Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi yangu mimi huwa siyo muumini wa kuandika jina la Mtoto katika Mali zanguna wanaume tuhakikishe yanaandikwa majina yetu akinamama wanaponunia ardhi na mali myinginezo...au ndio "changu-chetu, chako-chako mwenyewe"...
Ni vyema akapambana ianzishwe sheria kila mali inayotafutwa mkiwa kwenye ndoa badi iandikwe majina ya watoto na mkiachana mali ibaki chini ya mahakama mpaka watoto wafikishe miaka 25.... kama mmeachana hamna watoto basi kila mtu achukue kile alichochuma kwa jacho lake....
Kuwe na mikataba kabla ya ndoa inayosema nani amekuja na nini kwenye ndoa, nani anafanya kazi gani, kila kipato cha mtu kiwe wazi...ili mwisho wa siku kila mtu abaki na chake...na ndoa iwe ni sehemu ya kuburudishana tu na kutafuta watoto.....
Mkuu cc.Evelyn salt vp tena 🤣🤣Ni mwendo wa kimya kimya tu no way out
Hapo kwenye kuishi nao kwa akili ndio pa muhimu sana...Ukweli ni kwamba, baada ya safari ngumu ya kutafuta na kulea watoto wakafikia utu uzima, siku za mwanaume huwa zinaanza kuhesabika.
Ndio maana wazee wa zamani ilikuwa mtoto wa kwanza, hasa wa kiume akielekea au akioa. Nae anaoa mke wa pili. Na kuhamishia kila kitu kwa mke mdogo.
Kwa sababu, wanawake wanajuana. Ndo maana wazungu wanakamsemo kao "it takes a monster to fight a monster". Mkubwa akitaka kukutoa relini, mdogo anajibu mapigo.
Siku chache zilizopita kuna jirani yetu kafariki kwa ukweli uliowazi. Akauawa na mkewe.
Tuishi nao kwa akili.
Naye Mbunge viti maalum Mhe. Sophia Mwakagenda akitoa taarifa bungeni ameungana na hoja iliyowasilishwa na Mhe. Restituta.
How kama mali hiyo si joint effort baina ya wanandoa.
Hii ni obvious mmoja wa wanandoa akinunua kitu mwenzake kuandikishwa siyo dhambiNa wao wakinunua ardhi watuandike majina yetu,au wao wakinunua ni ya kwao peke yao......?
inasaidia kutunza mali endapo utaondoka ghafla kabla yaoBinafsi yangu mimi huwa siyo muumini wa kuandika jina la Mtoto katika Mali zangu
Mtoto anastahili Malezi bora kutoka kwa wazazi lakini siyo kuandikana katika mali ili iweje kwanza.?
Wanaume tumeumbwa matesoo mkuu
Mimi nilipewa taarifa tu zimenunuliwa ekari 20, sijawahi hata kupelekwa kushuhudia.......hii ndo inaitwa changu changu, chako chetu....Na wao wakinunua ardhi watuandike majina yetu,au wao wakinunua ni ya kwao peke yao......?
Mkuu ni bora sheria ya mirathi itamke hivyo, vinginevyo wanawake huwa wanapambana na joto ya jiwe kutoka kwenye familia za wanaume.Nafikiri huyu Restituta anaongelea kina mama wanaokwapua waume za wau aka Nyumba ndogo, ni kweli hili wahakikishe hivyo.
Ila kwa Nyumba kubwa by defalt mali za baba / Mama zote kwa ujumla ni mali za familia - yeyote akitangulia anayebakia basi mali zote zinakuwa chini yake akisaidiana na watoto, sasa anaweza kuandika jina la mke ama la mtoto kama hobby tu lakini si lazima eti kwa kigezo cha kudhurumiana..
100%Ukimshirikisha utakuwa fala asee, achana na hiyo kitu mali ni za watoto
Ahsante, na hii inatukuta wanaume wengi sana sema hatufahamu ila wana siri kubwa sana mioyoni mwaoPole mkuu hawa viumbe wao ndio wabinafs wakubwa mamb yao hua wanafanya kimya kimya
Mzee ni mwendo wa usir na mfumo dume ndo utawaweza ukijidai una activate biashara ya Beijing home kwako, utakula upende wako mkuu 🤣🤣Ahsante, na hii inatukuta wanaume wengi sana sema hatufahamu ila wana siri kubwa sana mioyoni mwao
Hapo hata mimi sijaelewa, ananunua akiwa amefariki!!????Mwingine ananunua akiwa amefariki bahati mbaya, unashangaa [emoji847][emoji2960]
Si ndo wauaji wenyewe!Hivi kwanini kwenye Ndoa WANAWAKE akili zao sikU zote wanawazaga Mwanaume tu ndie atakae tangulia Kufa[emoji848]
Siyo kwamba wanatuua!?Leo nilikuwa nafanya research ndogo ya maeneo niliokulia,wababa karibia wote wameshakufa ila wake zao wote wapo hai,hapa nimeangalia familia zaidi ya 20 za majirani zetu,nadhani wanalijua hili kuwa sisi tunatangulia kufa zaidi kuliko wao,ndio maana wanapambana sana inapokuja swala la mali...
Watoto wenyewe ni mali ya mama! Hawa watu hatuwezi kuwakwepa.Ukimshirikisha utakuwa fala asee, achana na hiyo kitu mali ni za watoto