapi!!!!

Mithali 26:05
Umjibu mp.umbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.



JUST WHAT I THOUGHT AND SAY!!

Silaha ya mlevi hio!! matusi na kashfa!
Hlafu leo WATANZANIA WANADHANI KUTAKUWA NA USALAMA WATU WENYE IMANI KAMA HUYU KUTUONGOZEA NCHI!!

Sio ndio nyinyi mnaotujazia waliberali duniani! halafu mkiulizwa mnatupeleka kwenye andiko! ya kuwa imeruhusiwa!!

EEH MUNGU TUSAIDIE!!
 
Haujui hata ni kwa nini jua linachomozea mashariki?..kweli kabisa unaamini Mungu ndiye anafanya mambo hayo au unatania kutetea imani yako?!! Huyo Mungu hana ubavu wa kunipa uhai mimi, wala hana ubavu wa kuniuwa mimi! Ameshindwa kumuuwa shetani anayedanganya KONDOO wake mimi ataniwezea wapi? Halafu hebu nikumbushe mwana imani, shetani na Mungu nani mwenye nguvu?....:love:

Mkuu, CYBERTEQ respect.

Unajua mambo na una logic katika arguments zako. Unathibitisha heading ya huu uzi.

Religious
people are less intelligent than
atheists, according to scientific
studies
 
JUST WHAT I THOUGH AND SAY!!

Silaha ya mlevi hio!! matusi na kashfa!
Hlafu leo WATANZANIA WANADHANI KUTAKUWA NA USALAMA WATU WENYE IMANI KAMA HUYU KUTUONGOZEA NCHI!!

Sio ndio nyinyi mnaotujazia waliberali duniani! halafu mkiulizwa mnatupeleka kwenye andiko! ya kuwa imeruhusiwa!!

EEH MUNGU TUSAIDIE!!


Ninyi ni watu wa hovyo sana
Kwanini unataka kuharibu thread ya mwenzako kwa maswali yaliyo nje ya mada?

Hivi mtoa mada ameuliza kuhusu utatu?
Umetoa wapi masingi wa swali lako?

Hovyo sana nyie watu

Kila mahali mnataka kuleta udini tu
Mpaka kwenye serikali ya kuwaongoza watanzania wote wenye dini na wasiokuwa na dini mnataka awe na dini yenu ya hovyo

Mnalishwaga nini huko mnakojifunza dini yenu?
Maana hata uwezo mdogo tu wa kufikiri hamna!
 
Back
Top Bottom