Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Religious people are less intelligent than atheists, according to scientific studies

Mkuu, CYBERTEQ respect.

Unajua mambo na una logic katika arguments zako. Unathibitisha heading ya huu uzi.

Religious
people are less intelligent than
atheists, according to scientific
studies


quote_icon.png
By CYBERTEQ
Lakini unaweza kumfundisha kuwa kuna Mungu ambaye ni baba wa wote, mungu aliyeumba kila kitu kwa udongo wa mfinyanzi, Mungu huyo huyo anaishi Juu mbinguni?
Kwa ufahamu wako wewe Mungu ni nani/nini?

Kuwa baba maana yake nini?

Kuumba maana yake nini?

Mbinguni ni wapi/nini?
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Kwamba Mungu ana mwanaye anaitwa Yesu



Kuwa mwana wa Mungu maana yake nini?

quote_icon.png
By CYBERTEQ
, Yesu ambaye pia ni mungu ambaye alijituma duniani akajiingiza tumboni kwa mwanadamu baadaye akazaliwa na kuwa mkorofi kwa kwenda kinyume na sheria zilizowekwa



Kwanza leta ushahidi wa madai ya Yesu wenda kinyume cha sheria zilizowekwa,halafu niambie ni nani aliziweka hizo sheria

Pili kuwa mkorofi maana yake nini?
quote_icon.png
By CYBERTEQ
, baadaye akajitoa muhanga na kuruhusu wanadamu aliowaumba wampige mawe na kumuuwa



Mosi:Si kweli kuwa Yesu aliuwawa kwa mawe,huu ni uongo mkubwa
Pili:Niambie ni nini maana ya kujitoa muhanga


quote_icon.png
By CYBERTEQ
ili awasamehe dhambi ambazo walizaliwa nazo (dhambi za asili)!!!



Naomba ushahidi wa madai yako haya kuwa Yesu aliuwawa ili watu wasamehewe dhambi ya asili
Kisha uniambie dhambi ya asili maana yake nini
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Hivi unafikiri kati ya EVOLUTION na hizo HADITHI ni kipi atakachoamini kirahisi?



Evolution maana yake nini?
Hadithi ni nini?Maana yake nini?

Kama ataamini chochote kirahisi huyo atakuwa na matatizo ya akili
Yoyote anaeamini au kutafuta kuamini kirahisi au anatafuta mabo ya kumwaminisha mtu/mwanae mambo kirahisi,mada hii itakuwa inamuhusu bila kujali ni mwenye dini ama laa

Halafu unajua nini maana ya kuamini wewe?
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Tusiwalishe watoto sumu tulizolishwa sisi



Sumu ni ipi wewe?

Kwanza hujasema sumu ni ipi na kama kuna sumu iweje useme kuwa utampa mwanao kama ulivyosema hapa chini:

quote_icon.png
By CYBERTEQ
, watoto wangu mimi nawafundisha vyote, nawaonesha kitabu cha hadithi za "Mungu" na kuwafundisha stori zake, nawafunulia vitabu vya sayansi na kuwafundisha evolution, wao wakikua watafikia muafaka wa nini wanachoona ni ukweli na kipi ni uwongo.



Yaani wewe ndo kilaza hasa

Unampa mwanao "sumu" halafu unasema akikua atakuja kujua ukweli ni upi na uongo ni upi,si atakua ameshakufa kifikra kama wewe ambae umelishwa sumu na hata baada ya kujua ni sumu bado umempa mwanao?

Halafu unajikinza
Kwanza umesema sumu halafu unakuja tena kusema nitampa vyote ili ajue ukweli ni upi inamaana pamoja na kuja hapa kuandika haya hujui ukweli ni upi kiasi kwamba mwanao ndio aje akuambie

Una maana gani kusema sumu?

Au hujui ulichokisema???




:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Lakini unaweza kumfundisha kuwa kuna Mungu ambaye ni baba wa wote, mungu aliyeumba kila kitu kwa udongo wa mfinyanzi, Mungu huyo huyo anaishi Juu mbinguni?
Kwa ufahamu wako wewe Mungu ni nani/nini?

Kuwa baba maana yake nini?

Kuumba maana yake nini?

