Restuta Bura aingia mpambano mkali kugombea mali za baba mtoto wake huku mume wake wa ndoa akiwa kimya

Kweli ni kama vile huwa anaonesha kwamba nae ameolewa, akili za baadhi wanawake sometimes wanazijua wenyewe.
 
Hivi ni mtu wa starehe ghali?
Analalaga kwenye mahotel ya kifahari, Ibiza, zenji, South Africa, mbugan huko serengeti, ngorongoro, hiyo ni kuanzia January to December yaan ni bampa to bampa, kata mti panda mti..hajawahi kulala ndani kwake, sijui kuna nini humo ndani
Halooo Bata lake si la kitoto, na mda wote kalewa kaglass mkononi hakabanduki[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
 
Hahaaa aki tena...
Aachie Mali ya watu kashaitumia vya kutosha imemuwezesha mpaka kuoa na magari anayo..
Utalipwaje fidia wakati kilikufaidia?
Kwanza uliambiwa tu ulinde eneo sio uliendeleze kuligeuza lako
Harrier nyeupe ana gari lingine??
 
Yaan Resty anakula bata mno mweeeh.
 
Kwani huyo mume alifungwa kwa kosa gani?
 

Kwa mwanaume mwenye kujielewa sio wazazi tuu hawaachani, hata exboyfriend au rafiki wa shule au wa utotoni haachwi na mke๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Mimi mume wa rest simwezi amepoa mnooooooo raha ya mume awe na wivu alafu awe mkalimkali kimtindo, ila asinipige tuu
 
Huyo chalii namfaham kwa kiasi chake,ni mtu poa na hana majivuno na ni mwelewa sana..
Huyo mke wake ni mjuaji sana aambiliki wala hashauriki so hana budi kua mpole

Pole yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