Rest in peace Juve'nal Habriymana 1937-1994 (kumbukumbu zangu)

Ninakumbuka nilikuwa darasa la kwanza,siku hiyo tulikwenda shule tukarudishwa.Ndege ya marais imetunguliwa walikuwa wanatoka Arusha kwenye mkutano wa mapatano.Kweli Kagame ni hatari
 
Alionekana kwenye ka clip anachechemea yaani unakaa madarakani hadi miguu inagoma kwenda!!?hawakujifunza KWA nyerere baba YAO!!?

Hawa jamaa wanatia aibu!!
Juzi Kaguta katembelewa na COVID-19 je ni mwanzo wa mwisho wake? Anything is possible under the Sun. Hakuna atakayeishi milele angalia walivyomsingizia Amin akaishi muda mrefu kuliko hata Nyerere mwenyewe
 
Wanajeshi wake aliowaamini kabisa ndio walimgeuka na ndio walihusika na mauaji ya kimbari kwa asilimia kubwa wakishirikiana na vikundi vya wanamgambo na vikundi vya waasi
Mauaji yake kwa theme yanafanana na ya Waziri Mkuu wa Istael Yitzhak Rabin aliepigwa risasi na Mhafidhina wa Kiyahudi Amir Yigal aliekuwa anapinga maridhiano na Israel ambae nae alipigwa Risasi mwaka huo huo
 
Juzi Kaguta katembelewa na COVID-19 je ni mwanzo wa mwisho wake? Anything is possible under the Sun. Hakuna atakayeishi milele angalia walivyomsingizia Amin akaishi muda mrefu kuliko hata Nyerere mwenyewe
Museveni anaumwa wiki ya pili sasa....amelazwa ila kapata nafuu
 
Mauaji yake kwa theme yanafanana na ya Waziri Mkuu wa Istael Yitzhak Rabin aliepigwa risasi na Mhafidhina wa Kiyahudi Amir Yigal aliekuwa anapinga maridhiano na Israel ambae nae alipigwa Risasi mwaka huo huo
Yeah huo mfano sahii kabisa mkuu
 
Ebu fafanua kidogo mkuu

Maana yangu ni hii ,niionavyo rwanda na Maendeleo iliyonayo kwa Sasa huwezi kumtenganisha nayo huyu Nkole/Kagame.

Na Kwa sasa ni kama vile kuna usawa kati ya Hizo jamii mbili apa Rwanda (Tusi na Hawa majority walioko Burundi/Wahutu), ubaguzi sio mkubwa kama vile ulikuwa kipindi hicho cha Mjomba Wako.
 
Nakumbuka nilikua mkura huko Bariadi aiseh!redio free inatangaza usiku!BBC!!
Some of my close relative,s kwenye ukoo walikua kigali tht day...Then walipokea order tu kijeshi jeshi toka kwa Kanali PF """Kimbieni haraka"""mjomba wenu is no more up here and we dont recognize you as rwandese!!!!!So sad for
 
Juzi Kaguta katembelewa na COVID-19 je ni mwanzo wa mwisho wake? Anything is possible under the Sun. Hakuna atakayeishi milele angalia walivyomsingizia Amin akaishi muda mrefu kuliko hata Nyerere mwenyewe

Hivi kwa hilo kwa nini Burundi haikumshitaki Kagame katika mahakama ya kiuhalifu the hague kwa Kumua Rais wa watu wa Burundi ambae hakuwa na hatia ?
 
Kuna mengi huyajui mkuu ila vile vile sikupingi sababu mimi nimezaliwa Tanzania...na labda kipindi hicho nilikua dogo janja na mahusiano yangu na uncle yalikua ya kifamilia zaidi kuliko siasa......ila ubaguzi upo sema hapo Rwanda mnaogopa kusema ukweli sababu ya serikali ya RPF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…