Mbinguni ni wapi/nini?
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Kwamba Mungu ana mwanaye anaitwa Yesu



Kuwa mwana wa Mungu maana yake nini?

quote_icon.png
By CYBERTEQ
, Yesu ambaye pia ni mungu ambaye alijituma duniani akajiingiza tumboni kwa mwanadamu baadaye akazaliwa na kuwa mkorofi kwa kwenda kinyume na sheria zilizowekwa



Kwanza leta ushahidi wa madai ya Yesu wenda kinyume cha sheria zilizowekwa,halafu niambie ni nani aliziweka hizo sheria

Pili kuwa mkorofi maana yake nini?
quote_icon.png
By CYBERTEQ
, baadaye akajitoa muhanga na kuruhusu wanadamu aliowaumba wampige mawe na kumuuwa



Mosi:Si kweli kuwa Yesu aliuwawa kwa mawe,huu ni uongo mkubwa
Pili:Niambie ni nini maana ya kujitoa muhanga


quote_icon.png
By CYBERTEQ
ili awasamehe dhambi ambazo walizaliwa nazo (dhambi za asili)!!!



Naomba ushahidi wa madai yako haya kuwa Yesu aliuwawa ili watu wasamehewe dhambi ya asili
Kisha uniambie dhambi ya asili maana yake nini
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Hivi unafikiri kati ya EVOLUTION na hizo HADITHI ni kipi atakachoamini kirahisi?



Evolution maana yake nini?
Hadithi ni nini?Maana yake nini?

Kama ataamini chochote kirahisi huyo atakuwa na matatizo ya akili
Yoyote anaeamini au kutafuta kuamini kirahisi au anatafuta mabo ya kumwaminisha mtu/mwanae mambo kirahisi,mada hii itakuwa inamuhusu bila kujali ni mwenye dini ama laa

Halafu unajua nini maana ya kuamini wewe?
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Tusiwalishe watoto sumu tulizolishwa sisi



Sumu ni ipi wewe?

Kwanza hujasema sumu ni ipi na kama kuna sumu iweje useme kuwa utampa mwanao kama ulivyosema hapa chini:

quote_icon.png
By CYBERTEQ
, watoto wangu mimi nawafundisha vyote, nawaonesha kitabu cha hadithi za "Mungu" na kuwafundisha stori zake, nawafunulia vitabu vya sayansi na kuwafundisha evolution, wao wakikua watafikia muafaka wa nini wanachoona ni ukweli na kipi ni uwongo.



Yaani wewe ndo kilaza hasa

Unampa mwanao "sumu" halafu unasema akikua atakuja kujua ukweli ni upi na uongo ni upi,si atakua ameshakufa kifikra kama wewe ambae umelishwa sumu na hata baada ya kujua ni sumu bado umempa mwanao?

Halafu unajikinza
Kwanza umesema sumu halafu unakuja tena kusema nitampa vyote ili ajue ukweli ni upi inamaana pamoja na kuja hapa kuandika haya hujui ukweli ni upi kiasi kwamba mwanao ndio aje akuambie

Una maana gani kusema sumu?

Au hujui ulichokisema???




:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:

Toa hoja! Acha kupenda kashfa siku zote!
We mwenzako amekupa hoja na wewe toa hoja!
Kilaza sijui kilazo" hayo maneno wacha kilabuni!
 
quote_icon.png
By CYBERTEQ
Lakini unaweza kumfundisha kuwa kuna Mungu ambaye ni baba wa wote, mungu aliyeumba kila kitu kwa udongo wa mfinyanzi, Mungu huyo huyo anaishi Juu mbinguni?
Kwa ufahamu wako wewe Mungu ni nani/nini?

Mungu ni Muumba anayedaiwa na theists kuwa aliumba kila kitu duniani, na limuumba mwanadamu kwa mfano wake, kisha akampulizia pumzi ya uhai (sijui wanyama wengine aliwapulizia nani pumzi, maana wengi wana mfumo wa uhai kama wa binadamu). Inadaiwa kuwa yeye ndiye mfalme wa dunia hii na mbingu na hakuna liye juu yake yeye (MUNGU HASHINDWI NA KITU, lakini shetani amemshindwa, huenda hakumuumba yeye)

Kuwa baba maana yake nini?

Kuwa baba literaly ni kuwa kiongozi mkuu. KUWA BABA NI KUWA MZAZI WA KIUME!

Kuumba maana yake nini?

