TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Elimu yetu haiwapi watu kama hao nafasi waka shine,na pia choices za masomo ni chache..otherwise angepewa nafasi ya kusoma kitu ambacho anakipenda na anakimudu angemaliza vizuri tuu..labda angevumbua na mavitu mengine ya Physics... very sad.

yeye ndio angekwenda kutengeneza hiyo mitaala ya field mpya...

sasa mtu chuo hakumaliza halafu mnalaumu wengine kwamba hawakumpa choices za masomo anayopenda ndo maana kafeli... apewe na nani wakati yeye ndio genius mwenye uwezo wa kufukiria mambo makubwa kuliko sisi ?
 
Dharau zake
 
Aisee so you call him genius for A level physics?? Kukariri tu hakuna chochote watakachofanya after hapo ndio maaana hakuna mchango wowowte kwenye either technology or whatever kutoka kwa hao the so called Tanzania one
Mkuu kujua physics ya A level unaona ni kitu kidogo?
 
Ok he was talking about relativity the way I heard it. Inawezekana alisoma mimi sikusoma kipengele hiko bado inabaki kua alikua mkaririji mzuri. I know our education system ni kuzalisha watu wenye uwezo wa kukariri maswali, formulas na definition
Sema we dogo ni mbishi Sana aisee.

Yaani huwezi tu kutoa appreciation kwa kitu hata Kama ni kweli.

Kama ni kukariri mbona watu wengi tu wameshindwa na hawajawa ma T.O

Wewe umesoma advanced physics na ukafanya Necta??ulipata ngapi??

Acha dharau basi dogo.
 
Umeongea vizuri mkuu
 
Yeah wanaishiaga kufundisha tu
Wanaishia kufundisha wapi, ma tuition ya mitaani ?

Wamalize degree zao wakafundishe madarasa rasmi mavyuoni huko waandike ma papers yakasomwe na ma genius wenzao ulimwenguni huko ndo tutawakubali...
 
Ntaacha sifa mkuu

Ni huyo mjinga alinikera tu Ani

Asante kwa ushauri [emoji16]
 

Kwa kweli umemuenzi huyu ndugu kwa vitendo, angeona haya amgeshukuru!!!

Mungu ashughulike naye sawa sawa na yeye alivyoshugulika na Mungu katika uhai wake!

Pole sana!
 
Kopite nawe acha sifa. Kwani kakuuliza umetoka kufanya nini?

We know you are a doctor na now unasomea specialization.
Ntaacha sifa mkuu


Ni huyo mjinga alinikera tu Ani

Asante kwa ushauri [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…