TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Ndio unakalili sasa kaitendea nn physics kama alikua anaijua vizuri yani kaleta nn kipya kama sio kukalili
 
Haya sawa

Mani naona unapenda league ... And I don't give a shit about it

Natype hii habari nmetoka operation room kufanya Minimally invasive endonasal endoscopic surgery

Hafu aah okay sawa usiku mwema
Kopite nawe acha sifa. Kwani kakuuliza umetoka kufanya nini?

We know you are a doctor na now unasomea specialization.
 
Sekretari pale Tosa? Maana O level alimaliza Tosa pia
 
Mara ya kwanza na ya mwisho kumuona ilikuwa 2018 Tosamaganga shule.Ajabu baadhi ya wanafunzi walianza kunisingizia kwamba mi ndio T.O.Nadhani walijudge kitabu kwa kuangalia cover.
 
RIP Elias....Lakini hapa pa ' waliomzidi akili ini Mungu na Mzungu tu'...nadhani alikuwa amepotoka kidogo. Na waliokuwa Wakimfundisha?[emoji848][emoji848]
 
Kitabu chako nani anunue?
 
Sasa kwaiyo unataka uwe kiombo na wewe au?
 
Ok he was talking about relativity the way I heard it. Inawezekana alisoma mimi sikusoma kipengele hiko bado inabaki kua alikua mkaririji mzuri. I know our education system ni kuzalisha watu wenye uwezo wa kukariri maswali, formulas na definition
Acha wivu,wewe mbona ulishindwa kukariri ukawa T.O
 
Mimi pia nimefanya field TPDC na nimeenda wiki moja tu,TPDC people they are selfish you go there you get nothing in terms of knowledge or money kwendraaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…