Kuumba maana yake ni kuunda kitu, kwa mujibu wa biblia MUNGU aliunda dunia, mwanadamu na viumbe hai wengine!


Mbinguni ni wapi/nini?
Makazi ya mungu wako.

quote_icon.png
By CYBERTEQ
Kwamba Mungu ana mwanaye anaitwa Yesu



Kuwa mwana wa Mungu maana yake nini?
Kuwa umezaliwa au umeundwa na mungu. Mwana wa mungu pia inamaanisha mfuasi wa mungu, MUAMINI!

quote_icon.png
By CYBERTEQ
, Yesu ambaye pia ni mungu ambaye alijituma duniani akajiingiza tumboni kwa mwanadamu baadaye akazaliwa na kuwa mkorofi kwa kwenda kinyume na sheria zilizowekwa



Kwanza leta ushahidi wa madai ya Yesu wenda kinyume cha sheria zilizowekwa,halafu niambie ni nani aliziweka hizo sheria

Pili kuwa mkorofi maana yake nini?

Kujitangaza kuwa ni mfalme wa wayahudi alihali akijua kuwa si mfalme lilikuwa kosa la uhaini ambalo adhabu iliyomstahili ni kifo. Mkorofi ni mtu mtukutu anayeenda kinyume na taratibu zilizoweka sehem.

quote_icon.png
By CYBERTEQ
, baadaye akajitoa muhanga na kuruhusu wanadamu aliowaumba wampige mawe na kumuuwa



Mosi:Si kweli kuwa Yesu aliuwawa kwa mawe,huu ni uongo mkubwa
Pili:Niambie ni nini maana ya kujitoa muhanga

Mosi: Walimpiga mawe, walimtemea mate na kumdhihaki, ALISURUBISWA. does that mean anything to you? Jaribu kusoma crusifiction enzi za warumi utaelewa walivyokuwa wanasurubishana.
Pili: Kujitoa mhanga maana yake ni kuruhusu ufe au uuwawe kwa faida ya wengine watakaobaki nyuma!


quote_icon.png
By CYBERTEQ
ili awasamehe dhambi ambazo walizaliwa nazo (dhambi za asili)!!!



Naomba ushahidi wa madai yako haya kuwa Yesu aliuwawa ili watu wasamehewe dhambi ya asili
Kisha uniambie dhambi ya asili maana yake nini

Kumbe alijitoa muhanga ili iweje?

quote_icon.png
By CYBERTEQ
Hivi unafikiri kati ya EVOLUTION na hizo HADITHI ni kipi atakachoamini kirahisi?



Evolution maana yake nini? Funua madaftari yako ya shule ya upili utapata majibu.
Hadithi ni nini?Maana yake nini? Kiswahili haukusoma?

Kama ataamini chochote kirahisi huyo atakuwa na matatizo ya akili
Yoyote anaeamini au kutafuta kuamini kirahisi au anatafuta mabo ya kumwaminisha mtu/mwanae mambo kirahisi,mada hii itakuwa inamuhusu bila kujali ni mwenye dini ama laa

Halafu unajua nini maana ya kuamini wewe?
Kuamini ni kusadiki kitu hata bila uthibitisho wa namna yoyote ile!

quote_icon.png
By CYBERTEQ
Tusiwalishe watoto sumu tulizolishwa sisi



Sumu ni ipi wewe?

Kwanza hujasema sumu ni ipi na kama kuna sumu iweje useme kuwa utampa mwanao kama ulivyosema hapa chini:

Sumu ni uwongo ulio dhahiri, wanangu nasoma nao biblia kama hadithi, siwaaminishi kuwa hadithi za biblia ni ukweli bali nawaambia kuna watu wanaamini hizo hadithi; they always ask " how could someone believe in an obvious hox"....tunacheeeeka! They are smart kids, they know what to believe and what not to.



quote_icon.png
By CYBERTEQ
, watoto wangu mimi nawafundisha vyote, nawaonesha kitabu cha hadithi za "Mungu" na kuwafundisha stori zake, nawafunulia vitabu vya sayansi na kuwafundisha evolution, wao wakikua watafikia muafaka wa nini wanachoona ni ukweli na kipi ni uwongo.



Yaani wewe ndo kilaza hasa

Unampa mwanao "sumu" halafu unasema akikua atakuja kujua ukweli ni upi na uongo ni upi,si atakua ameshakufa kifikra kama wewe ambae umelishwa sumu na hata baada ya kujua ni sumu bado umempa mwanao?

