THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Mbona Kama kazubaa halafu anachezeshwa mayenu na Resty na yeye anafuata tu..Yuko sawa kweli?
Yupo sawa, ni mtu mmoja mstaarabu sana hana makuu. Tatizo ni ulimwengu wanaoishi lakini katika maisha ya uhalisia hayupo hivyo kama wanavyomtuhumu na watu wanavyomdhalilisha.