Report ya Mapigano ya mpaka wa India na China ya 2020

...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh nilikuwa nadanganywa ..kuwa Tz ni waa nne [emoji23][emoji23]
hahah amka man. TZ wanne kwa uwekezaji upi tulionao kwneye defence industry?
lazima tuwekeze sana.
 
Pia cha kuongezeka, lengo la Marekani lilikuwa limetimia yaani kuivuruga Vietnam kiuchumi na ki technology.
Ukisoma history vizuri utagundua kuwa nchi ambayo ilitakiwa kuwa ya kwanza kupeleka mtu mwezini ni Vietnam.
Ni sawa na kusema Marekani ameshindwa vita iraq au Afghanistan, yeye anaenda kwa malengo maalum akitimiza malengo anasepa ila sisi wengine tutamuona ameshindwa
 
Ahaaa kumbe .....Nlijua alishndwa
 

Kwenda zako wewe ni kitu gani? Data zako umetoa wapi
 
Inafurahisha sana vile China inavyojinadi kua na Jeshi kubwa na madhubuti huku ikiangaishana na India...
😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…