Halafu unajikinza
Kwanza umesema sumu halafu unakuja tena kusema nitampa vyote ili ajue ukweli ni upi inamaana pamoja na kuja hapa kuandika haya hujui ukweli ni upi kiasi kwamba mwanao ndio aje akuambie

Una maana gani kusema sumu?

Au hujui ulichokisema???

Rejea majibu yangu hapo juu!




:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:

Halafu kuna kitu huwa kinanikanganya mkuu, shetani aliumbwa na nani?
 
nimekuuliza comment zako hapa kwenye huu uzi wangu ambao umefungwa kwa dakika 10 tu!! nataka jibu!!

Ultra-Orthodox Jews
'Must Stop Religious Abuse'
[SIZE=+1]By Conal Urquhart in Jerusalem
The Observer - UK
10-17-4[/SIZE] [TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD][SIZE=+1]Jerusalem's Christian community has demanded that Jewish leaders and the Israeli government take action against what they claim is growing harassment of their clergy by religious Jews.[/SIZE][SIZE=+1]Christians say ultra-Orthodox Jewish students spit at them or at the ground when they pass. There have also been acts of vandalism against statues of the Virgin Mary.[/SIZE][SIZE=+1]The harassment came to a head last week when a Jewish student spat at Armenian Archbishop Nourhan Manougian and ripped off his crucifix, whereupon the archbishop slapped him. The police questioned both men.[/SIZE][SIZE=+1]Mainstream Israeli opinion has been revolted by the revelations of the abuse of Christian clergy. Avraham Poraz, the interior minister, condemned the trend of spitting at the cross and those wearing it, saying it was 'intolerable' and that he was 'revolted' by it. A former chief rabbi also voiced his outrage.[/SIZE][SIZE=+1]All the Christian groups complain of harassment, but the Armenians bear the brunt. Armenian clergymen said that, when they complained to the interior minister seven months ago, he told them: 'Most Jews have a big problem with them as well.'[/SIZE][SIZE=+1]The 3,000-strong community live in the Armenian quarter and many Jews walk through it on their way from west Jerusalem to the Wailing Wall or Western Wall.[/SIZE][SIZE=+1]Father Pakrad Bourjekian, a spokesman for the Armenian church, said the attack was an extreme example of the harassment they receive every day. 'Every day the fanatical Jews turn their face to the wall or spit on the ground or at us when they see the crucifix,' he said.[/SIZE][SIZE=+1]The Christians admit that it is only a minority who carry out the abuse, but they feel that the issue is being ignored by religious leaders.[/SIZE][SIZE=+1]Bishop Aris Shirvanian of the Armenian church said: 'The majority are courteous or indifferent. The problem is the very religious. It's a question of education. What must these people be learning to behave like this?'[/SIZE][SIZE=+1]The old city of Jerusalem is buzzing with rumours that young Armenians will take revenge for the attack and the daily indignities suffered by their priests.[/SIZE][SIZE=+1]Bishop Aris acknowledged that there was a danger of reprisals. 'We are trying to control our young people and we are succeeding. But the question is that there is no one in the Jewish community trying to control their fanatics,' he said.[/SIZE][SIZE=+1]Father Pakrad added: 'There is no hierarchy. Anyone can become a rabbi, set up an institution, get funds from abroad and teach what they like.'[/SIZE][SIZE=+1]Jerusalem has always been a city of conflict. Even the old Christian churches - the Armenian, Orthodox, Coptic, Syrian, Ethiopian and Catholic - are known for their disputes, which regularly result in brawls.[/SIZE][SIZE=+1]In the current dispute, the Muslims, the old city's biggest group, are for once not involved. 'I do not think these Jews would dare spit at a Muslim sheikh; the whole city would explode. We are only a small group, so it easy to bully us,' said Bishop Aris.[/SIZE]

cc
Kikwajuni oneAlly KomboEhudfaiza fox Eiyer[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Mkuu, hawezi kukujibu!
molarity.png
 
Haujui hata ni kwa nini jua linachomozea mashariki?..kweli kabisa unaamini Mungu ndiye anafanya mambo hayo au unatania kutetea imani yako?!! Huyo Mungu hana ubavu wa kunipa uhai mimi, wala hana ubavu wa kuniuwa mimi! Ameshindwa kumuuwa shetani anayedanganya KONDOO wake mimi ataniwezea wapi? Halafu hebu nikumbushe mwana imani, shetani na Mungu nani mwenye nguvu?....:love:
Duh! yaani ndugu yangu nakuonea huruma hijui chochote, na huna kitu ndani ya kichwa yako!! yaani unapambanisha shetani na Mungu! kwa taarifa yako hata mimi nina nguvu ya kumshinda shetani achilia mbali Bwana Muumba wetu alieumba kila kitu including shetani majini na shetani watu...like those who reject Him !!
 
