Research ndogo kuhusu ndoa Kwa wanaume wengi

Research ndogo kuhusu ndoa Kwa wanaume wengi

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Research ndogo niliyo Fanya, wanaume wengi karibia 99.9% walio ingia kwenye ndoa, wanatamani kutoka , ila kwasababu ya kuwa na watoto inakua kipengele sana kuchomoka kwenye huo mtego.

Kinacho wafanya wasitamani tena ndoa ni Majukumu ya kulea watoto ,mke na familia ya mwanamke, kipato Cha wengi hakidhi matumizi ya kila siku, finally wanaishia kwenye stress na kuongea wenyewe Barabarani

Kiukweli wanaume ndoa zinawatesa kisaikolojia, ni vile walifwata mkumbo wa kuoa au pressure ya wazazi na ndugu.

Summary

Majukumu ni mengi kuliko kipato .
 
kwa mwanaume ndoa inahitaji ukauzu sana, hasa ukioa mke kilaza kutoka familia tegemezi
 
Research ndogo niliyo Fanya, wanaume wengi karibia 99.9% walio ingia kwenye ndoa, wanatamani kutoka , ila kwasababu ya kuwa na watoto inakua kipengele sana kuchomoka kwenye huo mtego.

Kinacho wafanya wasitamani tena ndoa ni Majukumu ya kulea watoto ,mke na familia ya mwanamke, kipato Cha wengi hakidhi matumizi ya kila siku, finally wanaishia kwenye stress na kuongea wenyewe Barabarani

Kiukweli wanaume ndoa zinawatesa kisaikolojia, ni vile walifwata mkumbo wa kuoa au pressure ya wazazi na ndugu.

Summary

Majukumu ni mengi kuliko kipato .
kwamba hawakujua kwamba ndoa ni majukumu
watakuwa vilaza wenzio
Kwa hiyo sasa wanataka kuolewa au
achaga ujinga mazee, mimi nafurahia majukumu ya ndoa na ninataka kuongeza mke
 
Back
Top Bottom