Replacement hii haizungumzwi sana pale Yanga

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Anaitwa Jawab raia wa Morroco huyu ni kocha wa viungo pale Yanga jamaa amefanikiwa sana kujenga stamina ya team kifupi ameendelea pale alipoishia prof manywele ambae kwa uhalisia alifanya kazi nzuri sna
Ukiondoa mpango kazi wa azam kuumiza wachezaji wetu lakini wachezaji wamekuwa na physic nzuri sana
 

Attachments

  • Screenshot_20240404-114552.jpg
    225.1 KB · Views: 3
Azam fc haitakuwa hata nafasi ya nne msimu huu..watashika kuanzia nafasi ya 5.
 
Manywele alikuwa na vibe flani hiviiiiii, aliifanya nafasi yake ya kazi ndani ya klabu iangaliwe kwa jicho tofauti.
Yah nadhani Ile huwa inachangiwa na umri na character ndio maana alikuwa anaweza kuishi kishkaji na wachezaji Ile sio Kila mtu anakuwa nayo
 
Manywele alikuwa na vibe flani hiviiiiii, aliifanya nafasi yake ya kazi ndani ya klabu iangaliwe kwa jicho tofauti.
Kweli lile vibe na manywele yale akawa identical.
 
Yule Manywele alikuwa hatari sana. Timu ilikuwa ikifika Dak ya 70 wapinzani wamechoka Yanga ndiyo inachanganya. Pia kwa Manywele majeruhi hawakuwa kivile, inaonekana huyu jamaa kuna shida sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…