Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
- Thread starter
-
- #201
Safi Sana hata mimi nlkua na A Ila sio ya tisin na .. aiseePole sana
Mwaka 2005 kidogo niivunje hiyo record ya mwamba physics naijua bahati mbaya ni mezaliwa bara la giza
Mwaka gani hiyo.?Safi Sana hata mimi nlkua na A Ila sio ya tisin na .. aisee
Inasikitisha sana mkuu.
Kihombo na ma akili yake yoteKwa kweli umemuenzi huyu ndugu kwa vitendo, angeona haya amgeshukuru!!!
Mungu ashughulike naye sawa sawa na yeye alivyoshugulika na Mungu katika uhai wake!
Pole sana!
Aisee haya maisha wakati mwingine inasikitisha ni kama mshumaa unawaka unazimaKihombo na ma akili yake yote
Alkua different Sana from watu walikua na uwezo Kama wewe , you know watu wengi Kama yeye hubadlika kuwa atheist Ila kihombo noo
One day tulkua tunaongelea Jinsi quantum physics itakavyotumika mbinguni , time dilations etc...
He was saying God was the father of quantum physics
dah.....umenipa attention kidogo hapa bro, vunjavunja kidogo, hata tuenjoy uwepo wake wa faidaKihombo na ma akili yake yote
Alkua different Sana from watu walikua na uwezo Kama wewe , you know watu wengi Kama yeye hubadlika kuwa atheist Ila kihombo noo
One day tulkua tunaongelea Jinsi quantum physics itakavyotumika mbinguni , time dilations etc...
He was saying God was the father of qu
Nimekuuliza kutokana na mchango wako uliochangiaThat's non of your concern and don't Address me as like you know me or you know my birth certificate.
Douche
Kopite nawe acha sifa. Kwani kakuuliza umetoka kufanya nini?
We know you are a doctor na now unasomea specialization.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ntaacha sifa mkuu
Ni huyo mjinga alinikera tu Ani
Asante kwa ushauri [emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16]Jana alinitia hasira hako kajamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi wa huzuni ila mlishaanza kunichekesha
Huyu Charwe anaonekana alikuwa mtu na nusu kuliko Mkangwa eeh.Dah jamaa kafariki.
nilikua form three, matokeo yalipotangazwa. mkuu wa shule Charwe akatangaza tule wali ata kama haikua siku ya wali.
RIP bro
Hii rekodi ni hatari sanaNdio ni vigumu kufikiwa
Jamaa alipata 98%
Ya physics
97% chem
99% math
98% Gs
Sa kuna TO anaweza kufikia hapo
Huyo jamaa hana akili, na inaonyesha ubishi ni asili yake, na ana wivu sanaKanikera Sana
Time travelingAmefariki lini? Kama nilishasoma habari hii miezi ya nyuma!