Restuta Bura aingia mpambano mkali kugombea mali za baba mtoto wake huku mume wake wa ndoa akiwa kimya

Mbona Kama kazubaa halafu anachezeshwa mayenu na Resty na yeye anafuata tu..Yuko sawa kweli?

Yupo sawa, ni mtu mmoja mstaarabu sana hana makuu. Tatizo ni ulimwengu wanaoishi lakini katika maisha ya uhalisia hayupo hivyo kama wanavyomtuhumu na watu wanavyomdhalilisha.
 
Mambo ya ndoa huwa ni magumu sana ,ukishaingia ndio madudu huwa yanaanza.Sasa katika hali kama hiyo huyo Mume wa sasa inawezekana huko nyumbani anamwambia mkewe aachane na hayo mambo mke anagoma,na ukijaribu sana kutumia nguvu unaona jinsi nyumba inavyovurugika kwa kukosa amani,na saa nyingine unogopa isifike mbali watu kujua kuwa nyumba yako haitawaliki,maisha ya aina hii ndio unaweza kukuta unaanza kudevelope pressure,visukari n.k, kwani maisha yamekuwa beyond expectation...
 
Yupo sawa, ni mtu mmoja mstaarabu sana hana makuu. Tatizo ni ulimwengu wanaoishi lakini katika maisha ya uhalisia hayupo hivyo kama wanavyomtuhumu na watu wanavyomdhalilisha.
Sawa Kama unajua kiukaribu...Mimi naonaga mashikoro tu huko mtaandaoni
 
Dah,Ila kweli...Maana Resty Kama unga wa ngano
 
Mitandaoni mtu anaweza kudhalilishwa, kutukanwa lolote lile. Kuna watu wanakashifu sana watu, lakini tusisahau kuwa hatujawapa sisi uhai.
Simaanishi watu wanavyomchukulia,namaamisha Maisha ninayoyaona mke wake akiyaweka mtaandaoni baina Yao.
 

Hivi unawezaje kuishi bila furaha wala amani ili tuu uwaridhishe walimwengu!?
Akili zingine heri zikaage hukohuko kwakweli
 
Starehe zote hizo kwa bar na duka tu?
Si amove on,hela ya starehe anayo ila ya kuhama eneo jipya hana anasubiri adhalilishwe
Wanawake sisi[emoji16][emoji16]
 
Hivi unawezaje kuishi bila furaha wala amani ili tuu uwaridhishe walimwengu!?
Akili zingine heri zikaage hukohuko kwakweli
Sijawahi kuelewa watu wanao fake maisha kisa kuwaridhisha walimwengu, wengine hulka hiyo hatujajaliwa mweeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani mwanaume ajiingize naye kugombea jasho la mwanaume mwezake itakuwa jau sana,cha muhimu huyo mwanaume amtafutie mke wake eneo lingine waendelee na mambo yao.
Ila wakati mwingine hizo ndo changamoto za kuoa single mothers
 
Huyo Dada kwanini alibweteka kwenye eneo anajua kabisa kihalali sio lake?
Miaka yote hiyo si angekuwa na eneo ama viwanja akajenga mahali kwingine akahamamia?
Nafikiri kuna terms walikubaliana mwanzoni na huyo baba mtoto wake ambazo aliona hazitakuja kumbana au kumsumbua baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…