Duh! yaani ndugu yangu nakuonea huruma hijui chochote, na huna kitu ndani ya kichwa yako!! yaani unapambanisha shetani na Mungu! kwa taarifa yako hata mimi nina nguvu ya kumshinda shetani achilia mbali Bwana Muumba wetu alieumba kila kitu including shetani majini na shetani watu...like those who reject Him !!

Oh, kumbe mungu huyohuyo ndiyo aliumba shetani?...sasa iweje sasa hivi kama anamshinda nguvu vile, au ndiyo mungu kazeeka? :Cry:
 
Duh! yaani ndugu yangu nakuonea huruma hijui chochote, na huna kitu ndani ya kichwa yako!! yaani unapambanisha shetani na Mungu! kwa taarifa yako hata mimi nina nguvu ya kumshinda shetani achilia mbali Bwana Muumba wetu alieumba kila kitu including shetani majini na shetani watu...like those who reject Him !!

Una nguvu ya kumshinda shetan wewe? Come on!

Mungu mwenyewe na ukuu wake kashindwa kumcontrol uje kuwa wewe
 
Oh, kumbe mungu huyohuyo ndiyo aliumba shetani?...sasa iweje sasa hivi kama anamshinda nguvu vile, au ndiyo mungu kazeeka? :Cry:
Hata siku moja Mungu hawezi kushindwa nguvu na shetani, bali anajaribu kuwavuruga binadamu, aliahidi kufanya hivyo na Mungu akamruhusu kama kweli ataweza, kwahiyo tupo kwenye vita ya vita ya kupambana na shetani kama vile tunavyohangaikia chakula, elimu, makaazi n.k. duniani ni kama darasani au boarding school! tupo hapa mda mfupi tu ili kuandaa maisha ya milele yasiyoisha!!
 
Una nguvu ya kumshinda shetan wewe? Come on!

Mungu mwenyewe na ukuu wake kashindwa kumcontrol uje kuwa wewe
Kashindwa vipi kum-control?? anauwezo wa kumuondosha hata leo hii, lakini hawezi kuvunja ahadi yake aliyompa shetani kwamba atamwachia aishi muda mrefu mpaka hapo atakapo amua kumuua!!
 
Hata siku moja Mungu hawezi kushindwa nguvu na shetani, bali anajaribu kuwavuruga binadamu,

aliahidi kufanya hivyo na Mungu akamruhusu kama kweli ataweza,

kwa hyo hapa unathibitisha kuwa shetan kamshinda Mungu kwan ameweza kuwavuruga wanadamu
 
Kashindwa vipi kum-control?? anauwezo wa kumuondosha hata leo hii, lakini hawezi kuvunja ahadi yake aliyompa shetani kwamba atamwachia aishi muda mrefu mpaka hapo atakapo amua kumuua!!

Sasa mkuu, kwa nin huyo mungu amuache shetani kuja kuwajaribu wanadam, wakat yeye mwenyewe amewaumba wanaadamu na udhaifu?

Hii inaonesha huyo mungu hana uhakika na uumbaj wake ndo mana akamuweka shetan kuwajaribu cyo?
 
Sasa mkuu, kwa nin huyo mungu amuache shetani kuja kuwajaribu wanadam, wakat yeye mwenyewe amewaumba wanaadamu na udhaifu?

Hii inaonesha huyo mungu hana uhakika na uumbaj wake ndo mana akamuweka shetan kuwajaribu cyo?

wakati anaumbwa binadamu, shetani alichukia sana na kumwambia Mungu kwa nini ameumba kiumbe chengine na kusema kwamba ni chema, ilihali yeye shetani ndo alijiona kuwa mwema zaidi! baada ya kuumbwa Adam viumbe vyote vilitakiwa kumsujudia, lakini shetani alikataa, na hapo ndipo alipoanza kumuasi Mungu, aliahidi kuwapoteza wanadamu wote ila aliomba apewe muda mrefu wa kuishi kutimiza ahadi yake!

