Nimekusoma kamanda..umenena hekima nzuri.Akiba,hujui mtu anapitia madhila gani,ukimsema vibaya unaweza kumuondolea hope hata kama alikua nayo kidogo...sina umbea wowote mkuu 🤣 😉
I know ImhotepThomas Aquinas namu Appreciate kwenye Philosophy tu. Katika orodha yangu ya watu genius kuwahi kutokea duniani nao wakubali namba moja ni mwafrika..
Anaitwa Imhotep, inaweza kua wanafahamu kama humfahamu hebu tafuta michango yake kwenye physics,medicine, Astronomy, Mathematics, Engineering and so and so..
Bado nakataa maana mifumo yetu ya elimu inajenga watu wenye kukariri tu. Ndio maana mtu yuko tayari akeshe anasovu past papers ili kukariri maswali asifeli
KAMA HUMJUI HEBU NYAMAZA, usikute ulikula HKL haya mambo mazito kwako hata kukwambia huwezi elewaMtanzania mwenye akili zaidi au mtanzania mwenye uwezo mkubwa wa kukariri?
Tanzania ina watu wawili tu wenye akili zaidi.
Anyway RIP, Rest in Eternity. May The Holy Mary, Mother of mercy be with you
- Nyerere
- Tuntemeke Sanga
ila ukiambiwa kuwa trump na ndugu zake wako gifted unakubali? kuna miTanzania ni funza kabisa, kama wwKama huyo alikua genius sijui Mozart alikua nani...[emoji849][emoji849]
We know Mozart , 1782 alioa mtu ambaye baba ake almkataa and he was damn poor matatizo ya kutunza pesa yalkua yanamkabliLabda hawamjaui hata Mozart mwenyewe
Achana nawazee wa Ngoni migration, wanaomfahamu mwamba watakiri amepotezwa jembe kwenye ulimwengu wa physics Tanzania. Naamini kam mifumo ingekuwa rafiki jamaa angefanya mengi, ingawa najua kwamba mwamba aliandika vitabu.I know Imhotep
Using'gan'ganie jamaa alkua ana kariri and you don't know him
Kanikera Sanaila ukiambiwa kuwa trump na ndugu zake wako gifted unakubali...??? kuna miTanzania ni funza kabisa... kama ww
Martin Chegere alipata 99.99Physics alikuwa ana 99
Hata Kama hakuna mchango wowote Katika tech haimaanishi hakuwA giftedAisee so you call him genius for A level physics?? Kukariri tu hakuna chochote watakachofanya after hapo ndio maaana hakuna mchango wowowte kwenye either technology or whatever kutoka kwa hao the so called Tanzania one
Yes our education is useless upo.sahihi kabisa sikupingi.Baba Swalehe.
I don't mock the guy, why should I do that?
Just for scoring As on his exams? Hell No. I didn't think about it either.
My piont is pinned to the fact that, Our education system is Useless..it doesn't produce skilled Nor competent graduates. Students they just studying for avoiding failure. They do everything do that they can score As
KabisaaaElimu yetu haiwapi watu kama hao nafasi waka shine,na pia choices za masomo ni chache..otherwise angepewa nafasi ya kusoma kitu ambacho anakipenda na anakimudu angemaliza vizuri tuu..labda angevumbua na mavitu mengine ya Physics... very sad.
Umesema uskute Mozart hawamjui this world Ina recognizable na non recognizable geniusesJeez why should I play like I'm the only one who knows Mozart?? Dude it's written on Chipboard anybody can Access the information
Ikawaje Aka disco au ndo dhurumaOfcoz hata mm hpa kwenye issue ya alternatives ndo nilikuwa nikimkubali...
Yeah wanaishiaga kufundisha tu wengine kukariri..Aisee so you call him genius for A level physics?? Kukariri tu hakuna chochote watakachofanya after hapo ndio maaana hakuna mchango wowowte kwenye either technology or whatever kutoka kwa hao the so called Tanzania one
nakumbuka siku moja tupo tunasubiria pindi la mwamba enz hizo , tunaungana watoto wa tabora boys kuja kwa mwamba,Ndio mwenyewe. Mwenye kofia. Always alikua anapenda vaa kofia.
Haimaanishi ma genius hawakuzaliwa Tena baada ya MozartKama huyo alikua genius sijui Mozart alikua nani...[emoji849][emoji849]