hatarMmmh amu jamani mi hata akose nguvu za kiume lkn awe na hela ntamheshimu hivo hivo tu, ntavumilia
Asie na hela unahisi unapakwa shombo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732] ( natania jamani)[emoji125][emoji125][emoji125]
haha aisee kipigo hutaki wataka koromewaKwa mwanaume mwenye kujielewa sio wazazi tuu hawaachani, hata exboyfriend au rafiki wa shule au wa utotoni haachwi na mke[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi mume wa rest simwezi amepoa mnooooooo raha ya mume awe na wivu alafu awe mkalimkali kimtindo, ila asinipige tuu
Plus alihis jamaa hatotoka jela...uhujumi uchumi kesi sio ya kitoto...but see now..jamaa kalipa fine he is out[emoji1]..ni suprise kwa bibieNafikiri kuna terms walikubaliana mwanzoni na huyo baba mtoto wake ambazo aliona hazitakuja kumbana au kumsumbua baadae
Ndio jamaa amesema hapo unajuaje ameshauriwa lkn dem kin'gan'ganizi si inabid amuache apambaneUngekua wewe ndio mume halafu mke analazimisha mambo ya aibu hivyo ungefanyaje[emoji52]
Yule ni mwanasheria wa mikataba ya kimataifa,anaingiza pesa nyingi sana ndio mana mda wote yuko busy na mkewe...xmas nlikutana nao arusha daah live huyo dada hapana,utafikiria mtoto wa nyatiRest yuko na yule kaka sasa ila sijui kesho
Mbaya zaidi Rest anamtumia yule kaka kuonyesha watu kwamba ameolewa na ana mume na watu wanaoonyeshwa wanamwona Rest mlezi wa wana na mume hatoshi kwenye viatu vyake
Mimi naamini mwanaume yoyote anayejua nafasi yake ana uwezo wa kum manage mwanake yoyote aliyemchagua kwa kuona kwamba anamtosha.
Mwanaume kamili hawezi kuwa na mwanamke ambaye hawezi kumsupport kwa upendo au hisia wala kwa kumtunza. Kutunza na kuwapa security wake wao ndio pride ya wanaume na ndivyo ilivyoumbwa
Hiyo miaka amekaa hapo angekua analipa kodi asingeweza,cz hilo eneo tu kwa mbezi ya chini kodi ndogo kwa mwezi 3m na kuendelea...kuna rafiki yangu alikua anunue hapo nov 2021 sema bei ikawa kubwaHuu ugomvi si wa kuingilia mume wa Rest atafedheheka. Kama asingekuwa Mario toka mwanzo asingeruhusu mke kuanzisha biashara kwenye eneo ambalo si mali yake.
Kwa sasa anachoweza kufanya ni kumshauri kisheria afanye nini ili afidiwe mali zinazodaiwa kuharibiwa then rest na baby daddy wake waingie kwenye makubaliano ya kulimaliza swala kidiplomasia. Ni swala la kuomba ruhusa ya kulitumia eneo wakati anatafuta eneo lingine.
Hao bado wanapendana na ndio maana kuna vita. Sio kila vita ni vita halisi zingine ni mahaba
Hajawahi kumuoa alizaa nae na ameenda jela akiwa na mke msupu...jamaa noti anazo plus maliResty atakuwa alijua mume wake angeishia jela milele ndio maana akawa huru kujiachia na kweka.Resty hata kama alikuwa anatoka na mtu mume akiwa jela alitakiwa afanye kwa siri mno na ukizingatia ana watoto.Naona jamaa katoka jela na hasira kama zote.
Pale maji mara moja maharage yameiva,nlikutana na hicho kikosi chao wote wanyama wakaliWeeeee [emoji848][emoji848][emoji848]
Ila dada anapenda starehe yule mmmh
Ni mpigaji kma papa msofe au ndama mtoto wa ngombeKwani huyo mume alifungwa kwa kosa gani?
Kwahiyo marioo wote dar wamepata mwanasheria wa kuwasaidia,wakifukuzwa na waume zaoYule mwansheria ni Mario hana msaada kwa resty
Ooohhh kumbe!!!Ni mpigaji kma papa msofe au ndama mtoto wa ngombe
Amekuja kumaliza kaziResty atakuwa alijua mume wake angeishia jela milele ndio maana akawa huru kujiachia na kweka.Resty hata kama alikuwa anatoka na mtu mume akiwa jela alitakiwa afanye kwa siri mno na ukizingatia ana watoto.Naona jamaa katoka jela na hasira kama zote.
ππππππ mwanasheria wa mchongoYule ni mwanasheria wa mikataba ya kimataifa,anaingiza pesa nyingi sana ndio mana mda wote yuko busy na mkewe...xmas nlikutana nao arusha daah live huyo dada hapana,utafikiria mtoto wa nyati
A move on kwani hela ni zake sasa? Huko alipokuwa anazichota ndio mirija ishakata sasaπ zile milion 10/10 za wasafi kwa mwaka tu zinawapeleka dubai na chenchi inabakia.Starehe zote hizo kwa bar na duka tu?
Si amove on,hela ya starehe anayo ila ya kuhama eneo jipya hana anasubiri adhalilishwe
Wanawake sisi[emoji16][emoji16]
Mwamba umetoka rumande?karibu mjengoni,hakika nilikukosaAmekuja kumaliza kazi
The Return of ExπΊπΉπΉπ€‘π€‘...bonge moja la horror movie πAmekuja kumaliza kazi