Restituta Mbogo: Wakina Mama hakikisheni Wanaume wanaandika majina yenu pindi wanaponunua ardhi

Je, wa kina mama wakinunua nao watuandikishe majina kina baba?!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Binafsi yangu mimi huwa siyo muumini wa kuandika jina la Mtoto katika Mali zangu
Mtoto anastahili Malezi bora kutoka kwa wazazi lakini siyo kuandikana katika mali ili iweje kwanza.?
 
Hapo kwenye kuishi nao kwa akili ndio pa muhimu sana...
 
Nafikiri huyu Restituta anaongelea kina mama wanaokwapua waume za wau aka Nyumba ndogo, ni kweli hili wahakikishe hivyo.

Ila kwa Nyumba kubwa by defalt mali za baba / Mama zote kwa ujumla ni mali za familia - yeyote akitangulia anayebakia basi mali zote zinakuwa chini yake akisaidiana na watoto, sasa anaweza kuandika jina la mke ama la mtoto kama hobby tu lakini si lazima eti kwa kigezo cha kudhurumiana..
 
Na wao wakinunua ardhi watuandike majina yetu,au wao wakinunua ni ya kwao peke yao......?
Hii ni obvious mmoja wa wanandoa akinunua kitu mwenzake kuandikishwa siyo dhambi
 
Binafsi yangu mimi huwa siyo muumini wa kuandika jina la Mtoto katika Mali zangu
Mtoto anastahili Malezi bora kutoka kwa wazazi lakini siyo kuandikana katika mali ili iweje kwanza.?
inasaidia kutunza mali endapo utaondoka ghafla kabla yao
inaweza kuwasogeza katika maisha kama ukiondoka wakiwa hawajafikia kujitegemea
 
Kwani tatizo ni nini, alete kalamu aandikwe hapo pembeni, mambo mengi muda mchache...
 
Mkuu ni bora sheria ya mirathi itamke hivyo, vinginevyo wanawake huwa wanapambana na joto ya jiwe kutoka kwenye familia za wanaume.
 
Ahsante, na hii inatukuta wanaume wengi sana sema hatufahamu ila wana siri kubwa sana mioyoni mwao
Mzee ni mwendo wa usir na mfumo dume ndo utawaweza ukijidai una activate biashara ya Beijing home kwako, utakula upende wako mkuu 🤣🤣
 
Siyo kwamba wanatuua!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…