TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Ndio alipata PhD akiwa mdogo Kuna kipindi nilikuwa namuona udsm
 
Wana calculate hata first semister na mwaka ukiisha gpa inawekwa kabisa then kwenye cheti ndio wanaweka overall GPA, Mimi sijapata cheti Ila nikiingia kwenye ARIS yangu nakuta matokeo na GPA yake ingawa sijapata cheti

I am delighted to see you have quoted my comment, NVM, Akili yangu tokea nikiwa O level i have been dreaming to get good grades. I just got Div 2 in O level and Div 1.9 in A level NECTA exams..! PCB...! Nilitakaga kupata Kijiti cha heshima ila ubongo wangu ukawa umenisaliti [emoji3064] daah hizi akili bhana. Nikisikia mtu alipata kijiti cha Point tatu nawaangaliaga mara mbili nikijaribu kuwaza tu How smart these people are ?? Physics A daah [emoji23][emoji23]
 
Nilimkuta library siku moja, yupo chemba aisee ...jamaa nafkiri hachoki kusoma. Wakati mimi natizama movie ya pili yeye bado anakula kitabu hahahaaaa.
 
Mbona umejitahidi kwa hzo grades vizuri tu, ujue sio lazima tufanane kufaulu, pia duniani ya sasa ili uwe recognized ni wewe kufanya ubunifu na kugusa watu wengi. Mimi nimeridhika na grades zangu nilizopata na maisha yanaenda in our class mwaka wetu Kuna dada aliingia top ten ya kitaifa kwa ufaulu na yeye alikosa A ya somo ambalo Mimi ndio nilipata shule nzima, yupogo tu na maisha yake ya kawaida
 
usisahau kunitag
 

Absolutely correct, dunia inahitaji watu smart wanaokuja na inventions ambazo zinauwezo wa kuboresha maisha ya watu kiujumla. Tatizo jingine ambalo limefichwa sana na Watu tuwaitao Academicians hawa Phd and profs .. Research findings zao tangu waanze kupublish papers sijaona hata zikitumika kuboresha Maisha ya Watanzania kiujumla.
Hata Elias Kiombo huenda alikutana na watu ambao wanahangaika na projects ambazo hazina manufaa kwa jamii yetu walipomuona Jamaa na uwezo wake huenda walikuwa amazed na wenye husda wakamuona hawafai maana jamaa wangemtumia vyema huenda tungefanya au angekuwa na manufaa kwa Jamii yetu ukiachana na ishu zake za kuoiga mapindi mchikichini.
Ila hongera sana Mkuu, Ulipigia Tabora girls au Msalato.! I don’t trust my hunches though
 
Too sad,it is difficult to follow your passion in Tanzania.
How is it difficult to follow your passion in Tanzania?

Amesoma PCM, the one and only combination from which you can advance and study anything in college as long as you passed the missing subject in O Level, this according to UDSM admission prospectus.

Ame apply Engeneering mara mbili, kapata, Sasa Tanzania imemnyima nini?

Hapendi vipi Engeneering wakati ame apply mwenyewe mara mbili ????

Eti ana passion ya kufundisha lakini hakutaka kusoma ili awe mwalimu. He academic choices were a mess.

Mwamba wa Physics, tena mwenye passion ya Modern Physics, anafeli vipi Electronic / IT / Communication Engineering? Halafu tunataka kuilaumu Tanzania. Mbona nerds wengine hawafeli chuo?

The guy was unfocused and reckless.
 
Duh Mungu ampatie pumziko la milele huyu jamaa Mungu alikuwa amempatia kipaji cha kujua physics na mathematics pamoja na chemistry alinifundisha oswald Mang'ombe
 
Kufeli kwake hapa naona kumesababishwa na mazingira zaidi. Alikuwa hasomi,muda mwingi anatumia kufundisha tuition,angefaulu vipi ?
Huko kuomba Engneering mara mbili itakuwa wazazi au jamii iliyomzunguka ndo ilimforce,influence akasome Engneering ila yeye moyoni mwake passion yake ilikuwa kufundisha kuandika vitabu.
Yes Tanzania most of students wanasoma vitu kwa sababu kuna mkopo,au ndugu,jamii wamemwambia hiyo cozi ndo ina kazi ,mshahara mkubwa ukimaliza. Wengi hawana furaha na vitu wanasoma.
Ili uwe na furaha kwa kile unafanya. Fanya unachokipenda na utaona kila siku inapita haraka sana.
Na utakuwa na motivation kila siku. Hakuna kitu kizuri hapa duniani kama kuparsue career unayoipenda kutoka moyoni. Siyo kwa kuforciwa sababu ya mkopo au ndo kazi zinakopatikana.
 
Factors my foot. Mbona wengine wanamaliza ?

Kuna mambo hakuyaewa na mengine aliyasahau kila alipoingia chumba cha mtihani chuo. We he really an egghead after all?
Yes factors. Kama darasani alikuwa haingii,anaprefer kwenda kufundisha tuition, hapa anafaulu vipi ?Field anakwenda siku moja kati ya siku 40.Huyo kweli alikuwa na passion na Engneering ?
 
Ndoto nyingi za maskini haziko huru kaka,me nilipenda sana kuwa RUBANI nilifanya kila niliwezalo ili nifikie huko,nilivyofika A-level maajabu ndo yakaanziaga hapo.
 
NAMBA ZINAONGEA,
kakague matokeo yake ya form 6, inasemekana kiwango chake chake cha ufaulu bado hakijafikiwa.
kingine jamaa kaandika vitabu vya physics . na kama unavyojua physics kitabu topic moja ni sawa history mwaka mzima, hiyo ndo impact kubwa aliyoifanya ukilinganisha na umrin wake naamini ni under 40.
Sasa kama socrate, eistein, plank, newton na wengine wengi
kuelezea impact yake kwamba ni the first na most biggest ever in this republic kwa impact done by any
m
Nimekwambia best sababu ni yeye peke yake aliwahi kuwa
TO 2004 O level
TO 2007 A level
Best student UDSM 2010
Nenda you tube utamkuta mahojiano yake na waandishi tofauti tofauti wa habari
tazamo wangu ni kuwa IQ, ya MR kihombo is unique, kwa fact mbili
masomo aliyochukua, vitabu alivyo andika na aina ya masomo aliyoandikia vitabu,
tatu vision zake, strategy zake na impact yake kwa jamii.
na hilo linajieleza hapa angalia idadi y awatu wanaokwambia wamesaidiwa na huyu mwamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…