Mwenyezi Mungu alimkubalia ombi lake la kuishi mda mrefu, lakini Mungu alimuhakikishia shetani kwamba hatawapoteza wote ila wale tu ambao hawatamuogopa na kumuabudu YEYE kama alivyoagiza. Kupambanisha ni njia moja ya kujua ukomavu wa timu moja dhidi ya nyingine, sisi wanadamu tunapambanishwa na shetani na vibaraka wake, atakae shinda vita ndio anapata maisha mema baada ya haya!!
 
Angalia hizo zilizokolezwa wino mwenkundu.

With your second last paragraph it occured to me that i might be talking to a computer program and not a reasonable being. Plus your insults and failure to carry a mature and descent convo, this is my last reply to you, unless u decide to go on with a descent convo.

Throughout you have been playing semantics.

You pretend to not know what I meant by mtu mwenye nguvu za ajabu. (although, kweli, it would have made more sense in English)

Swali lako number tisa halikuwa clear, nikauliza if what u meant is advance in technology ndo evolution au vipi. Ukashikwa na ushabiki na kuasaume nimesema advance ya technology ni evolution. Ona ulivyonijibu na swali lako no. 9 uone unavyojicontradict.
Either way your interpretation on advance in technology and evolution is beyond ridiculous.....

DNA is a good topic for debate between educated and matured atheists and theists. I read lots and I could dare challenge one. In this case neither of us qualify for this debate, I having a limited knowledge of it, and you being immature or both.

Sijui ni wapi nimesema science ni ya atheist, hata baada ya kurudia rudia kusoma my text. So I'll assume nguvu zako za ushabiki zimepita za kudebate. SIJASEMA SCIENCE NI MALI YA ATHEISTS. THAT DOESN'T EVEN MAKE SENSE.

About macro evolution, as I said I know very little about it. I would have taken your word for it if u had been giving scholarly inputs in your previous posts. But I'll have to ignore you due to your previous hogwash.

I answered all your questions as I saw fit, kama hukuridhika that's no my problem. Although, I would be happy to elaborate if you changed your attitude. But again, I lost interest in this silly convo.

Atheism can be used just like theism. Eg. Killing inthe name of god. In this case, killing because there is no god!

Nimependa mfano wako wa akili. Umeonyesha kuwa mungu ni wa kufikirika kama 'akili' ilivyo
 
inawezekana na chat na chizi, mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika pumba namna hii, naomba anzia mtaani kwako kuthibitisha kuwa theist wanaishi maisha ya shida kuliko Atheist. mengine uliyoandika ni mambo yanayoweza andikwa na kichaa yoyote ambaye ametingwa akidhani kutingwa kwake kunatokana na uwepo wa watu wanaoamini Mungu.

Nimeshakupa mifano hapo juu, kama hizo hali si za kitaani ni za wapi?

And I said 'to some degree', considering atheists got less to worry about, like praying for forgiveness of sins.

Again convo with you no more.
 
PUMBA.VUUU KABISA, is evolution a scientific fact ? huwezi kuwa mzima wewe...

Pia una matatizo na kutoelewa context. Sijui secondary ulisomaje!!!

Or maybe I was open to many interpretations.

When you quote a source, you quote it as facts from the source.

Wewe ulimisinterprete man's evolution. I corrected you from the evolution's point of view, that is the evolution fact from the evolution source.

Now whether the info is subjectively fact or not is another case.

Hope I'm clear
 
Soma tena hili bandiko lako utagundua kwamba, hutaki kuamini uwepo wa Mungu kwa kuwa hafanyi vile unavyotaka wewe. Sasa jiulize unadhani wewe nani hadi umuelekeze huyo Muumba jinsi ya kufanya mambo yake?

Umemaanisha sifanyi vile anavyotaka Mungu?

If so, me nitajuaje anachotaka?
 
Who's that?

I dont remember so I dont know.

It happens to be the only macro evolution fact I read a while ago.

Simple to remember as eeeveryone (including me) tumekremishwa na dini that evolution says man came from Apes.
 
Back
Top Bottom