Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Weweee..tumepishana Sana Tena mnooo...form one na std4..wapi na wapi😂Hahahaha sema hatujapishana sana, nilikua kama standard 4 hv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weweee..tumepishana Sana Tena mnooo...form one na std4..wapi na wapi😂Hahahaha sema hatujapishana sana, nilikua kama standard 4 hv
@amu my sis nimekumiss. Mbona ulipotea hapa JFNimeandika nimefuta nimeandika nimefuta.
Ngoja ninyamaze tu ila msipende kutamani sana vya watu msiowajua.
Imagine mwanaume kama huyo kwenye vikao vya familia kama anaweza kusikilizwa.Ila huyu kweka anazalilisha wachaga kawa ka lijinga kupigwa pigwa mapicha hovyo na kufatana na testy nyuma ka mkia wa mbwa. Dah Mimi naona ha act ka mwanaume resty mwenyewe hu behave ka hamnazo na alihitaji mwanaume timamu wa kumshape aisee
Ila ndio lifestyle walioamua kuishiImagine mwanaume kama huyo kwenye vikao vya familia kama anaweza kusikilizwa.
Janaume kila mda lipo Instagram linacheka cheka linacheza cheza linabusiwa busiwa.
Fikiria janaume kama hilo labda limetokea tatizo kubwa lenyewe ndo linatakiwa lisimame kama kichwa cha familia.
Wash [emoji383]Anafua nguo sasa kwenye nguo weka hela halafu baada ya hela weka Kiingereza cha kufua.
Ni nani huyu nilipitwaSophia house msimsahau.
Yaani huyu alitunyooshaga sana jamani sisi tunakomaa na monocotyledon na kingdom plantae mwenzetu analetwa na kiescudo akifika getini dereva anashuka anakaa kwenye usukani ili mradi tu aonekane anajua kudrive [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kmmmk wanawake mnaponda 😂😂😂 hivi yule jamaa kumbe kweli mbeba pochi eeh...Ana cheka cheka tu.
Mwanaume asiyekuwa na hela sijui yukojr anakosa confidence yaania automatic analegea kama bamia la juzi.
Mr"advocate anakata maunoo balaaa [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Mmh Basi wacha aendelee na wadhifa wa kubeba pochi. Ila siku akipata uwakili insta patachafuka. Nilikua nashangaa kweli wakili mzima anapata muda throughout the year kuzunguka na Mama la mama!
Na kuuza nnyaa...Ila vijana wa kichaga tumekuaje? Tofaut na zamani tuliheshimika kutafuta pesa Leo hii tunaishia kubeba mapochi
Heee nimetoka kutamka na hiyo now[emoji16][emoji16][emoji16][emoji134]Na kupumuliwa!
Mxxxxxxiiiiieee
Hahahah nimecheka kinoma yani...ila ujue nini, ukiwa huna hela lazma uwe romantic tu amna namna 😂😂😂!Yaniiiii hana juu wala chini, mbele na nyuma usiseme
Resty mfanyabiashara sawa.
Na yeye hana schedules.
Mana wakili gani ukimgoogle unakutana na picha za leo saadan, kesho kubeba pochi, keshokitwa anatikisa moet , mwakani anachekelea pumbu za swala.
Weeeeh basi watuhumiwa wake wanafungwa kila siku.
Mana ana vacation 18 kwa mwaka, case reviews anafanya saa ngapi?
Mwanaume akikosa hela anakuwa ana smile mda wote coz si hatoki jashoAna cheka cheka tu.
Mwanaume asiyekuwa na hela sijui yukojr anakosa confidence yaania automatic analegea kama bamia la juzi.
Ina maana wanafunguliwa stopper?Na kuuza nnyaa...
Ila jamaa si ana biashara ya Fumigation na ni wakili wa kujitegemea. Anakosaje hela bana na anamfungulia wife miradiMwanaume akikosa hela anakuwa ana smile mda wote coz si hatoki jasho
Yule alikuwa funika bovuuAlikuwepo Shamim Mwacha, dada wa kibubu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]kwa kikabila chao au?Ooooooh!!!Sawa.
Jamaa akiona hili anaweza kulia walahi😂😂😂Mnakuwa na wanaume loosers.
Mwanaume unakubali kusimamia bar ya mwanaume mwenzako.
Haki mimi ningekuwa mama wa yule Kweka ningepiga ukunga mmoja wa kichaga mpaka akili ingemkaa sawa.
Jamaa ni romantiki bana ndio maana anazunguka na mama, si mnasemaga mnapendaga mpewe time nyie 😂😂😂!Ila huyu kweka anazalilisha wachaga kawa ka lijinga kupigwa pigwa mapicha hovyo na kufatana na testy nyuma ka mkia wa mbwa. Dah Mimi naona ha act ka mwanaume resty mwenyewe hu behave ka hamnazo na alihitaji mwanaume timamu wa kumshape aisee
Hataki kutoka jasho, anataka usmart tuu!Haha ila Kweka alikua anapenda kitonga long time sana...ndio maana amekubali "kuolewa"
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app