Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Naam hapo kuna maboti ya kivita yanatazama hazo balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunawachapa vizuri sana japo wana silaha za kisasa vita ni mbinu tuWahind ni mdebwedo tu wale .....hawana kitu .....ATA TZ ....TUNAWACHAPA
kwa silaha zipi tulizonazo labda? maana wanatumia USD65.86 billion kwa mwaka juu ya jeshi lao.Wahind ni mdebwedo tu wale .....hawana kitu .....ATA TZ ....TUNAWACHAPA
modern battle ina require modern solution.tunawachapa vizuri sana japo wana silaha za kisasa vita ni mbinu tu
Kuna uwezakano wachina walichapika kwanini wachelewe kitoa lipoti?Haya mapigano wahindi waliingia cha kike.....mchina anakucharaza na rungu lenye misumali hata muda wa kuimba masongi yao walikosa
Waliolia sana ni wahindi wachina walikausha tu.......sema haieleweki maana wachina sio watu wa kutoa data zao na hata wakitoa mara nyingi hawasemi ukweli.......ila kwa namna wahindi walivyolalamika inaonyesha wahindi ndo walichapika sana hata kama wachina walipigwa pia ila kwa wahindi hali ndo ilikua mbaya zaidiKuna uwezakano wachina walichapika kwanini wachelewe kitoa lipoti?
. Mkuu. Unaweza ukawa na morden weapons ....na ukakarishwa fresh .tuuu ......sometime. Vita ni akili .............Tz tuna akili😂😂😂kwa silaha zipi tulizonazo labda? maana wanatumia USD65.86 billion kwa mwaka juu ya jeshi lao.
hiyo pesa ni sawa sawa na Trillion 152,729,340,000,000.00 za kitanzania.
wana modern airforce.. mpaka wametengeneza ndege zao za kivita pamoja na helicopters.
halaf unajilanganisha nao? how
. Wahind ... Wana Editting nying 😂😂tunawachapa vizuri sana japo wana silaha za kisasa vita ni mbinu tu
. SURE MZEE......KWA WORLD LAND MILLITALY WAR TZ TUPO NAFASI YA 4Tanzania hata USA tungekuwa tunapakana naye kama Uganda mbona naye ni mtori au nasema uongo ndugu zangu?
We jamaa ume nifanya nime cheka peke yangu kama kichaa dah.Kitu kama hiko utaimba songi muda ganiView attachment 1707033View attachment 1707034
kwamba majeshi mengine haya hakili. hahahah. Mkuu. Unaweza ukawa na morden weapons ....na ukakarishwa fresh .tuuu ......sometime. Vita ni akili .............Tz tuna akili[emoji23][emoji23][emoji23]
Fuatilia huo mgogoro unamiaka zaidi ya 60 na India alishapigwa Hadi akaukimbia mpakaHahaaa ila jua zote nchi zipo vizuri kijeshi na vifaa pia, wote wana nuclear weapons
hahaha sorry brother. hakuna kitu kinaitwa world land military. hiyo ni hoax. SURE MZEE......KWA WORLD LAND MILLITALY WAR TZ TUPO NAFASI YA 4
Vita hivyo navijua India ilipigwa ila kwa saivi wote ni supper power, kama wanaogopanaFuatilia huo mgogoro unamiaka zaidi ya 60 na India alishapigwa Hadi akaukimbia mpaka
ww unajudge jeshi la india kwa kuangalia movie zao.. Wahind ... Wana Editting nying [emoji23][emoji23]
Hata Kama India haiwezi kumtishia nyau Mchina anajua kupambana milimani huyo Mhindi haiwezi kuvumilia lazima atapigwa na kulialiaVita hivyo navijua India ilipigwa ila kwa saivi wote ni supper power, kama wanaogopana
.........pia ata movies zina sadifu uwezo ..........eg .....USA sometimes hudhamini movies za operation za kijesh in order to declare her military superior ........like wise China nao wameanza hii tabia ya kutumia technology kubwa kweny military movies ......hii inatokana na mambo ya propaganda .....kwamba ukichek movies hii unajua kuwa ......USA ni nomaww unajudge jeshi la india kwa kuangalia movie zao.
ni sawa sawa na mtu apime nguvu za jeshi la wananchi kwa kuangalia bongo movie..
huyu mtu atakuwa kichaa hhahaa
...😂😂😂😂😂😂 duuuh nilikuwa nadanganywa ..kuwa Tz ni waa nne 😂😂hahaha sorry brother. hakuna kitu kinaitwa world land military. hiyo ni hoax
and for the record tu kwa hapa africa hata top five ya majeshi yenye nguvu hatupo.
wakwanza ni egypt mpaka nafasi ya sita ikishikiliwa na ethiopia.
hata top 10 ya majeshi yenye nguvu africa hatupo
duniani. rate za mpaka mwaka huu wa 2021. hata top 30 hatupo.
wakwanza for now USA, ikifuatiwa na URUSI,CHINA,na hao unao wapondea INDIA Wanashika nafasi ya nne.
nafasi ya tano ikishikiwa na JPN.
check your facts bro. mataifa yamewekaza sana kwenye majeshi yao kuliko unavyodhani
. USA ana advanced weapons ......lakin ......Vietnam war ......alikimbia kama hana akil😂😂😂kwamba majeshi mengine haya hakili. hahahah
you guys are so funny
no disrepect kwa jeshi langu,but we have not been tested outside afrika.
by then hawakuwa advanced kama unavyodai.. USA ana advanced weapons ......lakin ......Vietnam war ......alikimbia kama hana akil[emoji23][emoji23][emoji23]