Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Mkuu, CYBERTEQ respect.
Unajua mambo na una logic katika arguments zako. Unathibitisha heading ya huu uzi.
Religious
people are less intelligent than
atheists, according to scientific
studies
Lakini unaweza kumfundisha kuwa kuna Mungu ambaye ni baba wa wote, mungu aliyeumba kila kitu kwa udongo wa mfinyanzi, Mungu huyo huyo anaishi Juu mbinguni?
Kwa ufahamu wako wewe Mungu ni nani/nini?
Kuwa baba maana yake nini?
Kuumba maana yake nini?
Mbinguni ni wapi/nini?
Kwamba Mungu ana mwanaye anaitwa Yesu
Kuwa mwana wa Mungu maana yake nini?
, Yesu ambaye pia ni mungu ambaye alijituma duniani akajiingiza tumboni kwa mwanadamu baadaye akazaliwa na kuwa mkorofi kwa kwenda kinyume na sheria zilizowekwa
Kwanza leta ushahidi wa madai ya Yesu wenda kinyume cha sheria zilizowekwa,halafu niambie ni nani aliziweka hizo sheria
Pili kuwa mkorofi maana yake nini?
, baadaye akajitoa muhanga na kuruhusu wanadamu aliowaumba wampige mawe na kumuuwa
Mosi:Si kweli kuwa Yesu aliuwawa kwa mawe,huu ni uongo mkubwa
Pili:Niambie ni nini maana ya kujitoa muhanga
ili awasamehe dhambi ambazo walizaliwa nazo (dhambi za asili)!!!
Naomba ushahidi wa madai yako haya kuwa Yesu aliuwawa ili watu wasamehewe dhambi ya asili
Kisha uniambie dhambi ya asili maana yake nini
Hivi unafikiri kati ya EVOLUTION na hizo HADITHI ni kipi atakachoamini kirahisi?
Evolution maana yake nini?
Hadithi ni nini?Maana yake nini?
Kama ataamini chochote kirahisi huyo atakuwa na matatizo ya akili
Yoyote anaeamini au kutafuta kuamini kirahisi au anatafuta mabo ya kumwaminisha mtu/mwanae mambo kirahisi,mada hii itakuwa inamuhusu bila kujali ni mwenye dini ama laa
Halafu unajua nini maana ya kuamini wewe?
Tusiwalishe watoto sumu tulizolishwa sisi
Sumu ni ipi wewe?
Kwanza hujasema sumu ni ipi na kama kuna sumu iweje useme kuwa utampa mwanao kama ulivyosema hapa chini:
, watoto wangu mimi nawafundisha vyote, nawaonesha kitabu cha hadithi za "Mungu" na kuwafundisha stori zake, nawafunulia vitabu vya sayansi na kuwafundisha evolution, wao wakikua watafikia muafaka wa nini wanachoona ni ukweli na kipi ni uwongo.
Yaani wewe ndo kilaza hasa
Unampa mwanao "sumu" halafu unasema akikua atakuja kujua ukweli ni upi na uongo ni upi,si atakua ameshakufa kifikra kama wewe ambae umelishwa sumu na hata baada ya kujua ni sumu bado umempa mwanao?
Halafu unajikinza
Kwanza umesema sumu halafu unakuja tena kusema nitampa vyote ili ajue ukweli ni upi inamaana pamoja na kuja hapa kuandika haya hujui ukweli ni upi kiasi kwamba mwanao ndio aje akuambie
Una maana gani kusema sumu?
Au hujui ulichokisema???
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
